Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

1701195151689.png

Mzee aliyebaki komredi Abdulrahman Kinana naye hana uwezo wa kutuliza makundi



Hii vita ya panzi, itabomoa chama kongwe kipindi hiki ambapo hakuna wazee wa chama kina Joseph Warioba, Mizengo Pinda, Ali Hassan Mwinyi, Philip Mangula, Jakaya Kikwete n.k wote hawa wazee wanatamani katiba mpya hivyo wazee hawa hawana sauti ya kukemea na kusawazisha chama cha CCM new generation kukubali mabadiliko waruhusu katiba mpya , hali sasa chamani ni kama The Castellammarese War ya Mafia group vijana wamechoka wameamua wanachukua madaraka baada ya kuambiwa wasubiri kesho isiyofika wameamua hapa hapa mtaa wa Lumumba katika jiji letu la Dar es Salaam wafanye Mapinduzi baridi na siyo Dodoma
The Castellammarese War (Italian pronunciation: [kaˌstɛllammaˈreːze, -eːse]) was a bloody power struggle for control of the Italian-American Mafia that took place in New York City, New York, from February 26, 1930 until April 15, 1931, between partisans of Joe "The Boss" Masseria and those of Salvatore Maranzano
1701164791383.png
 
Habari ndio hiyo!.

Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.

Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.

Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.

Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.

If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...

Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P

Kwani msemaji angali kutua akapata fursa adhimu ya kulitolea kauli?

F--PeDjW0AAjtCl.jpg
 
Habari ndio hiyo!.

Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.

Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.

Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.

Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.

If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...

Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Naona ngosha leo umekuwa positive sana kwenye hii habari.
Vipi unategemea okoto lolote?
 
Habari ndio hiyo!.

Wanabodi
Hii ni C&P from X
My Opinion
This is just too good to be true!.
Kwasababu, tangu baada ya kuteuliwa Mwenezi mpya, KM Chongolo was too cool, too calm na kumwacha Mwenezi atambe na ku trends.

Anayeidhinisha bajeti ya matumizi ya chama ni KM, hata yeye KM mwenyewe huwa hazunguki na a pool of media kubwa kama ya Mwenezi anayozunguka nayo na kum trendisha!.

Kwa vile kule nyuma Konda Boy akiwa RC wa DSM ni boss wa Chongolo akiwa DC Kinondoni, alimkaripia kwenye kadamnasi ya watu mkutanoni na kumuamuru! nyamaza wewe, kaa chini!.

Sasa Chongolo ni Boss wa Konda Boy, Mwenezi lazima aombe ruhusa kwa KM akubaliwe ndipo afanye ziara!. Inawezekana KM na yeye anaona dogo anafanya amsha amsha huku na kule bila yeye kuidhinisha hivyo amekuwa by passed na dogo, baada ya kugundua hilo, akaona ili kulinda hadhi na heshima yake, bora awaachie chama chao!.

If this is true, Nchimbi kaa mkao wa ...

Paskali
NB: Nimeipandisha hii story, thread ikafutwa fasta, ila hapa imepandishwa.
P
Itakuwa fake tu. Akijiuzulu atakwenda wapi na umri huo. Kama aliweza kuvumilia dharau zaBashite enzo hizo kipi atashindwa leo. Unless wamemlazimisha ajiuzulu.

Itakuwa ni Team Bashite hiyo wanamuundia zengwe!!
 
Back
Top Bottom