Unataka nife na miwaya ?Ww kachukuliwe na Lugola ndio anashobokea mijiwanawake weupe.
wote 3 ni mtu ya system ila nina wasiwasi kuwa huu ni mpango uliopangwa vizuri Lakini ukawa abortive kabla ya kukamilika
Kweli ukisikia mtu mweusi ni mjinga usikatae. Mfano ww unaponda wanaojadili hili tukio, wakati ww mwenyewe uko humu humu unajadili, na hakuna popote ulipoanzisha mada yenye tija!
Du pole zake Kange Lugola. Sasa tuone yale mauno aliyokuwa anakata huku akibariki mauaji ya raia wasiokuwa na hatua atayafanyia wapi. Go to hell Lugola & Co.
Atoiweza hio wizara ya maagizo atatumbuliwa b4 uchaguzi hio wizara ni ngumu yafaa ubalance maagizo na utendajiSimbachawene atakuwa
Kawa baloziii kabisaKwa hiyo Meja Jenerali amejiuzulu tu nafasi ya Katibu Mkuu, au hadi ujeshi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Murongo alishafariki au umeamua kuchangamsha kijiwe?Murongo alishatangulia mbele ya haqi
Hii mi mwenyewe nimenusa ni movieNajiuliza hawa walipata wapi Go Ahead ya kusaini hivyo walivyovisaini naangalia hivi nasema iiiiiiiiiih wacha tuendelee kuangalia msimu wa filamu pendwa.
JamaniLabda aliambiwa aandike barua,hivi kweli mswahili anawezajiuzuru kweli? Yaani kutoka mezani kwa hiari kweli
Mliombwa msiache kujadili tukio la US travel ban/restrictions na kurukia tukio la uteuzi. Kwa kifupi muendelee na andiko lile la Marekani. Je unaona watu wameweza kutorukia tawi la jingine? Hiyo ndio trend ya mijadala hapa. Ujinga ni kutojua kuwa driving force yenu ni mihemko na wajanja wanacheza karata zao. It’s called spinning Mr. Mwerevu.Kweli ukisikia mtu mweusi ni mjinga usikatae. Mfano ww unaponda wanaojadili hili tukio, wakati ww mwenyewe uko humu humu unajadili, na hakuna popote ulipoanzisha mada yenye tija!