mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 809
- 729
wamezika hapa hapa kisutu labda ungekwenda tanganduguNingekuwa journalist ningeenda msibani Pemba na nikakaa siku hata mbili baada ya msiba. I am sure kuna more than just msiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamezika hapa hapa kisutu labda ungekwenda tanganduguNingekuwa journalist ningeenda msibani Pemba na nikakaa siku hata mbili baada ya msiba. I am sure kuna more than just msiba
Nafahamu kwamba tz hatuna vyama vya udini.ila kwa jinsi nilivyo mquote nimefanya makusudi kuna pahala nilitaka kumsweka huko ili aache uzushi na udini.Tanzania hatuna vyama vya kidini kwenye siasa, tuna vyama vya siasa na taasisi za kidini.
Taasisi za Kiislamu ni Bakwata, Balukta, Imra, Sunni, Shia, Ismailia, Ithnasher, Muzdalifa etc. Taasisi za Kikristu ni TEC, CCT, SDA, Walokole, TAG, EAGT, etc.
P
Alikuwa mpinzani wa nani?Pole familia kwa kuondokewa na mpendwa wenu na pole upinzani tanzania kwa kuondokewa na kiongozi mzito!
Huu ni uchochezi wa wazi kabisa. Baraza la Kuendeleza Kuruani Tanzania (BALUKTA) ilikufa siku nyingi kabla ya Al Marhum Sheikh Yahya Husein hajaaga dunia. Paskali acha uchochezi.Tanzania hatuna vyama vya kidini kwenye siasa, tuna vyama vya siasa na taasisi za kidini.
Taasisi za Kiislamu ni Bakwata, Balukta, Imra, Sunni, Shia, Ismailia, Ithnasher, Muzdalifa etc. Taasisi za Kikristu ni TEC, CCT, SDA, Walokole, TAG, EAGT, etc.
P
CUF Lipumba au CUF Maalim??Katibu mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar, mkurugenzi wa mafunzo wa chama hicho Thney Juma amethibitisha.
KHALIFA Suleiman Khalifa alikuwa Mbunge wa Gando, kisiwani Pemba ambako aliongoza jimbo hilo kuanzia mwaka 1995 hadi 2015 kupitia Chama cha Wananchi (CUF).
Machi 17 mwaka 2019, Baraza Kuu la Uongozi wa CUF lilimteua Khalifa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho akisaidiwa na naibu wake, Fakhi Suleiman Khatibu (Zanzibar) huku Magdalena Sakaya akiteuliwa naibu kwa upande wa Bara.
Kwa nini mnatuletea habari za zamani maana hili siyo jukwaa LA historian!Innalillahi wainnailaihirajiun
Umeona! Kuna kitu nyuma ya pazia,vifo vingine toka mwaka juzi watu wanavileta, wanalazimisha hofu ya lazima Wajinga sana!!Kwa nini mnatuletea habari za zamani maana hili siyo jukwaa LA historian!
Zamzbi ipi angalia tarehe,unaota nnKwa nini mnatuletea habari za zamani maana hili siyo jukwaa LA historian!