Katibu Mwenezi Paul Makonda anaelekea Buseresere Muda huu alakiwa na maelfu ya vijana

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
πŸ“ŒπŸ“Œ KISHINDO CHA MAKONDA KATORO NA BUSERESERE - GEITA

Maelfu ya Wananchi wa Katoro na Buseresere Wamejitokeza kwa Wingi Kumpokea Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu Paul Makonda wakati akipita na Msafara wake akitokea Chato Kuelekea Geita Mjini Kwenye Mkutano wa Hadhara Leo Tarehe 11 Novemba 2023 Mkoani Geita.

#vitendovinasauti
#CCMImara
 

Ma-conder akili zake anazijua mwenyewe..
 
Halafu mwambieni Makonda asiendeshe sana baiskeli kwasbb ana makalio makubwa
 
Hakuna kitu hapo ni mwendo wa kulazimishana, mwanafunzi asipofika atapunguziwa mksi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…