TANZIA Katibu Tawala Arusha, Bw. Richard Kwitega afariki Dunia

Chanzo cha ajali mwendokasi dereva hana lawama kwa kumsikiliza boss wake.
 
Kiukweli sisi madereva wa serikali tuna kiburi barabarani. Mimi nina pikipiki yenye namba za DFPA kweli barabarani huwa nataman fuso zinipishe
 
Ajali za namna hii mara nyingi ni uzembe wa dereva katika kuyapita magari ya mbele (overtake). Nimewahi shuhudia aina hizi za gari ziki-overtake kwenye mpando, kona, au mkanda wa malori bila kuhofu kitakachojiri mbele na ghafla unakutana na semi au basi nalo limeiva, hapo ndipo unapokumbuka sheria za barabarani hazikuwekwa na wendawazimu japo inakuwa too late for you.
 
Hahahaha unakutanisha chuma kwa chuma 😁😁😁 mwendo mchubuyu
 
Pole mkuu.
Sijawahi na sitawahi kuja mantiki ya magari ya serikakali kutofuata sheria za barabarani.
Trafiki wanawaangalia tu. Kila mtu atavuna alichopanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…