Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

Ngoja niamini kwamba ni kweli...Ila...kama ni kweli ndo mwandiko wa katibu Mkuu ambaye ni mwandishi wa habari kwa taaluma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dc wa kibindoni?
 
Chama kime fitinika..
Ata fanyaje kazi na wauaji?. Wampe hiyo nafasi muuaji Sabaya au Hapi. Tutegemee kusikia tena kwa comrade Kinana.
 
Wajiudhuru wote ili wananchi wenye mapenzi mema na nchi hii tupate ahueni. Kwani wanafaida gani kwa umma??
makonda atakiumiza chapa hadi kiseme puu.

huwez kumteua mtu aliye mchafu kama makonda ambaye alikuwa chawa Mkuu wa yule marehemu sheitwani mkuu aliyekua anaamuru vyombo vya usalama kudukua mawasiliano ya wenye chama.
unamdukua makamba,jk,kinana na wengineo halafu upandishwe cheo tena ndani ya chama.
bora angemteua na kumpa nafas za serikali
 
we ni KITE kabisa
mwenzio kaleta taarifa basi pinga kwa taarifa kinzani syo matusi punguani wewe
 
Bado hujasema maku wewe
 
chongolo anataman nchi isimame wananchi wapate utulivu na ametumia muda mwingi hata kutuaminisha wananchi

mfumo unamuangusha
mwenyekit na wajumbe wa pembeni wanamuangusha


anataman kuwa na msimamo wa makonda ila shidaaaa itakuja baadaye


hisia zangu na ndoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…