Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Ila mzee baba yeye ananunua ndege bila kupitishwa na bunge
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu ni mwema ambavyo simpendi Kangi Lugola hii ni habari njema sana
 
Aisee umeandika vitu ambavyo sio vya kweli kwenye hayo maandishi. Hakuna mahali Mhe. Rais amesema pesa ambayo imekopwa itaenda kujenga majengo ya Magereza.

Kwanza kabisa uelewe, ishu ya fedha zilizokopwa ilikuwa ni kwa ajili ya Idara za Zima Moto na Uokoaji na sio Jeshi la Magereza.

Hivyo jitahidi kuwa makini unavyosambaza habari.
 
Hatimaye kupiga Vita makanisa ya walokole kumepata jibu .Nilimuonya Lugora humu bado Mjema
 
Ogopa watu waongeaji sana mkuu,huyo jamaa ni mpiga blah blah tu. Wizara ya nje na mambo ya ndani zinahitaji akili nyingi,na diplomacy nyingi mkuu ila kubalance mambo kwa stake holders wote.
 
Kazi Gani atafanya, atakula Hela zake alizovuna mpk zitaisha

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lugola hakuwa muadilifu hata kabla ya kuwa waziri wa mambo ya ndani alikua na tuhuma nyingi ikiwemo ile ya rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwanini Mh hatilii maanani background ya mtu kabla ya kumteua. Katika wenyeviti wapya wa bodi mbali mbali walioteuliwa juzi kuna mmoja alikuwa na tuhuma kama 280 hivi ila kateuliwa. Sasa sijui washauri wa mkuu wanampamba mtu au vipi
 
Kuna mwingine alikua na mashitaka 160 ya matumizi mabaya ya Fedha/utakatishaji cha ajabu juzi ameteuliwa kua Chairman of the Board(Veta) na Dpp amesema hana nia ya kuendelea na kesi yake.
Lugola hakuwa muadilifu hata kabla ya kuwa waziri wa mambo ya ndani alikua na tuhuma nyingi ikiwemo ile ya rushwa

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Ni vyema tukajiuliza pia kwa nini walifanya hayo waliyofanya, Binafsi nafikiri ilikuwa na kufana upigaji hivyo ni vyema wakaburuzwa mahakama kwa makosa ya uhujumu uchumi, kutumia madaraka vijana, uharibu wa mali za umma, kosa la mauaji ( kuwaibia wanyonge ni kuwatia njaa na hatimaye kuwaua).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…