Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
CCM matapeli sana, Maaskofu waliitwa Ikulu pasipo kujua kuna tukio gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uoga wewe jiamini muhimu mikataba izingatie maslahi ya taifa.samia Hilo suala la hili limkataba la bandari ilikuwa afe kipa afe beki ilikuwa harudi nyuma na ndio mana kafanya aliyoamua kuyafanya ili DP uanze kazi bandarini.
Kuna ajenda ya siri sana inafichwa juu ya suala hili waTanganyika tuombe sana
Imagine mwarabu wa DP kabla hata hajaanza kazi bandarini keshafika Njombe kuangalia ardhi ili awekeze huko sasa unajiuliza wamekuja kwa ajili ya bandari au na mambo mengine?
Wewe ni miongoni mwa hao waliozalishwa? Mpo wangapi?Kitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
...Sasa Mungu anakuwaje na Mali bila Kuzilinda ???....Sasa mkuu mimi naamini ile nadharia ya kuwa mali zote pamoja na rasilimali za Nchi zinatoka kwa Mungu na yeye pekee ndiye mwenye nguvu na mamlaka ya kulinda hizo mali.
Ikitokea Mungu kaona serikali ya samia haitendi haki kwenye uangalizi wa mali zake Mungu ataleta serikali nyingine kwaajili ya kuzilinda mali zake zote. Kwa sasa relax na ujifunze kutofautisha viongozi ili akija mwingine mwenye misimamo msimpinge.
Kazi ya kanisa ni kulingania kondoo wa bwana na sio kuwa mtetezi wa mali.
Sasa kuna ubaya gani kujenga misikiti njombe na na mbeya mbona juzi Rais samia kawapa wakatoliki pale babati milioni 100 wamalizie kanisa lao pale?Imagine halafu kumbe wanajenga misikiti huko Njombe na Mbeya
Hili suala waTanganyika tusipofungua jicho la tatu kuna madhara makubwa sana yanaenda kutokea huko mbele ya safari
Kwa maana halisi, hawa TEC wamedharauliwa na serikali kama wanayoyasema ni ya kweli. Lakini sina sababu ya kutilia mashaka aliyoeleza Kitima. Samia anajulikana ni kiongozi wa hadaa na udanganyifu mwingi. Hii ndiyo tabia yake.Imagine watu wameitikia wito kwa utii tu kwa mamlaka bila kujua kuna shughuli ya nini hasa …halafu wanafika pale waimba mashairi wanaanza kuimba ,” …hata waliopinga mkataba Leo wako hapa kwa sababu wanakubaliana nao “ …haikuwa lazima…watafanya siku nyingine wakiwaita wasiende au watume uwakilishi wa kawaida sana …mfano kanisa katoliki kuweza kutuma maaskofu watatu wakasindikizwa na katiibu mkuu wa TEC ni heshima sana …..shughuli nyingi tu kubwa huwa wanatuma Padre wa parokia ya eneo husika panapofanyika jambo kuwakilisha
Unajua misimamo ya TEC wewe! Tulia utaona mziki wao. Ila kusema kweli tunataka kuona huo mkataba sio maneno.Lile joho alilopewa Mheshimiwa Protase kule Tabora niliofia sana, nilijua kuna kitu kigumu kinafuata. Mwenye ile picha naiomba
I wish asilivae, likae tu huko Vatican.
Wewe ni mmoja wao. Sio!?Kitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
EEEeeeenHeeeeee!Nadhani ulimuona pale namna alivyokuwa hana amani moyoni.
Hata Mimi nilihisi hivyo.Lile joho alilopewa Mheshimiwa Protase kule Tabora niliofia sana, nilijua kuna kitu kigumu kinafuata. Mwenye ile picha naiomba
I wish asilivae, likae tu huko Vatican.
Sidhani kama atalivaa.Lile joho alilopewa Mheshimiwa Protase kule Tabora niliofia sana, nilijua kuna kitu kigumu kinafuata. Mwenye ile picha naiomba
I wish asilivae, likae tu huko Vatican.
That will never happen.Wanaotusababishia hasara kwa kutuingiza kwenye mikataba hiyo mibovu wako ndani ya uwezo wetu.
Natamani siku moja tupate wanajeshi wazalendo waongoze nchi na kuwashughulikia kisawasawa hawa hayawani, maana hata wakitoka kwa njia ya kura hakuna hakika kama watakaoingia watakuwa tofauti.
Hii nchi jamani watu wanafikiri Kwa kutumia nini ????samia Hilo suala la hili limkataba la bandari ilikuwa afe kipa afe beki ilikuwa harudi nyuma na ndio mana kafanya aliyoamua kuyafanya ili DP uanze kazi bandarini.
Kuna ajenda ya siri sana inafichwa juu ya suala hili waTanganyika tuombe sana
Imagine mwarabu wa DP kabla hata hajaanza kazi bandarini keshafika Njombe kuangalia ardhi ili awekeze huko sasa unajiuliza wamekuja kwa ajili ya bandari au na mambo mengine?
Wewe ni nani wakufanya mtu aseme utakayo. Poor argument.Mbona ume panic jiwe limekupiga. Aseme tu mimi ni mwanaharakati wa Chadema sio kujificha sijui katibu wa maskofu. Mbona Gwajina kasema tu mimi CCM na mchungaji hakuna shida. Kama mwanamme kweli aseme yeye ni nani sio kujificha kwenye kivuli cha udini huo ni uwoga. Kwanza sasa hivi hana thamani yoyote kaalikwa kapigwa mawe na kina Mrisho sura akaishusha na mpiga picha kaambiwa peleka kule camera. Unacheza na CCM weweee
Duh!Mbona ume panic jiwe limekupiga. Aseme tu mimi ni mwanaharakati wa Chadema sio kujificha sijui katibu wa maskofu. Mbona Gwajina kasema tu mimi CCM na mchungaji hakuna shida. Kama mwanamme kweli aseme yeye ni nani sio kujificha kwenye kivuli cha udini huo ni uwoga. Kwanza sasa hivi hana thamani yoyote kaalikwa kapigwa mawe na kina Mrisho sura akaishusha na mpiga picha kaambiwa peleka kule camera. Unacheza na CCM weweee
As a nation, we're up to an interesting episode. Can't wait to see what follows next!It's like a page from Mario Puzzo Novel (Actually this is Stranger than Fiction)....; Gives a Whole new Meaning to Banana Republic...