Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM haipigani yenyewe , inapiganiwa na " baba"
Mh. Polepole (kamati ya ununuzi na ufundi)Kwa taarifa ni kwamba kikosi hiko kinaundwa na list hii.
1. Magonjwa mtambuka (goalkeeper)
2. No retreat no salender ( beki).
3.Stroke (beki) .
4.Laki si pesa (beki)
5. Mudawote (mkoba).
6.kawe alumni (kiungo)
7.Digna sowey (wings teleza).
8.Boniphace Kichonge (mchezeshaji).
9.Nyani Ngabu (forward).
10.Johnthebaptist (Captain)
11.KARO MWILAPWA (winga ya kushoto)
Umeandika UJINGA mtupuCorona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
JE! Unafurahia kama BASHITE au unamnanga kiLUMUMBA?Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.
Vipi hali yake?
Wachagga hamchelewi!
Mbenga box Chris Lukosi?Nimo humu tangu 2008. Kulikuwa na kina Lizaboni na yule mbeba box maarufu ulaya namsahau Sasa ana jina la watu wa mbeya , sijui hawa umri umepita au ndio hivyo mambo mengi. Walikuwa na uwezo mkubwa wa kupangua hoja kipindi hicho Kina Zito, dr Slaa na wengine wakubwa tuliwasoma humu. Kwa Sasa wakubwa wote wanapost na kutoweka au MTU anawaletea Uzi wao kutoka twita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndiye alibunya rambirambi ya Mwangosi?Mbenga box Chris Lukosi?
Mbenga box Chris Lukosi?
JE! Unafurahia kama BASHITE au unamnanga kiLUMUMBA
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.Umeandika UJINGA mtupu
Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi ya Ufipa, anaugulia Corona Dodoma.Umeandika UJINGA mtupu
Alafu habari ya buku 7 huwa nafikiri ni kejeli tu za Jf, kuna ni kweli jamaa wanalipwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
@Wakudadavua YEHODAYA hawamo first eleven?Kwa taarifa ni kwamba kikosi hiko kinaundwa na list hii.
1. Magonjwa mtambuka (goalkeeper)
2. No retreat no salender ( beki).
3.Stroke (beki) .
4.Laki si pesa (beki)
5. Mudawote (mkoba).
6.kawe alumni (kiungo)
7.Digna sowey (wings teleza).
8.Boniphace Kichonge (mchezeshaji).
9.Nyani Ngabu (forward).
10.Johnthebaptist (Captain)
11.KARO MWILAPWA (winga ya kushoto)
Anawaumbua eeeeeenhMzee tupatupa wa Ufipa, kama huna kitu cha kuposti nenda kilabuni ukapate hata kitochi cha mbege.
namba saba na namba kumi hapoKwa taarifa ni kwamba kikosi hiko kinaundwa na list hii.
1. Magonjwa mtambuka (goalkeeper)
2. No retreat no salender ( beki).
3.Stroke (beki) .
4.Laki si pesa (beki)
5. Mudawote (mkoba).
6.kawe alumni (kiungo)
7.Digna sowey (wings teleza).
8.Boniphace Kichonge (mchezeshaji).
9.Nyani Ngabu (forward).
10.Johnthebaptist (Captain)
11.KARO MWILAPWA (winga ya kushoto)
Hujui wabunge wako Dodoma?Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi ya Ufipa, anaugulia Corona Dodoma.
Nini usichokielewa hapo?