TANZIA Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia

Jisemee wewe mwenyewe kwamba utarejea kwa Allah sisi wengine tutakwenda kwa Yehova lazima urejee kwa Allah
Father, Lord, God, Light, Yehova, Allah is the same.
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Abraham au Ibrahim. Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismael, au Ismail, aliyemzaa na mjakazi wa Kimisri aitwae Hagar au Hajiri.
Na Wakristo ni uzao wa Isaka alizaa na mkewe katika umri wa kiutu uzima.
Mungu ni mmoja..
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”

RIP Khalifa Suleiman.
P
 
hahahaaaa.. nimefurahi this time umeipatia vizuri sana
Almanusura ningesilimu kwa ajili ya binti fulani wa ki Zanzibari.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”

RIP Khalifa Suleiman.
P
 
Kila nafsi itaonja mauti. M Mungu amlaze pahala pema peponi. Poleni ndugu na jamaa wa Marehemu.
 
Almanusura ningesilimu kwa ajili ya binti fulani wa ki Zanzibari.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”

RIP Khalifa Suleiman.
P
mkuu simamisha IMANI yako UNAPOAMINI inshaallah utaneemeshwa
 
Atazikwa na wana ccm.
Usigombane na utabiri
 
Katibu mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar, mkurugenzi wa mafunzo wa chama bicho Thney Juma amethibitisha.

View attachment 1404462

KHALIFA Suleiman Khalifa alikuwa Mbunge wa Gando, kisiwani Pemba ambako aliongoza jimbo hilo kuanzia mwaka 1995 hadi 2015 kupitia Chama cha Wananchi (CUF).

Machi 17 mwaka 2019, Baraza Kuu la Uongozi wa CUF lilimteua Khalifa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho akisaidiwa na naibu wake, Fakhi Suleiman Khatibu (Zanzibar) huku Magdalena Sakaya akiteuliwa naibu kwa upande wa Bara.
HUYU MZEE BABA NLIKUWA NAPISHANA NAE SANA DODOMA UHINDINI ENZI HIZO AKIWA MBUNGE, ALIKUWA ANAPENDA SANA KUTEMBEA KUNDA BUNGENI
 
pole kwa familia yake yote kwa msiba mzito pia kwa wananchi wa jimbo lake pia kwa wabunge wenzake wote kwa kumpoteza mbunge mwenzao.
Hakika sisi sote tutarejea kwake Muumba wa kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Father, Lord, God, Light, Yehova, Allah is the same.
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Abraham au Ibrahim. Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismael, au Ismail, aliyemzaa na mjakazi wa Kimisri aitwae Hagar au Hajiri.
Na Wakristo ni uzao wa Isaka alizaa na mkewe katika umri wa kiutu uzima.
Mungu ni mmoja..
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”

RIP Khalifa Suleiman.
P
Waislamu wameandikwa kwenye mstari gani wa biblia? Au unafuata hadithi zao tu na kuziamini
 
Ningekuwa journalist ningeenda msibani Pemba na nikakaa siku hata mbili baada ya msiba..
I am sure kuna more than just msiba

What are you anticipating to take place huko Pemba baada ya msiba? Have you abandoned your profession?
 
Exactly
Father, Lord, God, Light, Yehova, Allah is the same.
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Abraham au Ibrahim. Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismael, au Ismail, aliyemzaa na mjakazi wa Kimisri aitwae Hagar au Hajiri.
Na Wakristo ni uzao wa Isaka alizaa na mkewe katika umri wa kiutu uzima.
Mungu ni mmoja..
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”

RIP Khalifa Suleiman.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nakushaur tu bdo fursa ipo japo icwe kwa sababu ya......
Almanusura ningesilimu kwa ajili ya binti fulani wa ki Zanzibari.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”

RIP Khalifa Suleiman.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom