Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Katibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia
1-Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa ,Kikanda,Kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiii kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli
2-Sera na Ilani mpya ya CCM
3-Ufafanuzi wa maswala mbalimbali kuhusu CCM na wanachama wake
4-Muelekeo wa Kampeni
5-Tathmini ya mapokeo ya jamii kwa wagombea wa CCM.
Dr Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45.
Hagombei urais mbona anakwenda kumfanyia mtihani muhusika? Mwambie aje la list ya vile viwanda 100@mkoa.