Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally kuongea na Mabalozi tarehe 15 Oktoba 2020

Hawa CCM wana Akili Sana Moves zao zina impact kubwa kwenye kuwaletea Ushindi

Lakini Hata hivyo CCM watashinda No way Hata tufanyaje yani

Najua Mtanitukana hapa[emoji28][emoji28]
Ndoto nyevu zinakusumbua
 
Mgombea vipi? Au tatizo lugha ya malkia haipandi😃😃😃😃😃
 
Hao Mabalozi wajiandae kudanganywa sana Leo na kupewa vitisho uchwara!
 
Mabalozi karibuni Sana Chama Cha kupigiwa mfano Afrika.

Chama kilichoshiriki kuzipatia nchi nyingine za Afrika Uhuru wake.

Hivyo unapozungumza neno UHURU CCM ndiko mahali pake.
Chama kilichoshiriki mauwaji ya Ben
 
Kuna watu sijui ilikuwaje wakazaliwa.
Imagine CCM ilivyowafukarisha Watanzania kwa miaka 60 sasa lakini hawalali usiku kucha kuhakikisha CCM haiondoki madarakani
Natamani watu kama wewe bao lake liwe nyeto, huna faida duniani kinyaia mkubwa na pimbi. Yaani huna uzalendo kabisa unashabikia tapeli, kibaraka ndiyo apewe nchi, una akili timamu??? Yaani hata kama huyo pimbi wenu kibaraka angeshinda atafanya kazi na vyombo gani vya ulinzi na msaliti wa nchi anayejulikana kabisa kajipanga kuuza kila kitu na kuhakikisha nchi yetu inakosa maamuzi yake inakuwa chini ya umiliki wa wazungu, yaani watu kama nyie mnatumalizia oxygen
 
Hao Mabalozi wajiandae kudanganywa sana Leo na kupewa vitisho uchwara!
Wataambiwa pia jinsi mbowe alivyojaribu kumuua lisu, pia na ushahidi wa vikundi vya ugaidi alivyoandaa lisu kwa video na audio
 
Hawa CCM wana Akili Sana Moves zao zina impact kubwa kwenye kuwaletea Ushindi

Lakini Hata hivyo CCM watashinda No way Hata tufanyaje yani

Najua Mtanitukana hapa[emoji28][emoji28]
Move zao zinaimpact kivipi fafanua tupate faida
 
Anajua kiingereza? Maana wasomi wa awamu hii ni takataka kabisa viingereza vyao msikilize prof ndalichako na jiwe utajificha chini ya meza.....

"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
 
sasa kama mpo huru mbona mnaweweseka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…