Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Waislamu wameandikwa kwenye mstari gani wa biblia? Au unafuata hadithi zao tu na kuziamini
Umeiandika uzuri nina wasi wasi kama unaweza kuitamka!Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (ุฅููููุง ูููููู ููุฅูููููุง ุฅููููููู ุฑูุงุฌูุนููู)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.โ
RIP Khalifa Suleiman.
P
Vyama vya kidini vyote havipewi nchi.
Kwa sasa tayari ni too late nimeisha ivuka ile idadi inayoruhusiwa Kiislamu. Kama unapenda kunywa maziwa na kuna mahali unapata maziwa, then sio lazima kufuga Ng'ombe.Mie nakushaur tu bdo fursa ipo japo icwe kwa sababu ya......
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hadi huku uarabuni uko vizuri.Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (ุฅููููุง ูููููู ููุฅูููููุง ุฅููููููู ุฑูุงุฌูุนููู)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.โ
RIP Khalifa Suleiman.
P
Tanzania hatuna vyama vya kidini kwenye siasa, tuna vyama vya siasa na taasisi za kidini.Vyama vya kidini vyote havipewi nchi.
Kuna chama cha waislam na kuna chama cha wakristo, vinajulikana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Pascal Mayalla hakuna taasisi ya kidini inayoitwa walokole ... hao TAG,EAGT,na wale wote waliookoka ndio wanaitwa 'walokole' ...Tanzania hatuna vyama vya kidini kwenye siasa, tuna vyama vya siasa na taasisi za kidini.
Taasisi za Kiislamu ni Bakwata, Balukta, Imra, Sunni, Shia, Ismailia, Ithnasher, Muzdalifa etc. Taasisi za Kikristu ni TEC, CCT, SDA, Walokole, TAG, EAGT, etc.
P
Kuna kitu kinaitwa literary meaning na preveived meaning. Hakuna taasisi ya kidini inayoitwa RC, ila ukisema RC inaeleweka ni Katoliki, ukisema TEC ni Wakatoliki, ukisema Bakwata unamaana ni Waislamu, ukisema ELCT unamaana ni Walutheri, ukisema CCT ni Waanglicana, hivyo ukisema walokole ni born again wote wakiwemo TAG, EAGT kama ambao ukisema Shia, ni Ismailia etc.Mkuu Pascal Mayalla hakuna taasisi ya kidini inayoitwa walokole ... hao TAG,EAGT,na wale wote waliookoka ndio wanaitwa 'walokole' ...
mbona kwa Makongoro Mahanga ali mute?Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ameuzunishwa na kifo cha Katibu mkuu wa CUF Khalifa Suleiman kilichotokea Jana usiku katika hospital ya Agakhan jijijini Dar es salaam.
CUF NA NCCR NI MICHEPUKO YA CCMmbona kwa Makongoro Mahanga ali mute?
kweli nimeamini chama changu CCM si tu kinaichukia Chadema bali kinaigwaya kupitiliza.... hadi aibu tunaona sisi yaani!
Pascal ume miss my point..Pemba mbali, kwa media yetu, inahitaji uwezeshaji kumtuma mwandishi Pemba.
Sasa wamerahishiwa kazi mazishi ni leo Adhuhuri makaburi ya Kisutu.
Mimi ni mwandishi, hata kama ningehudhuria na kusikia chochote, you just keep to yourself kwa heshima ya marehemu na familial. Ikiishaelezwa kuwa marehemu amefariki wakati akipatiwa matibabu Agha Khan, that is it, huruhusiwi kueleza chochote zaidi ya hicho. Huhitaji kujua chanzo cha kifo, na hata ukikijua, huoaswi kuripoti, you just keep it.
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un (ุฅููููุง ูููููู ููุฅูููููุง ุฅููููููู ุฑูุงุฌูุนููู)
"Surely we belong to Allah and to Him shall we return.โ
RIP Khalifa Suleiman.
P
Wapemba na CufWhat are you anticipating to take place huko Pemba baada ya msiba? Have you abandoned your profession?
Mkuu the big Boss, it's true I missed the point.Pascal ume miss my point..
Nilitaka hasa kujua kuhusu wapemba na CUFna wapemba na ACT..
Wamegawanyika?
Wamemhukumu marehemu?
Wamemsusa?
Influence ya marehemu kabla ya mgawanyiko?
Alikuwa genuine na Lipumba?
So many questions..