Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

"....landlord Port..."; vimaneno vya kipuuzi hivi. Huyo Samia anasikiliza watu matapeli, majizi, na kusahau kwamba nchi hii tunao watu wenye uwezo wa kufanya kazi ile kwa ufanisi kabisa.
Msukumo wenu hapa ni ufisadi tu, hakuna zaidi ya hilo.
Hii bandari moja tu nchi nzima ya watu milioni zaidi ya 60 inashindikana vipi kuiendesha kwa ufanisi. Miaka yote hii baada ya uhuru, bado watu wenye akili za kitegemezi na kitapeli kama nyinyi, bado mnaona haiwezekani nchi kuiendesha bandari yake kwa ufanisi?

Mbaya zaidi, badala ya kufanya jitihada za kujijengea uwezo, mnakwenda kuuza mali ya waTanzania moja kwa moja? Huu ni uongozi wa kijinga namna gani huu? Samia kaweka rekodi mbaya sana ambayo haitafikiwa na kiongozi mwingine yeyote. Tena ashukuru sana kama ataachwa aondoke bila kuwekwa hatiani kwa utapeli wa namna hii anaoushiriki hapa.
Unavyoandika kwa kirefu unakuwa unaanika utupu wako wa kichwani. Elewa tofauti ya kupangisha na kuuza.

TICTS alikaa pale TPA miaka 22 na ameshaondoka, bandari yetu tuliiuza?.

Mnakuja na maneno ambayo mkiyatumia mnajua mtateka hisia za wajinga wenzenu, eti bandari imeuzwa!. Stupid mindset.
 
Kwa uwezo wa kufikiri ulio nao wewe hapo ndipo akili yako ilipoishia; kuwa mwarabu ndiye pekee mwenye uwezo huo. Hili pekee linakuondolea heshima ya kujibisfana na mimi. Kwa sababu upeo wako ni mfinyu sana.
Hapo ulipo, na shule yako ndogo sana unapoelezwa hayo uliyokaririshwa unaona kuwa hicho ni kitu kikubwa sana kisichoweza kufanywa na watu wengine.
Unaleta vimaneno hapa vya kukariri tu "...uzoefu wa end to end logistics chain..." kwa mtu maamuma kama wewe unaona hilo ni jambo linaloweza kufanywa na hao waarabu pekee. Kama huo siyo ujuha, tuuite kitu gani?
Ni kwa sababu huelewi chochote katika mambo mengi ndiyo maana unashangaa shangaa tu juu ya kila kitu.
Mawakili wapumbavu kama akina Hamza, wewe unawaita wabobezi, kumbe ni malimbukeni tu.
Kazi yako ni kushangaa shangaa tu mambo unayoelezwa kwa juu juu na kuwa 'impressed' hata bila kujua undani wake ni nini.

Nimekwisha kusoma kama kitabu na kukuona tapeli tu anayesubiri kutupiwa makombo.
Wewe ndiye maamuma usiyejua maana ya bandari kisasa, tatizo la wajinga huwa hamjijui kwamba hamjui hivyo mnazidi kuusambaza ujinga wenu kwenye jamii.

DPW ni mmiliki wa mzigo wa madini uliopo kule DRC na huko marais wawili wameshamaliza kutia saini mikataba ya kibiashara tulikuwa tunasubiriwa sisi tu. Kagame alishasaini na Tshisekedi hali kadhalika.

Huku Tanzania ndio kuna wajinga weengi mmoja wao anaitwa Kalamu, wanapinga vitu wasivyovijua faida zake zitakuwa ni zipi kwenye ongezeko la kodi ya hazina na kwenye uchumi mzima wa taifa.

Hamza ni hazina ya taifa anaongoza TCAA mamlaka ya anga wakati huo huo anaingia mikataba yenye kuja kuingiza pesa nyingi kwenye hazina ya nchi. Huwezi kabisa kumlinganisha na mawakili wengi njaa tulionao.
 
Unavyoandika kwa kirefu unakuwa unaanika utupu wako wa kichwani. Elewa tofauti ya kupangisha na kuuza.

TICTS alikaa pale TPA miaka 22 na ameshaondoka, bandari yetu tuliiuza?.

Mnakuja na maneno ambayo mkiyatumia mnajua mtateka hisia za wajinga wenzenu, eti bandari imeuzwa!. Stupid mindset.
TICTS naye alitusainisha IGA?
haya sasa tuyaache, yamekwishapitwa na wakati mkuu wangu 'steve'.
Nisome tu kama nilivyojieleza hapo juu.
 
Unavyoandika kwa kirefu unakuwa unaanika utupu wako wa kichwani. Elewa tofauti ya kupangisha na kuuza.
Nikueleze tu wazi juu ya hili la "utupu". Mimi nikiwa mtupu, wewe hata ile akili ya kukupeleka chooni utakuwa huna. Utakuwa huna tofauti yoyote na ng'ombe zizini.
Katika hili usiwe na mashaka juu ya ninachokizungumzia hapa.
Hili haliwezi kamwe kuwa na ubishi wowote kati yetu. Umenielewa!
 
Wewe ndiye maamuma usiyejua maana ya bandari kisasa, tatizo la wajinga huwa hamjijui kwamba hamjui hivyo mnazidi kuusambaza ujinga wenu kwenye jamii.

DPW ni mmiliki wa mzigo wa madini uliopo kule DRC na huko marais wawili wameshamaliza kutia saini mikataba ya kibiashara tulikuwa tunasubiriwa sisi tu. Kagame alishasaini na Tshisekedi hali kadhalika.

Huku Tanzania ndio kuna wajinga weengi mmoja wao anaitwa Kalamu, wanapinga vitu wasivyovijua faida zake zitakuwa ni zipi kwenye ongezeko la kodi ya hazina na kwenye uchumi mzima wa taifa.

Hamza ni hazina ya taifa anaongoza TCAA mamlaka ya anga wakati huo huo anaingia mikataba yenye kuja kuingiza pesa nyingi kwenye hazina ya nchi. Huwezi kabisa kumlinganisha na mawakili wengi njaa tulionao.
Katika maswala ya "Bandari" huko hakuna 'Rocket Science' ngumu ya watu kushindwa kuielewa, isipokuwa watu waliolala akili kama wewe hapo unayeshangaa wanachofanya DP World (na kwako, ni hao tu DP World) wenye uwezo huo.
Ungeweza kuwa na akili za kutosha kuelewa unachoelezwa, ungekuwa ulishatambua muda mwingi sana; lakini kwako huu ni mlima usioweza kuupanda.
Na hali ni hiyo hiyo, inapokuja kwa watu unaoona wewe ni mahiri katika eneo fulani. Huyo Hamza, hana lolote la kujivunia katika elimu yake. Alijitokeza kutetea mikataba hii ya DP World, na kujionyesha wazi kabisa kwamba elimu hana; lakini kwako, (kama siyo Hamza huyo huyo), unamwona kama ndiye mtaalam asiye na mfano.

Kwa hiyo, kiujumla, umekwisha jionyesha wazi kwamba, elimu ya kutosha huna; na unachokitetea hukijui. Ila kilicho wazi, unayo maslahi makubwa na DP World.
 
Katika maswala ya "Bandari" huko hakuna 'Rocket Science' ngumu ya watu kushindwa kuielewa, isipokuwa watu waliolala akili kama wewe hapo unayeshangaa wanachofanya DP World (na kwako, ni hao tu DP World) wenye uwezo huo.
Ungeweza kuwa na akili za kutosha kuelewa unachoelezwa, ungekuwa ulishatambua muda mwingi sana; lakini kwako huu ni mlima usioweza kuupanda.
Na hali ni hiyo hiyo, inapokuja kwa watu unaoona wewe ni mahiri katika eneo fulani. Huyo Hamza, hana lolote la kujivunia katika elimu yake. Alijitokeza kutetea mikataba hii ya DP World, na kujionyesha wazi kabisa kwamba elimu hana; lakini kwako, (kama siyo Hamza huyo huyo), unamwona kama ndiye mtaalam asiye na mfano.

Kwa hiyo, kiujumla, umekwisha jionyesha wazi kwamba, elimu ya kutosha huna; na unachokitetea hukijui. Ila kilicho wazi, unayo maslahi makubwa na DP World.
Samia angekuwa anasikiliza mawazo ya kipuuzi kama haya ya kwako angekwama siku nyingi sana. Hekima sahihi anayoitumia ndio inafanikisha uwekezaji wa DP World pale bandarini.

Hamza sio tu kwamba ametetea mkataba huu, yeye ndiye aliyeshiriki kuuandaa huko Dubai, pia ameandaa mikataba mingi sana ya awamu ya JPM.

Manunuzi ya ndege zote 13 zilizokuja yalianza na utiaji saini ya makubaliano ya kibiashara ambayo Hamza alisaini kwa niaba ya TZ kabla hata ndege hazijaja.

Roho mbaya inakupeleka pabaya sana wewe dada.
 
Nikueleze tu wazi juu ya hili la "utupu". Mimi nikiwa mtupu, wewe hata ile akili ya kukupeleka chooni utakuwa huna. Utakuwa huna tofauti yoyote na ng'ombe zizini.
Katika hili usiwe na mashaka juu ya ninachokizungumzia hapa.
Hili haliwezi kamwe kuwa na ubishi wowote kati yetu. Umenielewa!
Mkataba wa miaka 30 umesainiwa tayari umebaki utekelezaji wa kivitendo pale bandarini. SSH amefunga goli kali sana la kisigino.
 
Mkataba wa miaka 30 umesainiwa tayari umebaki utekelezaji wa kivitendo pale bandarini. SSH amefunga goli kali sana la kisigino.
Hii ni mipasho isiyokuwa na maana yoyote na sitapoteza muda nayo tena.
Alichofanikiwa nacho ni kuwaonyesha watu waziwazi kuwa yeye ni tapeli na fisadi. Hana heshima tena.
 
Samia angekuwa anasikiliza mawazo ya kipuuzi kama haya ya kwako angekwama siku nyingi sana. Hekima sahihi anayoitumia ndio inafanikisha uwekezaji wa DP World pale bandarini.

Hamza sio tu kwamba ametetea mkataba huu, yeye ndiye aliyeshiriki kuuandaa huko Dubai, pia ameandaa mikataba mingi sana ya awamu ya JPM.

Manunuzi ya ndege zote 13 zilizokuja yalianza na utiaji saini ya makubaliano ya kibiashara ambayo Hamza alisaini kwa niaba ya TZ kabla hata ndege hazijaja.

Roho mbaya inakupeleka pabaya sana wewe dada.
EEeeenHEEeeee!
Acha niwe na "roho mbaya" kwa mtu yeyote wa aina yako. Hiyo ni beji ya heshima kabisa ninayoivaa kwenye paji la uso, wakati matapeli wanapoona hivyo.

Samia hawezi kusikiliza mawazo yangu, kwa sababu Samia ni fisadi na tapeli; kwa hiyo unachoeleza hapa ni upuuzi.
Hamza hana hadhi ya kujadiliwa kama msomi kati ya watu wanaojua maana ya usomi ni kitu gani. Kwa mtu kama wewe, ambaye unakula toka mikononi mwake, au ndiye Hamza mwenyewe, sioni tatizo lako kutomuona hivyo.
 
EEeeenHEEeeee!
Acha niwe na "roho mbaya" kwa mtu yeyote wa aina yako. Hiyo ni beji ya heshima kabisa ninayoivaa kwenye paji la uso, wakati matapeli wanapoona hivyo.

Samia hawezi kusikiliza mawazo yangu, kwa sababu Samia ni fisadi na tapeli; kwa hiyo unachoeleza hapa ni upuuzi.
Hamza hana hadhi ya kujadiliwa kama msomi kati ya watu wanaojua maana ya usomi ni kitu gani. Kwa mtu kama wewe, ambaye unakula toka mikononi mwake, au ndiye Hamza mwenyewe, sioni tatizo lako kutomuona hivyo.
Ndani ya mwezi mmoja pale TPA kutakuwa na uendeshaji tofauti kabisa na ule tuliouzoea. Tujiandae kisaikolojia.

Taarifa za ndani zinasema Profesa Tibaijuka aliyekuwa mpingaji mkuu wa DP World hivi sasa kakubaliana na kila kitu kinachotaka kuanza kutekelezwa. Bado mrembo Kalamu.
 
Hii ni mipasho isiyokuwa na maana yoyote na sitapoteza muda nayo tena.
Alichofanikiwa nacho ni kuwaonyesha watu waziwazi kuwa yeye ni tapeli na fisadi. Hana heshima tena.
Heshima anaipata kutoka kwa wafanyabiashara wanaoagiza na kuuza bidhaa nje ya nchi. Heshima anaipata kutoka kwa wale wateja wa TPA waliokuwa wamekwisha ikimbia bandari na sasa watarudi tena kwa kasi kufuata huduma bora.
 
Ndani ya mwezi mmoja pale TPA kutakuwa na uendeshaji tofauti kabisa na ule tuliouzoea. Tujiandae kisaikolojia.

Taarifa za ndani zinasema Profesa Tibaijuka aliyekuwa mpingaji mkuu wa DP World hivi sasa kakubaliana na kila kitu kinachotaka kuanza kutekelezwa. Bado mrembo Kalamu.
Umegeuka sasa na kuwa mtu wa mipasho?

Tibaijuka hawezi kuunga mkono ule upuuzi wa IGA, hilo ndilo kila mara ninalokukumbusha lakini mtu kilaza, tapeli, fisadi kama wewe akili yako haiwezi kamwe kulielewa hilo.
Hutaki kuelewa tofauti iliyopo kati ya mikataba chini ya IGA na mikataba hii inayofanyika sasa. Hapo ndipo ujuha wako unapolalia.
 
Heshima anaipata kutoka kwa wafanyabiashara wanaoagiza na kuuza bidhaa nje ya nchi. Heshima anaipata kutoka kwa wale wateja wa TPA waliokuwa wamekwisha ikimbia bandari na sasa watarudi tena kwa kasi kufuata huduma bora.
Ukiulizwa ni wafanya biashara gani walikimbia bandari huwezi kuwataja. Ukilaza unaanzia hapo.
"Huduma bora" hailetwi na DP World pekee, ambaye ndiye katika akili yako pekee mwenye huduma bora. Ujinga wako unaanzia hapo.
Usitake kuwapakazia wafanya biashara wote waonekane kuwa hawajali maslahi ya nchi yao kama mlivyo nyinyi, genge la mafisadi ambao lengo lenu ni kuikabidhi nchi kwa hao waarabu.
 
Umegeuka sasa na kuwa mtu wa mipasho?

Tibaijuka hawezi kuunga mkono ule upuuzi wa IGA, hilo ndilo kila mara ninalokukumbusha lakini mtu kilaza, tapeli, fisadi kama wewe akili yako haiwezi kamwe kulielewa hilo.
Hutaki kuelewa tofauti iliyopo kati ya mikataba chini ya IGA na mikataba hii inayofanyika sasa. Hapo ndipo ujuha wako unapolalia.
Mimi nipo karibu sana na watendaji waliofanikisha huu mkataba wa DP World, ninachokuambia na ukiamini.

Prof Tibaijuka hutamsikia tena akiongelea masuala ya article number 4 ya IGA, keshaupata ufafanuzi muafaka aliokuwa anauongelea mpaka akafikia hatua ya kuhojiwa na chombo cha habari cha kimataifa.
 
Ukiulizwa ni wafanya biashara gani walikimbia bandari huwezi kuwataja. Ukilaza unaanzia hapo.
"Huduma bora" hailetwi na DP World pekee, ambaye ndiye katika akili yako pekee mwenye huduma bora. Ujinga wako unaanzia hapo.
Usitake kuwapakazia wafanya biashara wote waonekane kuwa hawajali maslahi ya nchi yao kama mlivyo nyinyi, genge la mafisadi ambao lengo lenu ni kuikabidhi nchi kwa hao waarabu.
Wafanya biashara wa DRC wengi wanapitia Mombasa Kenya, waulize kwanini. Majirani zetu wa kusini Msumbiji waliacha kutumia bandari yetu waulize kwanini.

Ucheleweshaji katika ushushaji wa makasha, urasimu unaotengenezwa na watendaji wetu ili wapate chochote baada ya kufikiria kwamba nchi wanaipotezea wateja.

DP World watamchukia sana wajinga wachache wanaoendekeza njaa bila ya kujali efficiency nzima ya TPA.
 
Wafanya biashara wa DRC wengi wanapitia Mombasa Kenya, waulize kwanini. Majirani zetu wa kusini Msumbiji waliacha kutumia bandari yetu waulize kwanini.
Huu ndio upuuzi. "...wafanya biashara wa DRC wengi wanapitia Mombasa....", takwimu hizo unazo wewe?
Nikikwambia elimu yako ni ndogo sana kutambua mambo, usione kuwa ninakuonea. Nasema ukweli unaojidhihirisha wazi katika maandishi yako.
Msumbiji atumie bandari ya Dar es Salaam, hivi unaelewa hata jiografia ya eneo hili ilivyo?

Haya. Kama DRC walikimbilia Mombsa na kuiacha Dar es Salaam, Mombasa nako kuna DP World unayoililia kila mahala wewe kama kichaa?
 
Mimi nipo karibu sana na watendaji waliofanikisha huu mkataba wa DP World, ninachokuambia na ukiamini.
Nje ya ufisadi na utapeli unaoihusu IGA ya DP World, wewe huna jingine lolote la ziada katika maswala haya ya bandari.

Mabandiko yako yoooote humu JF tokea uingie ni swala la DP World pekee na IGA yake.

Huna uhusiano wowote na ufanisi unaofanywa na bandari zetu, ingawa sasa unatumia kinga hiyo kujificha kwenye kichaka cha haya unayoyapigania.
 
Back
Top Bottom