Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tukujhonga jumo jumoUlilile malafyale!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukujhonga jumo jumoUlilile malafyale!
Au laana ya uchafuzi waliofanya 28/10?Viongozi na watumishi wa serikali ni wahanga wakubwa wa vifo/ulemavu uletwao na ajali.
Sijui chanzo ni nini? Mwendokasi au juju
Ajali za namna hii mara nyingi ni uzembe wa dereva katika kuyapita magari ya mbele (overtake). Nimewahi shuhudia aina hizi za gari ziki-overtake kwenye mpando, kona, au mkanda wa malori bila kuhofu kitakachojiri mbele na ghafla unakutana na semi au basi nalo limeiva, hapo ndipo unapokumbuka sheria za barabarani hazikuwekwa na wendawazimu japo inakuwa too late for you.Salaam Wakuu,
Habari Mbaya ni kwamba Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw.Richard Kwitega amefariki Dunia kutokana na ajali.
Richard Kwitega kafariki alasiri ya leo kwa ajali ya gari katika kituo cha afya cha Magugu. Alikuwa anaenda Dodoma Kikazi, alipofika maeneo ya Mdori Manyara gari lake iligongana na Basi la Makala uso kwa uso, basi lilikuwa linalotoka Babati.
Baada ya ajali akakimbizwa kituo cha afya cha Magugu ili baadaye apelekwe Babati kwa matibabu zaidi.
Ilipofika saa tisa na dakika 50 akafariki Dunia. Mipango inafanyika ya kuurudisha mwili Arusha.
Apumzike kwa amani.
Gwe sikusulumania!Tukujhonga jumo jumo
Hajafa
drain dough cycle hccyyhMwenyezi Mungu amlaze mahala alipojiandalia.
Hahahaha unakutanisha chuma kwa chuma 😁😁😁 mwendo mchubuyuKila siku huwa nasema madereva wa mahari ya serikali hawana akili. Wanadhani mtu aliyegundua kuwa gari ili ipishwe inahitaji kutoa taarifa ya suti(siren) na taa pia(vimulimuli) wao wakishafunga vimulimuli kwa dicksound wanajiona wana haki ya kupishwa wananyoosha mguu tu
Sasa ukute sehem pazuri naweza kuitoa kidogo yangu. Kama pabaya tunakutanisha vyuma tu halafu tunaomba Mungu
Tumekuelewa. Kwa hiyo hao Walokole, kwa mawazo yako, ni watu sema.Huyu jamaaa alikuwa kama mlokole jamani kifo kinachukua watu wema!!
Pole mkuu.Nikiwa kama mhanga wa ajali zinazosababishwa na magari ya serikali.
mwaka 2012 pale junction ya kwenda ITV, niko navuka kwenye zebra, STK 232 nyeupe ikanigonga, ikiwa inatokea mwenge. Nyuma yake kulikua na gari 3 zimekaa foleni kusubiri nivuke, yeye akatanua akaja kunivaa paaaap!
Bahati yangu Mungu aliniokoa maana jamaa alikuja kufunga break karibu kabisa na kichwa changu.
Nikainuka kurudi upande nlipokua. Dereva yule alisepa fasta hakusimama wala kuonesha kujali.
Wito: Maereva wazembe wawajibishwe kwasababu hakuna aliye juu ya sheria.
Alikuwa bungeni mkuuGambo mbona hakushiriki msibani?