Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa

Nafikiri tuanze kupiga magoti na kusali
 
Leo kateuliwa kuwa katibu mwenezi wa ccm taifa. "Mimi na magufuli ni kitu kimoja" kweli kiswahili cha bara na visiwani nimeamini kuwa ni lugha tofauti
 
mmeshachelewa ndiyo kisha pata ulaji mkubwa sasa chadema mtakonda mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…