Nimeiangalia sura yako apo juu nikawaza unasema kuwa unaenda kukojoa nikakiwaza kikojoleo chako, eeeh am kweli wakubwa wanafaidi, yetu macho, asante bi dada, pia pole yake Lugola aje uraiani tuchape kilauliLugola pamoja na kumsifia Rais leo kafukuzwa hadharani.Ningekuwa Lugola ningeaga nakwenda kuko joa na nasepa mbele kwa mbele.
Saizi polisi lazima wamlipizie kisasi watakmpiga cheti cha makosa matatu 90 kama tunavyopigwa sisiMzee wa Masuti yenye Mabendera bendera, acha aisome namba.
Mzee wa 10% ana historia nzuri ya rushwa ,
CCM ni ile ile.
Alisha fariki, si mda mrefu
Kwani hana mke?Daah! Maskini mzee lugola sasa angekuwa na mke angemliwaza angalau
Kumbe upo!Lugola pamoja na kumsifia Rais leo kafukuzwa hadharani.Ningekuwa Lugola ningeaga nakwenda kuko joa na nasepa mbele kwa mbele.
Una shida wewe"Akajiunge na Amber Rutty waendelee kukata mauno"
Ilisikika sauti ya mlevi mmoja ndotoni
Kibaya zaidi alijisahau kwamba alikuwa mmojawao kabla hajaukwaa Ubunge.Polisi walupo watafanya sherehe, aliwanyanyasa sana ma RPC, RTO NK
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina wasiwasi kwa kauli ya bashiru ally kuwa hata ukishinda kura za maoni wataweza kukumwaga hawa CCM watamtosa hata ktk ubunge kwani hii ni dosari tayariMiaka miwili ijayo utashangaa wamepewa shavu pande nyingine...