Uchaguzi 2020 Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally ndani ya Dakika 45 leo Septemba 14

Tunamtaka Magufuli kwenye 45Min. Bashiri siyo mgombea hana mvuto wala hatajibu maswali tunayotaka kujua ikiwemo makosa na mauchafu aliyofanya boss wake
Umeanza kumjua lini?
 
Hahaha Magufuli hawezi kuongea kwenye vipindi vya maswali na majibu.

Kazoea kuongea yeye tu, kufokea watu, na kutukana, pale ataongea nini?!
 
Mchato hawezi kukubali kwenda studio au kwenye mahojiano ya live. Ukimuangalia tu, unaona kwamba ni mtu wa kupanic haraka.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…