Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Nikueleze tena, hapa hakuna swala la itikadi, si ujamaa wala ubepari. Unapeleka akili yako huko huku hata huna uwezo wa kuyafafanua hayo.
Hapa mnalofanya ni ujambazi na hatima ya jambazi yeyote inajulikana. Inawasubiri.
Narudia tena kukwambia kwamba uelewa wako ni mdogo kiasi cha kushindwa kujua nini kinafanywa katika sekta nzima ya uchukuzi kipindi hiki cha awamu ya sita.

Uelewa unapokuwa mdogo haraka sana akili ya kiafrika hukimbilia yale maneno mepesi kama vile 'tunaibiwa' 'tunapigwa'. Siku zote maskini wa akili huwa anaibiwa yeye tu, hawazi kwamba pia na yeye anayo haki ya kumuibia huyu anayemuona ni mwizi wa mali zake!, pathetic mindset.
 
Maneno yaleyale uliyokariri toka mwanzo, unayarudia tu kama kasuku.
Ufisadi wenu mnaofanya hapa hautawaacha salama.
Mimi na wewe tutaondoka hapa duniani na ufisadi tutauacha ukiendelea kuwepo. Ulikuwepo kabla Yesu hajazaliwa na tutakufa tukiuacha juu ya uso wa dunia.
 
Narudia tena kukwambia kwamba uelewa wako ni mdogo kiasi cha kushindwa kujua nini kinafanywa katika sekta nzima ya uchukuzi kipindi hiki cha awamu ya sita.

Uelewa unapokuwa mdogo haraka sana akili ya kiafrika hukimbilia yale maneno mepesi kama vile 'tunaibiwa' 'tunapigwa'. Siku zote maskini wa akili huwa anaibiwa yeye tu, hawazi kwamba pia na yeye anayo haki ya kumuibia huyu anayemuona ni mwizi wa mali zake!, pathetic mindset.
Unazungusha maneno tu, lakini hakuna chochote cha maana kuhusu uelewa wako unachokielezea hapa ili tukuone kuwa unao upeo huo wa uelewa unaoudai wewe; badala yake, tokea mwanzo, mambo unayobandika humu ni yale yale yasiyokuwa na maana yoyote, yote yakiwa ni ya kuonyesha ufisadi na utapeli tu unaofanywa na huyo Samia.

Hata kama wewe ungekuwa na uelewa, lakini ukashindwa kuueleza hapa watu wakaupima, na kukubaliana nao au kuukataa; wewe huonyeshi chochote.
Haya, kama ni hiyo mikataba ndio msingi wako wa kusema unao uelewa, hata yenyewe inaonyesha wazi hakuna chochote unachoelewa humo. Umetumwa tu kuja hapa JF kupigania mikataba, lakini huna uwezo wa kushawishi watu wakuone kuwa kweli kuna kitu cha maana unachokielewa, hata kama hawakubaliani nawe. Wewe ni zero tupu! Sasa umebaki kudai, "unao uelewa" zaidi ya hapo ni mtupu.
 
Mimi na wewe tutaondoka hapa duniani na ufisadi tutauacha ukiendelea kuwepo. Ulikuwepo kabla Yesu hajazaliwa na tutakufa tukiuacha juu ya uso wa dunia.
Katika hili ninakubaliana na wewe, lakini tofauti yetu iko palepale; wewe na mimi tutabaki tofauti kabisa katika maisha tuliyoishi hapa duniani. Wewe uliishi maisha ya kitapelitapeli na kifisadi maisha yako yote, tofauti kabisa na maisha niliyoishi mimi.
 
Kitima akatoe matunzo kwa wanawake aliowazalisha.
Watanzania mna nini lakini,angalia mafaini tunayolipishwa kama nchi kwa mikataba walioingia watangulizi waliopita harafu wenzao wakaja kuivunja pasipo kufuata sheria,sasa ni bora tuijue yote ili makosa yasije jirudia,watanzania wenyewe ndo mnaokwamisha hii nchi kusonga mbele,sasa tunabinafisha ,harafu tunapa pesa ,harafu pesa inakwenda kulipa faini,faida iko wapi hapo,simamia viongozi wako na ujue wanaolofanya juu ya nchi yako,siyo viongozi wote wabaya hapana ,ila kuna waliopo na, na ndo hutukwamisha
 
Duh, kumbe wameitwa na kukuta agenda palepale na wapigapicha wakajitahidi kuwafotoa ili waonekane na jamii. Mbaya Sana hii kama ni kweli
Hakuna mtu amewahi kucheza na Kanisa Katoliki akawa salama.Ni suala l.muda tuu
 
Kwani barua ya mwaliko haikua ina onyesha sherehe ni zakitu gani, waache kujipumbaza, kwanza serikali ingetaka wote wa udhurie ingewalazimisha bila tatizo, hao walusha pokea la kwao ndo wanaanza kujikausha eti hawakujua sherehe zilikua za nini? Mtu mwenye akili unaweza je kuudhuria sherehe bila kujua ni harusi au ya kiparamara bora wakae kimya.
Muda utaongea ndugu.Hongera kwa kuwapa waarabu bandari ila kuna siku tutakukumbusha kuwa maaskofu walikuwa sahihi kutetea maslahi ya nchi.Enjoy your honeymoon
 
Katika hili ninakubaliana na wewe, lakini tofauti yetu iko palepale; wewe na mimi tutabaki tofauti kabisa katika maisha tuliyoishi hapa duniani. Wewe uliishi maisha ya kitapelitapeli na kifisadi maisha yako yote, tofauti kabisa na maisha niliyoishi mimi.
Mimi na wewe hatujuani kwa ukaribu, hivyo ni vigumu kuamini hiyo hukumu yako unayojipa wewe mwenyewe.
 
Unazungusha maneno tu, lakini hakuna chochote cha maana kuhusu uelewa wako unachokielezea hapa ili tukuone kuwa unao upeo huo wa uelewa unaoudai wewe; badala yake, tokea mwanzo, mambo unayobandika humu ni yale yale yasiyokuwa na maana yoyote, yote yakiwa ni ya kuonyesha ufisadi na utapeli tu unaofanywa na huyo Samia.

Hata kama wewe ungekuwa na uelewa, lakini ukashindwa kuueleza hapa watu wakaupima, na kukubaliana nao au kuukataa; wewe huonyeshi chochote.
Haya, kama ni hiyo mikataba ndio msingi wako wa kusema unao uelewa, hata yenyewe inaonyesha wazi hakuna chochote unachoelewa humo. Umetumwa tu kuja hapa JF kupigania mikataba, lakini huna uwezo wa kushawishi watu wakuone kuwa kweli kuna kitu cha maana unachokielewa, hata kama hawakubaliani nawe. Wewe ni zero tupu! Sasa umebaki kudai, "unao uelewa" zaidi ya hapo ni mtupu.
DP World muda huu wanaendelea kujiandaa kwa ajili ya kufanya uwekezaji pale bandarini na hilo ndilo la muhimu kuliko hizi kelele zetu humu jukwaani.
 
Mimi na wewe hatujuani kwa ukaribu, hivyo ni vigumu kuamini hiyo hukumu yako unayojipa wewe mwenyewe.
Kwa maandishi yako humu JF, inatosha kabisa kujua wewe ni mtu wa aina gani. Kama wewe huna uwezo wa kutambua hivyo, ni moja ya sababu kubwa sana ya kutilia mashaka uelewa wako na kiwango cha elimu uliyo nayo.

Umekomaa sana na mkataba huu wa waarabu, bila shaka yoyote unazo sababu muhimu zinazokufanya uonekane hivyo.
Kwako, kila jambo kwenye mkataba huo unasema kiko sawasawa kabisa, kama umeshushwa toka mbinguni. Huoni chochote unachokitilia mashaka wewe kuhusu mkataba huo! Na bado unajiona kweli wewe ni mTanzania, anayelitakia mema taifa lake na wananchi wake?
Hata kama ungekuwa ni mwarabu, ambaye ni mTanzania, na kwa dhati unaipenda nchi yako, mkataba ule usingeuona kama msahafu ulioshushwa toka mbinguni kuja kuwanufaisha waTanzania.
 
DP World muda huu wanaendelea kujiandaa kwa ajili ya kufanya uwekezaji pale bandarini na hilo ndilo la muhimu kuliko hizi kelele zetu humu jukwaani.
Na haya maneno umeyaandika humu mara ngapi tokea uingie JF, June 17, 2023, unakumbuka?
Hili lisikufurahishe kupita kiasi na kusahau kwamba haya mnayoyafanya sasa ni mwanzo mzuri wa kulikomboa taifa letu. Hata wananchi waliokuwa hawaelewi kitu kuhusu utapeli wa Samia na genge lake, hili la DP World limewapa mwanga mzuri sana kuhusu kundi hatari tunaloshughulika nalo wakati huu.

Kwa hiyo jifurahishe,ungali na maluweluwe ya kudhani utapeli na ufisadi wenu umefanikiwa.
 
Mimi na wewe tutaondoka hapa duniani na ufisadi tutauacha ukiendelea kuwepo. Ulikuwepo kabla Yesu hajazaliwa na tutakufa tukiuacha juu ya uso wa dunia.
Kwa maneno haya sasa unakiri mwenyewe waziwazi kwamba upo hapa kupigania ufisadi/utapel.
Hili nilikwisha litambua toka mwanzo, pamoja na kujifanya mwenyewe kuwa siyo hivyo.
 
Kwa maandishi yako humu JF, inatosha kabisa kujua wewe ni mtu wa aina gani. Kama wewe huna uwezo wa kutambua hivyo, ni moja ya sababu kubwa sana ya kutilia mashaka uelewa wako na kiwango cha elimu uliyo nayo.

Umekomaa sana na mkataba huu wa waarabu, bila shaka yoyote unazo sababu muhimu zinazokufanya uonekane hivyo.
Kwako, kila jambo kwenye mkataba huo unasema kiko sawasawa kabisa, kama umeshushwa toka mbinguni. Huoni chochote unachokitilia mashaka wewe kuhusu mkataba huo! Na bado unajiona kweli wewe ni mTanzania, anayelitakia mema taifa lake na wananchi wake?
Hata kama ungekuwa ni mwarabu, ambaye ni mTanzania, na kwa dhati unaipenda nchi yako, mkataba ule usingeuona kama msahafu ulioshushwa toka mbinguni kuja kuwanufaisha waTanzania.
Mkataba huu wa waarabu umenifungua na kunifundisha mengi niliyokuwa siyajui. Faida zake pia ni nyingi na zinagusa wafanyabiashara wengi sana waliokuwa wanaumia chini chini bila ya kuwa na mtetezi wa kiwango cha Rais wa nchi.
 
Kwa maneno haya sasa unakiri mwenyewe waziwazi kwamba upo hapa kupigania ufisadi/utapel.
Hili nilikwisha litambua toka mwanzo, pamoja na kujifanya mwenyewe kuwa siyo hivyo.
Hiyo ni imani yako potofu, ninao ufahamu kwamba kurahisisha kazi za bandari ni kuifungua nchi, ni kuwezesha biashara ifanyike kwa haraka zaidi na pia ni kusafisha jina la bandari yenyewe kwani siku za nyuma wizi na ufisadi mwingi wa hapo mahali uliondoa kabisa sifa ya kupitishia mzigo wako Tanzania.

Usidhani kuwa kila mtu anafurahia maamuzi ya serikali kuingia mkataba, wapo wengi tu wenye vitumbua vyao vilivyoingia mchanga.
 
Na haya maneno umeyaandika humu mara ngapi tokea uingie JF, June 17, 2023, unakumbuka?
Hili lisikufurahishe kupita kiasi na kusahau kwamba haya mnayoyafanya sasa ni mwanzo mzuri wa kulikomboa taifa letu. Hata wananchi waliokuwa hawaelewi kitu kuhusu utapeli wa Samia na genge lake, hili la DP World limewapa mwanga mzuri sana kuhusu kundi hatari tunaloshughulika nalo wakati huu.

Kwa hiyo jifurahishe,ungali na maluweluwe ya kudhani utapeli na ufisadi wenu umefanikiwa.
Ukombozi wa taifa hili aliushindwa hayati Mtikila mwenye uwezo mzuri wa kujenga hoja sidhani kama wewe kwa akili hizi ninazozisoma utaweza kuushawishi umma ukakubaliana na huo ukombozi unaouimba!.
 
Ukombozi wa taifa hili aliushindwa hayati Mtikila mwenye uwezo mzuri wa kujenga hoja sidhani kama wewe kwa akili hizi ninazozisoma utaweza kuushawishi umma ukakubaliana na huo ukombozi unaouimba!.
EeenHeeee!
Sasa unapoyonga tu. Subiri utaona kazi itakavyo kwenda safari hii.Mmeandaa uwanja wa mapambano vizuri sana.
 
Back
Top Bottom