TANZIA Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia

Vyama vya kidini vyote havipewi nchi.
Kuna chama cha waislam na kuna chama cha wakristo, vinajulikana,

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania hatuna vyama vya kidini kwenye siasa, tuna vyama vya siasa na taasisi za kidini.
Taasisi za Kiislamu ni Bakwata, Balukta, Imra, Sunni, Shia, Ismailia, Ithnasher, Muzdalifa etc. Taasisi za Kikristu ni TEC, CCT, SDA, Walokole, TAG, EAGT, etc.
P
 
Tanzania hatuna vyama vya kidini kwenye siasa, tuna vyama vya siasa na taasisi za kidini.
Taasisi za Kiislamu ni Bakwata, Balukta, Imra, Sunni, Shia, Ismailia, Ithnasher, Muzdalifa etc. Taasisi za Kikristu ni TEC, CCT, SDA, Walokole, TAG, EAGT, etc.
P
Mkuu Pascal Mayalla hakuna taasisi ya kidini inayoitwa walokole ... hao TAG,EAGT,na wale wote waliookoka ndio wanaitwa 'walokole' ...
 
Mkuu Pascal Mayalla hakuna taasisi ya kidini inayoitwa walokole ... hao TAG,EAGT,na wale wote waliookoka ndio wanaitwa 'walokole' ...
Kuna kitu kinaitwa literary meaning na preveived meaning. Hakuna taasisi ya kidini inayoitwa RC, ila ukisema RC inaeleweka ni Katoliki, ukisema TEC ni Wakatoliki, ukisema Bakwata unamaana ni Waislamu, ukisema ELCT unamaana ni Walutheri, ukisema CCT ni Waanglicana, hivyo ukisema walokole ni born again wote wakiwemo TAG, EAGT kama ambao ukisema Shia, ni Ismailia etc.
P
 
Innalillah wainna ilay rajiuun

Jk akihutubia Bunge 2008 aliposema ukitaka kula lazima Uliwe, basi Mh Khalifa akaanza kushika ndevu zake akizi massage massage kiutani ndipo Jk akamalizia '...sina maana hiyo Mh.Khalifa...'



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amehuzunishwa na kifo cha Katibu mkuu wa CUF Khalifa Suleiman kilichotokea Jana usiku katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam.
 
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ameuzunishwa na kifo cha Katibu mkuu wa CUF Khalifa Suleiman kilichotokea Jana usiku katika hospital ya Agakhan jijijini Dar es salaam.
mbona kwa Makongoro Mahanga ali mute?

kweli nimeamini chama changu CCM si tu kinaichukia Chadema bali kinaigwaya kupitiliza.... hadi aibu tunaona sisi yaani!
 
There is no standard formula.. Sio lazima uguswe na msiba wa kila mtu.. By the way, Slow slow aliwakilisha kwenye msiba wa Dr Mahanga.
 
Pemba mbali, kwa media yetu, inahitaji uwezeshaji kumtuma mwandishi Pemba.
Sasa wamerahishiwa kazi mazishi ni leo Adhuhuri makaburi ya Kisutu.

Mimi ni mwandishi, hata kama ningehudhuria na kusikia chochote, you just keep to yourself kwa heshima ya marehemu na familial. Ikiishaelezwa kuwa marehemu amefariki wakati akipatiwa matibabu Agha Khan, that is it, huruhusiwi kueleza chochote zaidi ya hicho. Huhitaji kujua chanzo cha kifo, na hata ukikijua, huoaswi kuripoti, you just keep it.

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”

RIP Khalifa Suleiman.
P
Pascal ume miss my point..
Nilitaka hasa kujua kuhusu wapemba na CUFna wapemba na ACT..
Wamegawanyika?
Wamemhukumu marehemu?
Wamemsusa?
Influence ya marehemu kabla ya mgawanyiko?
Alikuwa genuine na Lipumba?
So many questions..
 
What are you anticipating to take place huko Pemba baada ya msiba? Have you abandoned your profession?
Wapemba na Cuf
Wapemba na ACT
Wapemba na umoja wao
Wapemba na mgawanyiko..
 
Pascal ume miss my point..
Nilitaka hasa kujua kuhusu wapemba na CUFna wapemba na ACT..
Wamegawanyika?
Wamemhukumu marehemu?
Wamemsusa?
Influence ya marehemu kabla ya mgawanyiko?
Alikuwa genuine na Lipumba?
So many questions..
Mkuu the big Boss, it's true I missed the point.
Msiba umewaunganisha CUF Maalim na CUF Lipumba. Nimezisoma salaam za rambirambi za Maalim.

Hili ni jambo la kheri maana kule Zenj kabla ya muafaka, CUF na CCM walikuwa paka na panya, hawazikani. Makada wa CCM hawathubutu kukatisha pale Mtaa wa Mtendeni, na CUF hawathubutu kukatisha Kisiwandui.
Muafaka umesaidia sana.
P
 
Back
Top Bottom