Huu uzi haueleweki, nafikiri Mods wameungaunga sana nyuzi za watu bila kufanya uhariri wa kutosha. Hata title haiendani na contents humu.
Anyways, suppose Lugola sio waziri tena, vipi? Yale mashati yake yenye bendera ataendelea kuyavaa? Political pundits kazi kwenu.
Halafu kufanya matumizi ya fedha za umma bila bunge kupitisha ni tatizo? Mbona tunaambiwa hata manunuzi ya ndege kwa cash na mengineyo kama yale manunuzi ya wabunge wa upinzani hayakupitishwa na bunge.
Watanzania tuache unafiki. Hakuna lolote hapa la kusifiwa.