John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Wajiudhuru wote ili wananchi wenye mapenzi mema na nchi hii tupate ahueni. Kwani wanafaida gani kwa umma??Kazi IendeleeView attachment 2827364
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajiudhuru wote ili wananchi wenye mapenzi mema na nchi hii tupate ahueni. Kwani wanafaida gani kwa umma??Kazi IendeleeView attachment 2827364
Dc wa kibindoni?Unajua fika kuwa wakati Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo ni DC wa Kibindoni walikuwa hawapatani kwani kuna Mmoja kati yao ana Akili na Mmoja ni Mpumbavu Kiasili halafu leo tena unaowaleta pamoja ndani ya Chama Tawala ( CCM ) huku kwa Makusudi, Mahaba na kupenda Kudanganya na Wanafiki unampa Jeuri na Upendo wa wazi wazi Mtu ambaye ndani ya Katiba ya Chama ni mdogo kuliko Katibu Mkuu na unataka Katibu Mkuu amnyenyekee yule anayetakiwa Kumyenyekea Yeye.
Kwa hapa / kwa hili kama ni la kweli ninampongeza sana Bwana Chongolo kwani alichofanyiwa ilikuwa ni Dharau isiyovumilika.
Na najua Chongolo ana Watu wake ndani ya System ya Nchi na Chama ( CCM ) ambao wamemdokeza mapema kuwa Kikao cha leo ( cha CCM ) anaenda Kung'olewa hivyo nae kawa very smart kwa kuwawahi kwa kupeleka Barua ya Kujiuzuru hivyo hatongolewa tena hii leo ( Jumanne ) Kikaoni CCM kwa Mipasho ya Paje Kizimkazi Zanzibar.
Chama kime fitinika..
Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo.
Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari Chongolo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.
Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama (NEC), ambavyo vinafanya vikao vyake vya kawaida jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2023, huenda vikampitisha Katibu Mkuu mpya wa CCM ambaye atachukua nafasi ya Chongolo.
Sababu za kujizulu kwa Chongolo tutawaletea baadae.
ni sehemu gani ya mwili wako inakuwasha kiasi hicho. Mtumie mamako aliyekulwa we pmumbavu huu ushuzi wako. Hivi nawe unajiita binadamu? Shenzy kabisa. Nafikiri mamako ndio amejiuzulu ndoa na babako. Post km hizi ndio zimeiua JF, we ni mchawi siyo bureKazi IendeleeView attachment 2827364
makonda atakiumiza chapa hadi kiseme puu.Wajiudhuru wote ili wananchi wenye mapenzi mema na nchi hii tupate ahueni. Kwani wanafaida gani kwa umma??
we ni KITE kabisani sehemu gani ya mwili wako inakuwasha kiasi hicho. Mtumie mamako aliyekulwa we pmumbavu huu ushuzi wako. Hivi nawe unajiita binadamu? Shenzy kabisa. Nafikiri mamako ndio amejiuzulu ndoa na babako. Post km hizi ndio zimeiua JF, we ni mchawi siyo bure
Ni nakupuuza wewe, kwa sababu sio reliable source na hujawa verified JF user!Kuna barua feki inatembezwa au kusambazwa mitandoni eti chongolo Kajiuzulu.
Chongolo hajajiuzulu yupo ofisini anachapa kazi.
Hii tabia ya mnufaika, sio kwa hasira hizini sehemu gani ya mwili wako inakuwasha kiasi hicho. Mtumie mamako aliyekulwa we pmumbavu huu ushuzi wako. Hivi nawe unajiita binadamu? Shenzy kabisa. Nafikiri mamako ndio amejiuzulu ndoa na babako. Post km hizi ndio zimeiua JF, we ni mchawi siyo bure
Wanafiki tu nyie leo ndiyo mmeyaona hayo??? Kesho keshokutwa akiulamba tena teuzi mtarudi tena kusifia kama mlivyofanya kwa Konda Boy.Sishangai, chongolo kwa Ukatibu mkuu alikuwa chongo kweli. Alipwaya sana.
Bado hujasema maku wewemakonda atakiumiza chapa hadi kiseme puu.
huwez kumteua mtu aliye mchafu kama makonda ambaye alikuwa chawa Mkuu wa yule marehemu sheitwani mkuu aliyekua anaamuru vyombo vya usalama kudukua mawasiliano ya wenye chama.
unamdukua makamba,jk,kinana na wengineo halafu upandishwe cheo tena ndani ya chama.
bora angemteua na kumpa nafas za serikali
Nchimbi na Makonda vinaiva kweli?Natabiri
Sabaya , Nchimbi ,Happi