darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Hawa Wala rushwa aliwadhibiti sio kuwanyanyasaPolisi walupo watafanya sherehe, aliwanyanyasa sana ma RPC, RTO NK
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Wala rushwa aliwadhibiti sio kuwanyanyasaPolisi walupo watafanya sherehe, aliwanyanyasa sana ma RPC, RTO NK
Sent using Jamii Forums mobile app
Yamekuwa hayo Mmawia!
Mliombwa msiache kujadili tukio la US travel ban/restrictions na kurukia tukio la uteuzi. Kwa kifupi muendelee na andiko lile la Marekani. Je unaona watu wameweza kutorukia tawi la jingine? Hiyo ndio trend ya mijadala hapa. Ujinga ni kutojua kuwa driving force yenu ni mihemko na wajanja wanacheza karata zao. It’s called spinning Mr. Mwerevu.
Chanzo cha yote ni kukurupuka kudhani unawajua watu humu na kukariri wanaandika nini. Rudi mwanzo utaona aliyewapangia watu vya kuandika. Sasa kuanzisha mada humu ndio big deal? Eti viwanda! We vipi bro
Nani huyo ? Nadhani sijamaanisha hayo !ndio maana jamaa ameteuliwa ubarozi harakaharaka
Salaam Wana jf,
napenda kumpongeza rais wetu mh John magufuli kumtumbua mh kangi lugola kwenye nafasi ya waziri wa mambo yandani. Miongoni mwa sababu zilizopelekea mh rais achukue hatua hiyo, ni pamoja na kitendo cha mh lugola kuingia mikataba ya manunuzi bila idhini ya bunge.
Na kumpongeza sana mh rais kwa kulinda heshima na nafasi ya bunge kwenye maamuzi ya matumizi ya pesa za umma. Mungu akubariki.
Kuna baadhi ya nchi katiba zao zinatamka hivyo kwamba wanajeshi sio watumishi wa umma ndio maana hutawahi kusikia wanajeshi wamegoma kamwe // ikitokea wanajeshi wamegoma Kama misri enzi za hosni Mubarak ujue serikali imepinduliwa.