Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Tetesi: Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika asusa kuendelea na kazi

Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
CHADEMA kwisha kabisa kwisha
 
What if (I'm just saying what if) Mr Chairman naye yumo kwenye hiyo payroll, huku makubaliano ni kwamba yeye anachuma pesa ilhali Sisiemu yenyewe inavuna utawala?

Impossible, right?
Mkuu,
Hapa ulimwenguni kuna political maneuvering..

The consequences of political maneuvering😊

* Loss of trust
*Damage of reputation
*Lack of accountability
*Injustice
*Loss of credibility

Hizo Ni baadhi Kati ya hasara zitakazo patikana kutokana na political maneuvering so chama au mwanachama anaweza kujichagulia UPANDE..
 
Taarifa kutoka viunga vya CHADEMA zinasema kwa chini chini kwamba Katibu Mkuu Mnyika hataki tena kuendelea na kazi kama Katibu Mkuu wa Chama hicho.

Sababu kubwa ni John Mrema kuingilia na kufanya majukumu yote ya Katibu Mkuu wa Taifa.

Wakati huo huo COVID 19 nao wamejiapiza kwa gharama yeyote lazima Mbowe atetee nafasi yake.

Ni Freeman Mbowe asiyeweza kumrudisha Mnyika kuwa Katibu Mkuu ila si Tundu Lissu.

Lissu na Mnyika ndio watu pekee ndani ya CHADEMA walioapa kutokuwarejesha COVID 19 ndani ya CHADEMA.

COVID 19 wanaamini kama Mbowe atarejea tena wakati huu lazima atamteua kamanda Salim Mwalimu kuwa Katibu wake mkuu mpya 2024-2029.

Hata hivyo, hawa COVID 19 wanaamini watakuwa salama zaidi chini ya Mbowe kuliko Lissu.

Pesa inayomwagwa na COVID 19 kuangamiza kila mfuasi wa Lissu na Mnyika ni nyingi kwa uratibu wa Halima Mdee.

Je, huenda huu ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa CHADEMA Tanzania?
Bado hujasema! Lazima useme kwa lugha, Chadema kiboko cha kuonyoosha CCM!
 
Mkuu,
Hapa ulimwenguni kuna political maneuvering..

The consequences of political maneuvering😊

* Loss of trust
*Damage of reputation
*Lack of accountability
*Injustice
*Loss of credibility

Hizo Ni baadhi Kati ya hasara zitakazo patikana kutokana na political maneuvering so chama au mwanachama anaweza kujichagulia UPANDE..
Umechambua vizuri sana
 
Chadema sio taasisi kuwa makini na kauli zako
Acha ujinga wewe CHADEMA kipo tangu 1994 hadi sasa na kina wanachama wengi kuliko vyama vyote vya upinzani Tanzania vilivyotangulia na vilivyopo sasa.Niko makini sana mimi siyo mtu wa kupelekeshwa na kejeli za kijinga ninachoamini ndiyo hicho.Damu yangu ni Group O siwezi yumbishwa na kauli za hovyo za Kimagufuri au za Kimakonda au za Lucas mjaza kurasa zisizo na faida kwa wasomaji.
 
Acha ujinga wewe CHADEMA kipo tangu 1994 hadi sasa na kina wanachama wengi kuliko vyama vyote vya upinzani Tanzania vilivyotangulia na vilivyopo sasa.Niko makini sana mimi siyo mtu wa kupelekeshwa na kejeli za kijinga ninachoamini ndiyo hicho.Damu yangu ni Group O siwezi yumbishwa na kauli za hovyo za Kimagufuri au za Kimakonda au za Lucas mjaza kurasa zisizo na faida kwa wasomaji.
CHADEMA inakufa
 
Tetemeko la South Africa limeanza kuleta mitetemo huku Tanzania.
 
Back
Top Bottom