TANZIA Katibu Mkuu wa TABOA, Enea Mrutu afariki dunia baada ya kubanwa na kifua ghafla wilayani Mwanga

TANZIA Katibu Mkuu wa TABOA, Enea Mrutu afariki dunia baada ya kubanwa na kifua ghafla wilayani Mwanga

Pambanua aina ya vifo vitokanavyo na ugonjwa au wakati, hapo nyuma ukisikia mtu kafla gafla gym au guest house, nadhani akili yako itakupeleka kwenye hisia kafaje huyo mtu.

Kwa sasa mtu kafia gym ukiuliza watu wanakujibu kadondoka gafla, mara unasikia kituo cha mwendo kasi wawili wamedondoka na kufa, alafu unakuja sema malaria na uti ah!!.

We jamaa vifo ni vingi ila kwa sasa akili nayo ipambanue basi.
Kudondoka kuna 7bu nyingi mkuu,nina ushuhuda na hilo kuna jamaa alidondoka kwenda kumpima kumbe alikuwa na magonjwa mengine malaria kali,UTI na damu ndogo.
 
nasikia dalili zetu nitofauti na za duniani si tunaeda ghafla tuu
 
Kudondoka kuna 7bu nyingi mkuu,nina ushuhuda na hilo kuna jamaa alidondoka kwenda kumpima kumbe alikuwa na magonjwa mengine malaria kali,UTI na damu ndogo.
Acha ujinga yaan uti udondoke ghafla.Hii kali duuh bila shaka utakua mshauri wa jiwe mnawapa watu matumain nyie mmejificha ubinafs wa kishetan huu
 
Walikuwa wanadondoka sema kwa sasa mtu akidondoka lazima waje "WAJUBA wa MOH" wavaa manailoni waje kumchukua sasa wakija wale "WAJUBA" lazima itakuwa story tu kitaa na info kusambaa.
Hii habari kuwa mortuary za Dar zimezidiwa, umeshaisikia.?
Tega sikio
 
Jiwe inabidi ashtakiwa kwa crime against humanity maana kwa ukaidi amaesababisha vifo ambavyo vingeliepukika
You don't know what you are saying.....
tokeni zenu na magonjwa yenu ya kutengeneza
na mabeberu yenu....
 
Back
Top Bottom