Sasa kati ya wewe na hao vijana nani anachekesha? Kutwa kufatilia habari za Chadema kama vile wewe ndiye katibu au msemaji wao, bila hao Chadema unadhani ungekuwa unalipwa kwa kazi gani? Ungelipwa kwa kuleta habari za TLP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah ila vijana wa CHADEMA mnachekesha sana
Mataga ni bure kabisa, yaani yanalipwa lakini akili zao ndiyo hivyo tenaNaonaa CCM mmeweka post na ku comment wenyewe. Poleni. Mwamba tuvushe
Sasa kama ulishamshitukia toka mapema kwanini usihamie ACT au TLP na uachane na CDM? Huoni kama wewe ndiye mjingaNi kweli watu wameichoka Ccm ila cdm bado haiaminiki kabisaaa. Mbowe watu tulishamshtukia kitambo sanaaa..
Haya yanayoendelea wala huwez kusema eti ni propaganda za kuwapoteza cxm. Not true
Pole, anzisha chama chako na weweKife tu tuanze tena, maana wananchi wengi kwasasa tumepiteza matumani na chama hicho.
Wengine hatukiungi mkono CCM lakini hatuoni mbadala wake kwa sasa.
Kwani kavunja katiba yao? Akiondoka ama akibaki wewe unapata faida/madhara gani?Mbowe asipotoka safari hii, inamaanisha atakuwa m/kiti milele mpaka umauti umkute. Safari hii Mbowe ni dhaifu sana. Anaondokaaa!
Kama nchi iliweza kuongozwa na Jiwe nani atashindwa, hata wewe na hizo akili zako amini unaweza ongozaSasa nao hawa chama chao wanashindwa kujiongoza
Nchi wataiweza[emoji849][emoji849]
Sasa wewe unawashwa wapi kama ikifa?CHADEMA inakwisha kama ilivyoaanza
Huyo Jiwe si ndiye alisema ameiua CDM? Kumbe bado iko hai! Haya maisha bah, katangulia kabla ya CDMLaana ya JPM inawatafuna hawa nguruwe chadema
Yule jamaa yako Jiwe aliwahi kusema maneno kama yako, yuko wapi sasaCdm naiona ikisamabratikaaa
Hahahah kwa siri lakini wewe ukajua au siyoSasa ulitegemea nini Mbowe anamuita Halima Mdee Nairobi kwa siri wakati Halima keshasaliti chama
Unategemea waliongea nini?
Sasa mkuu kwa hoja zako unadhani unaweza kuwa nani zaidi ya mwana ccm?Kwani Mimi ni CCM?
Inayokufa ni Chadema lakini anayeweseka ni wewe, si maajabu haya!CHADEMA inakufa
Mbowe ndio kirusi katika siasa za upinzani Tanzania.Mbowe ni tatizo kuliko CCM ujue
Shangaa na wewe. Ila wanachama wao wameridhiaMimi huwa najiuliza, mbona wanaopiga debe Kila siku ya kumwondoa Mbowe toka Kwenye uenyekiti wake ni wale mashabiki wa Sisiem??[emoji9]
UJinga wala sio tatizo. Kila mtu ni mjinga kwa upande wake katika jambo flan.Sasa kama ulishamshitukia toka mapema kwanini usihamie ACT au TLP na uachane na CDM? Huoni kama wewe ndiye mjinga
Unatakaje wewe Chadema ife au? Halafu? Matatizo ya nchi hii utatusemea wewe? Msijidanganye bila upinzani nchi hii isingekuwa hata na flyover Wala miradi mwingine yoyote unavyoiona. Msituambukize ujingaTaarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.
Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.
Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.
Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.
COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.
Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.
Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.
Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
π€π€Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.
Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.
Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.
Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.
Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.
COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.
Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.
Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.
Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
π€£ π€£ π€£CCM wanachochea moto π³
Lakini naona kuni ni mbichi sidhani kama moto utakolea ππ€
Muda utaongea π
π€π€πWhat if (I'm just saying what if) Mr Chairman naye yumo kwenye hiyo payroll, huku makubaliano ni kwamba yeye anachuma pesa ilhali Sisiemu yenyewe inavuna utawala?
Impossible, right?