Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hatutaki makapiWasikubabaishe bana.
Mara umepiga kabinti
Mara umengusha Vx na kuharibu barabara.
Njoo CdmView attachment 2827342
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki makapiWasikubabaishe bana.
Mara umepiga kabinti
Mara umengusha Vx na kuharibu barabara.
Njoo CdmView attachment 2827342
Mwenezi anaupiga mwingi kuliko Boss,Sishangai, chongolo kwa Ukatibu mkuu alikuwa chongo kweli. Alipwaya sana.
The Castellammarese War (Italian pronunciation: [kaˌstɛllammaˈreːze, -eːse]) was a bloody power struggle for control of the Italian-American Mafia that took place in New York City, New York, from February 26, 1930 until April 15, 1931, between partisans of Joe "The Boss" Masseria and those of Salvatore Maranzano
KwannWhatver the case, kumteua makonda to that position haikuwa sahihi!
Kwn na ww ushoga uliuacha???Mnyika yu wap siku hizi?
Amepona ukichaa?
Habari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Naona ngosha leo umekuwa positive sana kwenye hii habari.Habari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Cheko kiashiria dola mnachukua?KWI KWI KWI
📌📌Whatver the case, kumteua makonda to that position haikuwa sahihi!
Mmwfanikisha jambo lenu siyo?Sishangai, chongolo kwa Ukatibu mkuu alikuwa chongo kweli. Alipwaya sana.
Acha komwe ww !!!mwenyekiti hajiuzulu weweMwenyekiti mwenye ushungi anajiuzulu lini?
Itakuwa fake tu. Akijiuzulu atakwenda wapi na umri huo. Kama aliweza kuvumilia dharau zaBashite enzo hizo kipi atashindwa leo. Unless wamemlazimisha ajiuzulu.Habari ndio hiyo!.
Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.
Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.
Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.
Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.
If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...
Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P