Katibu Mwenezi Polepole, malipo ya 'Lumumba Buku 7' yameathiriwaje na Corona?

Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
 
Mh. Polepole (kamati ya ununuzi na ufundi)
 
Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
JE! Unafurahia kama BASHITE au unamnanga kiLUMUMBA?

 
Mbenga box Chris Lukosi?
 
JE! Unafurahia kama BASHITE au unamnanga kiLUMUMBA

Nnaona Waswahili wa kuja neno "kunanga' mmeshalibadili maana.

Corona bado anacheza Ufipa, Lumumba haujafika bado.

Mwenyekiti wa maisha, Mbowe, tunafahamu kaikimbia ofisi anaugulia Corona Dodoma.

Vipi hali yake?

Wachagga hamchelewi!
 
@Wakudadavua YEHODAYA hawamo first eleven?
 
namba saba na namba kumi hapo

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜πŸ€£πŸ˜πŸ€£πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…