Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
-
- #41
Hiyo inaitwa apakati chembe kidevu, mzee lazima ukae kama mzigo wa kuni mbichi hasa ukitumia "ze nkuzi dachi au mayoko"Ni heri atawale hata lipumba au mama sendiga lkn sio kibaraka,kiujumla ni heli kidogo ninachokipata kuliko kumpa kibaraka nikakosa kabisa na natumai waswahili hamjatujua hiyo tar 28 tutafanya nini.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]watetezi wa Jiwe mna taabu kweli kweliHii ni Aibu jamaa angu
Nenda kare'tweet for Lissu kule Twitter unapitwa jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wewe poole, nna kazi ngumu mno kumbeba asiyebebeka[emoji28]Nakuhurumia sana. Haya poleee
[emoji53][emoji53][emoji53]
Basi huyo ndio anafaa kwa kuikuza lugha hii adhimu katika bara la Afrika na kukuza fursa za ajira kwa watanzaniaHuyu aliweka kiswahili iwe kipaombele hata kwenye SADC kwa vile hajui kuongea english ,kuzuga watu ,wasijue akasema kiswahili itumike
Mnapenda kugeuza mambo ,huyo wa kijani alisema jukwaani mbeya anaomba sugu amsugue[emoji53][emoji53][emoji53]View attachment 1600532
Hiiiiiiiiiiiiii.[emoji53][emoji53][emoji53]View attachment 1600532
TUMECHOKA KURUDIA RUDIA AKINA KIMJONG VLADIMIR PUTIN TOKA CHEKECHEA HADI CHUO KIKUU WANATUMIA LUGHA ZAO. SASA HUYU WA KWETU KASOMEA HADI PHD KIINGEREZA NARUDIA TENA HADI PHD KWANINI KIINGEREZA KINAMPIGA CHENGA?Watu walioishiwa ndio huokoteza maneno sampuli hiyo. Sisi wazalendo wafia nchi tunajua kuwa Rais Magufuli ametuheshimisha sana watanzania na ametoa mchango mkubwa sana kwenye kuineza lugha ya kiswahili duniani.
Tafuta kujua marais hawa (kwa uchache) wanaongea lugha gani
Hu Jintao
Kim Jong Un
Vladimir Putin
Jiwe kaingia chaka kisa kiingereza bora angechunga mbuzi tuNyie ndio mliowapokea hao mabalozi?
Wakaongee nao hao wanaokutana nao mara ya kwanza
Tofautisheni Kati ya rais aliye madarakani na anayetetea kiti chake na mgombea urais aliyetumwa na amastadam ambae hajawahi hata kuwa waziri🤣🤣🤣🤣🤣
Enzi za kupigania uhuru wa nchi za Afrika ulikwisha, sasa CCM imebaki ya kuminya uhuru wa wananchi wake na kuungana mkono uminywaji wa uhuru wa wananchi wa nchi nyingine.Mabalozi karibuni Sana Chama Cha kupigiwa mfano Afrika.
Chama kilichoshiriki kuzipatia nchi nyingine za Afrika Uhuru wake.
Hivyo unapozungumza neno UHURU CCM ndiko mahali pake.
Saa ngapi? Asubuhi au jioni?Tarehe 15 Oktoba, 2020, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, atakutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Mazungumzo hayo yatafanyika Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba jijini Dar es salaam kuanzia mida ya saa nne asubuhi.
Vyombo mbalimbali vya habari vinaalikwa kufuatilia na kuhabarisha Umma katika mazungumzo hayo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
14 Oktoba, 2020
unafikiri mabalozi ni wakudanganya? unafikiri yote haya hawayoni au hawayajui? kwani ni nani asiyejua uhuru wa vyombo vya habari umeminywa nani asiyejua lissu alipigwa risasi na utawala huu? nani asiyejua utawala huu umepoteza wengi? nendeni mkajivue nguo hapo mwamba atakapowajibuHalafu tutawaambia ambia na ndugu zenu huko nyumbani kuwa hapa kila kitu kipo mahali pake. CCM ina magwiji wa siasa. Tulikuwa tunamuangalia tuu Mr. Much Know akijiona kamaliza kumbe tunamuandalia roba ya mbao vile comrade Bashiru anaongea polepole kila neno litapenya kwenye ngome za masikio ya mabalozi
Eti anatania hata kutoleta maendeleo kwa wale ambao hatachagua chama chake ana nogesha mkutano wewe nyambafHilo ndio tatizo lenu hamshirikishi vichwa kabla ya kusema/kuandika. Nani asiyejua Rais alikuwa anatania ili kunogesha mkutano?
Unajua nguvu ya beberu wewe?Kwanini Bashiru asiongee na Wanawake Weusi kwanza ili awapoze
Msijisahaulishe, MABEBERU wanajua kinachoendelea na washatupiga paper za warnings kibao.Tarehe 15 Oktoba, 2020, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, atakutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.
Mazungumzo hayo yatafanyika Ofisi Ndogo za Makao Makuu Lumumba jijini Dar es salaam kuanzia mida ya saa nne asubuhi.
Vyombo mbalimbali vya habari vinaalikwa kufuatilia na kuhabarisha Umma katika mazungumzo hayo.
Imetolewa na;
Said Said Nguya
Afisa Habari
Ofisi ya Katibu Mkuu
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
14 Oktoba, 2020
2810Hata wewe poole, nna kazi ngumu mno kumbeba asiyebebeka[emoji28]
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Story za kijiweniJiwe kaingia chaka kisa kiingereza bora angechunga mbuzi tu