Uchaguzi 2020 Katibu wa CCM Wilaya Kyela anadaiwa kumwaga dawa ukumbini muda huu

Uchaguzi 2020 Katibu wa CCM Wilaya Kyela anadaiwa kumwaga dawa ukumbini muda huu

Kumbe kyela ni jiji?
Wakuu, habari nyeti kutoka kwenye ukumbi mkubwa zaidi jijini kyela zinadai Lukas Mwanyanda katibu wa CCM wilaya, ameonekana akimwaga madawa ukumbi utakao tumika kwa uchaguzi kesho.

Vyanzo viwili nyeti vinakiri kushuhudia tukio hilo ambalo limefanyika wazi dakika chache zilizopita.

"Tulimuona alianzia kumwaga eneo la viti vya wagombea , meza kuu na baadae kwa wajumbe, sisi watatu tumemuona" alieleza mnyetishaji huyo ambaye anajilaumu kupoteza nafasi ya kumpa kichapo katibu huyo.

Chanzo hiki kimejaribu kumsaka Dr Kimati katibu mkongwe kutaka kujua mwenendo wa mmwagaji dawa huyu ambaye Ni mtumishi wake lakini hakupatikana. Lukas Mwanyanda kama anavyojiita anafahamika kutembea na kirungu chenye mashanga mashanga na kuvaa mapete ya rangi rangi kama alama yake ya kisiasa.

Nimefika ukumbini hapo muda huu na kukuta ukumbi mzima umezungukwa na mashushu wa Kila mgombea na pikipiki.

Katibu huyu anadaiwa kuwa mtiifu kwa mbunge anae maliza muda wake Daktari msomi Harrison mwakyembe.
KESHO

Kesho Ni mtifuano mkali Sana Kati ya Mafahari watatu, Mbunge Dr mwakyembe, Mwenyekiti wa Chama Ndugu Kinanas na Mwanasiasa Machachari mdomoni Mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri Dr Hunter Mwakifuna.

N.B

Wewe kigogo unae karibia kuleta dawa nyingine tunazo habari zako, Tumesikia mmeapa wajumbe wajutie kuingia ukumbini humu,

Lakini je vitendo vya ushirikina vitawapa mafanikio??

Tukutane Kesho.....
 
Huo ni utamaduni wa ccm
Screenshot_20190924-085502.jpeg
 
Kwa wadhifa wake sio tuu hatakiwi kujihusisha na matendo hayo... Bali pia hatakiwi kuhisiwa kuwa anashiriki katika matendo hayo
 
Yeye mwenyewe huyo rais wako ni kidogo kwenye hayo mambo? Yeye pia bila hayo madaraka atajikuta kwenye wakati mgumu sana kwenye ushindani wa kweli.

Kama unasema wote wako hivyo, unaruka nini kukanyaga wapi?

Wa kwangu amefanya mambo makubwa na mazuri akwa mbayo hayajawahi kufanywa tangu uwepo wa hii nchi. Huyo Member wako sas ana nini cha kuonyesha zaidi ya uroho wa madarakae ili amalizie mishe ni waliyoianzisha na familia yake miaka iliyopita?
 
Madegree wapi boss, hayo madegree huwa yanasingiziwa tu. Watu wana nguvu zao za asili, na hizo ndio degree zao za kweli.
Ndiyo mkuu ni kweli Tanzania ni nchi ya giza daima! Siri ya Bashite na Meko inajulikana na kamati ya ufundi ya Meko inayoratibiwa na Bashite inajulikana! SUbiri kama kuna mwenye ubavu wa kukata jina hilo kigamboni.
Huko kilolo alikuwepo Professor Msola naye ni gwiji wa magwiji toka akiwa SUA hadi ubunge na uwaziri. Kutoa kafara kama kazi.
Mwakyembe ni cha mtoto.
Wale wenye maalbino tafadhali ficheni ndugu zenu kipindi cha kuchinjwa hiki.
 
Ni kosa kuleta dawa,kutakuwa na wa/mgonjwa huko..au ni dawa ya nini,ongeza volyumu
 
Kama unasema wote wako hivyo, unaruka nini kukanyaga wapi?

Wa kwangu amefanya mambo makubwa na mazuri akwa mbayo hayajawahi kufanywa tangu uwepo wa hii nchi. Huyo Member wako sas ana nini cha kuonyesha zaidi ya uroho wa madarakae ili amalizie mishe ni waliyoianzisha na familia yake miaka iliyopita?

Tafuta popote nilipowahi kumuunga mkono muhuni yoyote toka ccm. Ukipaona nipigwe ban mpaka uchaguzi mkuu upite. Hao ni kuanzia Lowassa, Membe, Magufuli, JK nk. Ukiona sehemu yoyote nimewasifia uje ulete mrejesho.
 
Wakuu, habari nyeti kutoka kwenye ukumbi mkubwa zaidi jijini kyela zinadai Lukas Mwanyanda katibu wa CCM wilaya, ameonekana akimwaga madawa ukumbi utakaotumika kwa uchaguzi kesho.

Vyanzo viwili nyeti vinakiri kushuhudia tukio hilo ambalo limefanyika wazi dakika chache zilizopita.

"Tulimuona alianzia kumwaga eneo la viti vya wagombea , meza kuu na baadae kwa wajumbe, sisi watatu tumemuona" alieleza mnyetishaji huyo ambaye anajilaumu kupoteza nafasi ya kumpa kichapo katibu huyo.

Chanzo hiki kimejaribu kumsaka Dr Kimati katibu mkongwe kutaka kujua mwenendo wa mmwagaji dawa huyu ambaye Ni mtumishi wake lakini hakupatikana. Lukas Mwanyanda kama anavyojiita anafahamika kutembea na kirungu chenye mashanga mashanga na kuvaa mapete ya rangi rangi kama alama yake ya kisiasa.

Nimefika ukumbini hapo muda huu na kukuta ukumbi mzima umezungukwa na mashushu wa Kila mgombea na pikipiki.

Katibu huyu anadaiwa kuwa mtiifu kwa mbunge anae maliza muda wake Daktari msomi Harrison mwakyembe.
KESHO

Kesho Ni mtifuano mkali Sana Kati ya Mafahari watatu, Mbunge Dr mwakyembe, Mwenyekiti wa Chama Ndugu Kinanas na Mwanasiasa Machachari mdomoni Mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri Dr Hunter Mwakifuna.

N.B

Wewe kigogo unae karibia kuleta dawa nyingine tunazo habari zako, Tumesikia mmeapa wajumbe wajutie kuingia ukumbini humu,

Lakini je vitendo vya ushirikina vitawapa mafanikio??

Tukutane Kesho...
Mkataeni huyo mshirikina enyi watu wa Kyela.
 
Wakuu, habari nyeti kutoka kwenye ukumbi mkubwa zaidi jijini kyela zinadai Lukas Mwanyanda katibu wa CCM wilaya, ameonekana akimwaga madawa ukumbi utakaotumika kwa uchaguzi kesho.

Vyanzo viwili nyeti vinakiri kushuhudia tukio hilo ambalo limefanyika wazi dakika chache zilizopita.

"Tulimuona alianzia kumwaga eneo la viti vya wagombea , meza kuu na baadae kwa wajumbe, sisi watatu tumemuona" alieleza mnyetishaji huyo ambaye anajilaumu kupoteza nafasi ya kumpa kichapo katibu huyo.

Chanzo hiki kimejaribu kumsaka Dr Kimati katibu mkongwe kutaka kujua mwenendo wa mmwagaji dawa huyu ambaye Ni mtumishi wake lakini hakupatikana. Lukas Mwanyanda kama anavyojiita anafahamika kutembea na kirungu chenye mashanga mashanga na kuvaa mapete ya rangi rangi kama alama yake ya kisiasa.

Nimefika ukumbini hapo muda huu na kukuta ukumbi mzima umezungukwa na mashushu wa Kila mgombea na pikipiki.

Katibu huyu anadaiwa kuwa mtiifu kwa mbunge anae maliza muda wake Daktari msomi Harrison mwakyembe.
KESHO

Kesho Ni mtifuano mkali Sana Kati ya Mafahari watatu, Mbunge Dr mwakyembe, Mwenyekiti wa Chama Ndugu Kinanas na Mwanasiasa Machachari mdomoni Mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri Dr Hunter Mwakifuna.

N.B

Wewe kigogo unae karibia kuleta dawa nyingine tunazo habari zako, Tumesikia mmeapa wajumbe wajutie kuingia ukumbini humu,

Lakini je vitendo vya ushirikina vitawapa mafanikio??

Tukutane Kesho...
Wanajikinga dhidi ya adui kmuu CDM
 
Wakuu, habari nyeti kutoka kwenye ukumbi mkubwa zaidi jijini kyela zinadai Lukas Mwanyanda katibu wa CCM wilaya, ameonekana akimwaga madawa ukumbi utakaotumika kwa uchaguzi kesho.

Vyanzo viwili nyeti vinakiri kushuhudia tukio hilo ambalo limefanyika wazi dakika chache zilizopita.

"Tulimuona alianzia kumwaga eneo la viti vya wagombea , meza kuu na baadae kwa wajumbe, sisi watatu tumemuona" alieleza mnyetishaji huyo ambaye anajilaumu kupoteza nafasi ya kumpa kichapo katibu huyo.

Chanzo hiki kimejaribu kumsaka Dr Kimati katibu mkongwe kutaka kujua mwenendo wa mmwagaji dawa huyu ambaye Ni mtumishi wake lakini hakupatikana. Lukas Mwanyanda kama anavyojiita anafahamika kutembea na kirungu chenye mashanga mashanga na kuvaa mapete ya rangi rangi kama alama yake ya kisiasa.

Nimefika ukumbini hapo muda huu na kukuta ukumbi mzima umezungukwa na mashushu wa Kila mgombea na pikipiki.

Katibu huyu anadaiwa kuwa mtiifu kwa mbunge anae maliza muda wake Daktari msomi Harrison mwakyembe.
KESHO

Kesho Ni mtifuano mkali Sana Kati ya Mafahari watatu, Mbunge Dr mwakyembe, Mwenyekiti wa Chama Ndugu Kinanas na Mwanasiasa Machachari mdomoni Mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri Dr Hunter Mwakifuna.

N.B

Wewe kigogo unae karibia kuleta dawa nyingine tunazo habari zako, Tumesikia mmeapa wajumbe wajutie kuingia ukumbini humu,

Lakini je vitendo vya ushirikina vitawapa mafanikio??

Tukutane Kesho...
Pepo ya Mabwege
 
Back
Top Bottom