TANZIA Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia

Nafahamu kwamba tz hatuna vyama vya udini.ila kwa jinsi nilivyo mquote nimefanya makusudi kuna pahala nilitaka kumsweka huko ili aache uzushi na udini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uchochezi wa wazi kabisa. Baraza la Kuendeleza Kuruani Tanzania (BALUKTA) ilikufa siku nyingi kabla ya Al Marhum Sheikh Yahya Husein hajaaga dunia. Paskali acha uchochezi.
 
CUF Lipumba au CUF Maalim??
 
Kwa nini mnatuletea habari za zamani maana hili siyo jukwaa LA historian!
Umeona! Kuna kitu nyuma ya pazia,vifo vingine toka mwaka juzi watu wanavileta, wanalazimisha hofu ya lazima Wajinga sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…