Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,404
Katibu mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar, mkurugenzi wa mafunzo wa chama hicho Thney Juma amethibitisha.
KHALIFA Suleiman Khalifa alikuwa Mbunge wa Gando, kisiwani Pemba ambako aliongoza jimbo hilo kuanzia mwaka 1995 hadi 2015 kupitia Chama cha Wananchi (CUF).
Machi 17 mwaka 2019, Baraza Kuu la Uongozi wa CUF lilimteua Khalifa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho akisaidiwa na naibu wake, Fakhi Suleiman Khatibu (Zanzibar) huku Magdalena Sakaya akiteuliwa naibu kwa upande wa Bara.
KHALIFA Suleiman Khalifa alikuwa Mbunge wa Gando, kisiwani Pemba ambako aliongoza jimbo hilo kuanzia mwaka 1995 hadi 2015 kupitia Chama cha Wananchi (CUF).
Machi 17 mwaka 2019, Baraza Kuu la Uongozi wa CUF lilimteua Khalifa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho akisaidiwa na naibu wake, Fakhi Suleiman Khatibu (Zanzibar) huku Magdalena Sakaya akiteuliwa naibu kwa upande wa Bara.