Uchaguzi 2020 Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika akanusha taarifa ya kuahirishwa kwa kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA

Kwenye kitengo cha habari siku hizi chadema wanapwaya sana.
 
Toka upotoshe kuhusu mkutano wa Lissu bagamoyo, jukwaa limeshakupuuza. Usitafute credibility kuonekana mpinzani ili eti siku ukikosoa uonekane upo objective.

Vijana tuache unafiki kma ni CCM basi kuwa open kma ni upinzani kuwa open na kma ni neutral kuwa open sio kucamouflage ili kutengeneza credibility for future propaganda attacks.

Shame on U coward
 
maccm yanazidi kutapatapa.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…