Uchaguzi 2020 Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally ndani ya Dakika 45 leo Septemba 14

Uchaguzi 2020 Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally ndani ya Dakika 45 leo Septemba 14

Tofautisha Rais wa JMT/ bingwa wa kupambana na corona duniani NA wachumia tumbo wengine
Bingwa wa kupambana na Corona ndo hataki kuulizwa maswali na waandishi wa habari watanzania tupime uwezo wake na uelewa wake???
 
Ati ccm ni chama pendwa ambacho kinajua hakipendwi ndio maana kmejiandaa kuiba kura
Wasanii wanaotembea na Magufuli kwenye kampeni za urais ni sawa na ubwabwa wa Mzee Rungwe. Vyote ni rushwa na kutojiamini uwezo wako wa kuvuta watu kuja kukusikiliza.
 
Na kutoa unifom za ccm kwa vitoto vya shule mkivilazimisha kujaa kt mikutano ya ccm kama ule wa kirumba mwanza ina maana gani au kwa ccm au ndo pale unapojitekenya ili ucheke?
Hebu tazama hii picha kwanza comrade kabla sijakujibu. Hao unawaona hapo mbele ni vikongwe?
EhFWf6DXgAIdP17.jpg
 
Katibu mkuu anaenda kupiga msumari wa mwisho kwenye jeneza la chadema. Uchambuzi wa prof. Umefanyika mwaka jana mambo yamebadilika imani ya wananchi kwa ccm imezidi kuongezeka
Leo Ni Leo nguli wa Siasa Dr Bashiru Ally anaingia ulingoni
Chadema lazima wachutame Chini
 
Katibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia

1-Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiini kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli.

2-Sera na Ilani mpya ya CCM

3-Ufafanuzi wa maswala mbalimbali kuhusu CCM na wanachama wake

4-Muelekeo wa Kampeni

5-Tathmini ya mapokeo ya jamii kwa wagombea wa CCM.

Dr Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45.
Dr Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45. kwahiyo mzee meko ka kwepa kwa sababu ataropoka siyo kama kawaida yake na hana ustadi wa kisomi, ahahaha Lisu kamatia hapohapo mataga mwaka huu kazi mnayo kelikweli
 
Ni kweli kabisa, ila hicho kipindi kwa sasa ni kwa ajili ya wagombea wa urais. Mtoeni Magufuli ili Polepole akagombea aende kwenye hicho kipindi. Mwanafunzi mwenye akili hufanya mtihani mwenyewe, na wala hatumi mtu kumfanyia.

Nani kasema lazima aende mgombea urais? Tusipangiene mikakati ya ushindi, kila mtu ashinde kwa mbinu zake, kama vile Lissu mwanzoni alivyokuwa anazurula na ndege, ni uamuzi wake ni mikakati wake, tusilazimishane mbinu za ushindi.
 
Tatizo kubwa la Bashiru na Polepole, hawaaminiki, hawana msimamo, WAONGO
 
Tumeona tayari kipindi cha Lissu ITV, hamna cha maana, Magu kwenda hapo hapo ni kumpa kiki tu Lisu, size ya Lissu ni Polepole.
Meko hana saizi yoyote amebakia tu kutapatapa haoni hata pa kushika, maji ya shingo,usishangae siku mbili kabla ya uchaguzi mradi wa bomba la mafuta ukazinduliwa rasmi tena
 
Katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Chama anayekijua in and out
Ni aibu kuwa na mgombea ambae hawezi hata kuhimili maswali ya waandishi wa Habari!!! Kama vipi mgombea wenu si angekuwa Bashiru?? Kwa nini mnajodhalilisha hivi na mgombea wenu ambae hana maono wala uelewa mpana hadi mnamficha na midahalo na waandishi wa habari???
 
Dah ! Mgombea wa CCM Mpya John Pombe Joseph Magufuli sijawahi kumuona akifanyiwa mahojiano ya aina yoyote na chombo cha habari wala kushiriki katika mdahalo kushindanisha mipango na maono yake.

Mambo yakiharibika wanaCCMpya wanaelekeza lawama siyo kwa Mgombea wao bali kwa wataalamu na wasaidizi kama Bashiru Ally kushauri kununua wanasiasa wa upinzani, Dr. Philip Mpango sera za fedha & Uchumi, Humphrey Polepole dhana potovu kuwa upinzani utakuwa umekufa 2020, Prof. Palamagamba Kabudi kuhusu korosho n.k kwa kumshauri mgombea wao vibaya.

Ingekuwa kipindi hiki hakijarekodiwa basi tungempelekea mtangazaji Fardhia Middle kuhoji vipi ACT-Wazalendo, CHADEMA, CUF, CHAUMMA wote waliwapeleka wagombea wa urais ktk kipindi pendwa cha Dakika 45 ITV Tanzania kuelezea na kutetea toka ndani ya mioyo yao sera, mipango na maono yao lakini CCM Mpya wanamficha mgombea wao asije studio kuhojiwa ?
Kuna watu wa aina nyingi: kuna wale mungu amewajaalia kutenda na matokeo ya matendo yao kuongea kwa niaba yao, na pia kuna aina nyingine waliojaaliwa kuongea tuuu! Hawa matendo ni machache!, - Magufuli (matendo) vs Lissu (maneno tu).
 
Huyu ameshakuwa "takataka" upstairs he has nothing to offer! Ubongo, kwa sababu ya njaa na uroho wa madaraka, umeshahamia njia ya haja kubwa and so tainted with bacteria, nematodes and viruses and hence his thinking capacity and his intellectual capacity diminished to the lowest level!
Una hasira na umepanic!

Haya matusi hayamfanyi Lisu apate zaidi ya 20% anazotegemewa kupata mwaka huu
 
Katibu mkuu anaenda kupiga msumari wa mwisho kwenye jeneza la chadema. Uchambuzi wa prof. Umefanyika mwaka jana mambo yamebadilika imani ya wananchi kwa ccm imezidi kuongezeka
CCM mpya hapa hamjamtendea haki Mgonbea uraisi 2020. Mnawapa room wapinzani kupigia msumari madhaifu ya mgombea. Kuweka mambo sasa, mara elfu angehojiwa yeye kuondoa dhana potofu kwa watanzania.
 
14 September 2020
Chato, Tanzania

Dk Bashiru amkingia kifua mgombea Urais wa CCM 2020



Dk Bashiru Ally Kakurwa , Katibu Mkuu wa chama cha CCM amuonya Tundu Lissu aache kumchokonoa Rais Magufuli: Natamka hili kwa mara ya mwisho
 
Katibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia

1- Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiini kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli.

2- Sera na Ilani mpya ya CCM

3- Ufafanuzi wa maswala mbalimbali kuhusu CCM na wanachama wake

4- Muelekeo wa Kampeni

5- Tathmini ya mapokeo ya jamii kwa Wagombea wa CCM.

Dkt. Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45.
Sina muda mchafu wa kumsiliza huyu.Bora nimsikilize Magu
 
Kila chama na mikakati yake, wao CHADEMA wamempeleka Lissu kwenye hicho kipindi, Magu yeye ameamua kutembea kijiji kwa kijiji, kila mtu ashinde mechi zake tusilazimishane njia za kupiga kampeni.
Mbona magu ilikua akipiga kampeni na kupita kijiji hadi kijiji kuanzia mwaka 2016 mpaka Leo kwahiyo hajamaliza kutaangaza madaraja na uwanja wa chato

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Katibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia

1- Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiini kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli.

2- Sera na Ilani mpya ya CCM

3- Ufafanuzi wa maswala mbalimbali kuhusu CCM na wanachama wake

4- Muelekeo wa Kampeni

5- Tathmini ya mapokeo ya jamii kwa Wagombea wa CCM.

Dkt. Bashiru hataropoka bali ataeleza kwa ustadi wa kisomi ndani ya Dk 45.
Tunamtaka Magufuli kwenye 45Min. Bashiri siyo mgombea hana mvuto wala hatajibu maswali tunayotaka kujua ikiwemo makosa na mauchafu aliyofanya boss wake
 
Maisha Yanakwenda Kasi Mno...

#Uchaguzi Mkuu 2015...

Chadema UKAWA waliweka mpira kwapani wakamzuia mh.Lowassa kwa kuukataa mdahalo...😂😂

Tuweni na KUMBUKUMBU aseee
Sawa Lowassa halikuwa fit kushirika mdahalo wote kwasasa tuna wakili msomi yupo imara nanyie muna Phd holder kwanza debate iwe kwa lugha ya kibeberu si wote wamesomea vitabu vyawo kwa kizungu.
 
Back
Top Bottom