Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Father, Lord, God, Light, Yehova, Allah is the same.Jisemee wewe mwenyewe kwamba utarejea kwa Allah sisi wengine tutakwenda kwa Yehova lazima urejee kwa Allah
Julius Mtatiro alikuwa mkristo pamoja na Magdalena Sakaya!
Almanusura ningesilimu kwa ajili ya binti fulani wa ki Zanzibari.hahahaaaa.. nimefurahi this time umeipatia vizuri sana
mkuu simamisha IMANI yako UNAPOAMINI inshaallah utaneemeshwaAlmanusura ningesilimu kwa ajili ya binti fulani wa ki Zanzibari.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”
RIP Khalifa Suleiman.
P
HUYU MZEE BABA NLIKUWA NAPISHANA NAE SANA DODOMA UHINDINI ENZI HIZO AKIWA MBUNGE, ALIKUWA ANAPENDA SANA KUTEMBEA KUNDA BUNGENIKatibu mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar, mkurugenzi wa mafunzo wa chama bicho Thney Juma amethibitisha.
View attachment 1404462
KHALIFA Suleiman Khalifa alikuwa Mbunge wa Gando, kisiwani Pemba ambako aliongoza jimbo hilo kuanzia mwaka 1995 hadi 2015 kupitia Chama cha Wananchi (CUF).
Machi 17 mwaka 2019, Baraza Kuu la Uongozi wa CUF lilimteua Khalifa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho akisaidiwa na naibu wake, Fakhi Suleiman Khatibu (Zanzibar) huku Magdalena Sakaya akiteuliwa naibu kwa upande wa Bara.
wawili tu?Julius Mtatiro alikuwa mkristo pamoja na Magdalena Sakaya!
Waislamu wameandikwa kwenye mstari gani wa biblia? Au unafuata hadithi zao tu na kuziaminiFather, Lord, God, Light, Yehova, Allah is the same.
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Abraham au Ibrahim. Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismael, au Ismail, aliyemzaa na mjakazi wa Kimisri aitwae Hagar au Hajiri.
Na Wakristo ni uzao wa Isaka alizaa na mkewe katika umri wa kiutu uzima.
Mungu ni mmoja..
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”
RIP Khalifa Suleiman.
P
Ningekuwa journalist ningeenda msibani Pemba na nikakaa siku hata mbili baada ya msiba..
I am sure kuna more than just msiba
Unawaona wachache?
Mhh jee umeshawahi kumuona bungeni msimu huu wa magufulipole kwa familia yake yote kwa msiba mzito pia kwa wananchi wa jimbo lake pia kwa wabunge wenzake wote kwa kumpoteza mbunge mwenzao.
Hakika sisi sote tutarejea kwake Muumba wa kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
salum mwalimu tuUnawaona wachache?
Pale Ufipa kuna waislamu wangapi?!
Father, Lord, God, Light, Yehova, Allah is the same.
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Abraham au Ibrahim. Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismael, au Ismail, aliyemzaa na mjakazi wa Kimisri aitwae Hagar au Hajiri.
Na Wakristo ni uzao wa Isaka alizaa na mkewe katika umri wa kiutu uzima.
Mungu ni mmoja..
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”
RIP Khalifa Suleiman.
P
Kiongozi mnafiki na mwenye njaa kali sana isiotosheka. Mpaka anaingia kaburini bado ana njaa.Pole familia kwa kuondokewa na mpendwa wenu na pole upinzani tanzania kwa kuondokewa na kiongozi mzito!
Almanusura ningesilimu kwa ajili ya binti fulani wa ki Zanzibari.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.”
RIP Khalifa Suleiman.
P