FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina la kusema
Halafu uripoti kwenye chombo gani hicho More than just msiba?Ningekuwa journalist ningeenda msibani Pemba na nikakaa siku hata mbili baada ya msiba..
I am sure kuna more than just msiba
Wewe ni CUF? Umehama kwenye Saccos ya Mbowe?Wahuni wanaondoka, wametuharibia chama
hahahaaaa.. nimefurahi this time umeipatia vizuri sanaInna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ) "Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”
RIP Khalifa Suleiman.
P
Wahuni wanaondoka, wametuharibia chama
😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨😨Astaghafirulilah...
Hii ni team Lipumba sio?
Jisemee wewe mwenyewe kwamba utarejea kwa Allah sisi wengine tutakwenda kwa Yehova. Ulivyomchongea Kabendera kiasi kile lazima urejee kwa AllahInna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”
RIP Khalifa Suleiman.
P
Pemba mbali, kwa media yetu, inahitaji uwezeshaji kumtuma mwandishi Pemba.Ningekuwa journalist ningeenda msibani Pemba na nikakaa siku hata mbili baada ya msiba..
I am sure kuna more than just msiba