Bashiru sialikuwa cuf before Magu kuwa Rais we mataga bashiru ataijuaje ccm in and out?Katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Chama anayekijua in and out
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru sialikuwa cuf before Magu kuwa Rais we mataga bashiru ataijuaje ccm in and out?Katibu mkuu ndiye mtendaji mkuu wa Chama anayekijua in and out
Zile kura wanazopata CCM zinapigwa na wanajeshi?Watanzania hawaitaki CCM hata majeshi sema viapo vinawabana
Kwahiyo huyo magufuli wenu anaekimbia hadi kipindi cha dk 45 cha ITV kuogopa maswali na kujieleza ndo atashinda????Zile kura wanazopata CCM zinapigwa na wanajeshi?
Acha kujidanganya, yaani mgombea wenu anasimama jukwaani anatoa somo la sheria kama lecturer wa Mzumbe halafu utegemee atapata kura? Oct 28 tutawaonesha tunachokitaka wananchi
Asisahau kutuambia kama uchumi wa viwanda umefikiwa au bado. Rais kaingiza mamluki kumsaidia mtihaniKatibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia...
Dah ! Mgombea wa CCM Mpya John Pombe Joseph Magufuli sijawahi kumuona akifanyiwa mahojiano ya aina yoyote na chombo cha habari wala kushiriki katika mdahalo kushindanisha mipango na maono yake.
BASHIRU ALLY KAKURWA AKIWA GEITA 14/09/2020
Mambo yakiharibika wanaCCMpya wanaelekeza lawama siyo kwa Mgombea wao bali kwa wataalamu na wasaidizi kama Bashiru Ally kushauri kununua wanasiasa wa upinzani, Dr. Philip Mpango sera za fedha & Uchumi, Humphrey Polepole dhana potovu kuwa upinzani utakuwa umekufa 2020, Prof. Palamagamba Kabudi kuhusu korosho n.k kwa kumshauri mgombea wao vibaya.
Ingekuwa kipindi hiki hakijarekodiwa basi tungempelekea mtangazaji Fardhia Middle kuhoji vipi ACT-Wazalendo, CHADEMA, CUF, CHAUMMA wote waliwapeleka wagombea wa urais ktk kipindi pendwa cha Dakika 45 ITV Tanzania kuelezea na kutetea toka ndani ya mioyo yao sera, mipango na maono yao lakini CCM Mpya wanamficha mgombea wao asije studio kuhojiwa ?
Maisha yako kasi sana:2015 Lowassa alihojiwa bbc na Zuhura Yunusi huku Magu akila kona dakika za mwisho.Maisha Yanakwenda Kasi Mno...
#Uchaguzi Mkuu 2015...
Kuna mitakataka mingi kutoka jalalani siku za karibuni imemwagwa na BASHIR humu jamvini watz wenye akili tuteki kava plizKatibu Mkuu wa CCM(T) Msomi Dr Bashiru Ally anatarajiwa kuwepo katika kipindi cha TV cha Dakika 45 (ITV).
Unakaribishwa kusikia
1- Mambo makubwa yaliyofanywa na CCM Kimataifa, kikanda, kitaifa hadi ngazi ya Kata na vijiini kwa kipindi kifupi cha miaka mitano ya Rais Magufuli...
Sio hivyo,wameona hataweza kujielezaKwa hiyo Bashiru ndio level za Lissu, Magu anajua kukera, au wangempeleka Polepole tu 😂😂😂
Anachekesha sana.Tunaamini kuwa, Dr Bashiru ana akili zaidi ya hizi anazozitumia akiwa CCM.
Miuno ya wana TOT ndio ilani.Kwa hiyo zile nyimbo za wakina Mzee wa Bwax ndio Ilani yenyewe ya CCM?
Ndio.Miuno ya wana TOT ndio ilani.