Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Wakenya tayari walishalia kuhusu kupoteza mizigo inayoingia kupitia bandari ya dar er Salaam. Bandari yetu inao uwezo mzuri sana wa kufanya kazi hiyo. Matatizo tu ni matapeli wa aina yako na Samia. Lakini dawa yenu mtaipata tu.
Chuki zako naona kama utaenda nazo kaburini.
 
IGA ilikufa. Janja yote mliyotaka kuitumia iligonga mwamba, na sasa matokeo yake ndiyo mtakayoyashuhudia karibuni.
IGA imewezesha kupatikana kitu kinachoitwa Commercial Agreements, ndizo zinazowezesha DP World na Tanzania kuingia ubia wa kufanya biashara pale TPA.

Tuliweza kuivujisha IGA na kila mtu akageuka mwanasheria wa kujadili vifungu, hizi agreements za kibiashara zilizoandaliwa na kusainiwa pale Ikulu Dodoma hakuna atakayeweza kuzivujisha kwenye public, zikivuja maana yake serikali yetu ijiandae kushtakiwa.
 
Nilishakwambia, ukiona mimi kuwa "mtupu kichwani" ujue wewe ni mbuzi kabisa wa kufugwa. Hili linajidhihirisha wazi hata katika uandishi tu tunaofanya humu.
Iwapo huelewi kwamba IGA ndio imezaa huu mradi maana yake wewe ni ngumbaru tu.
 
Askofu katanguliziwa mpira kwa mbele na mafarisayo, aende hivyo hivyo atakutana nao huko mbele ya safari
 
IGA imewezesha kupatikana kitu kinachoitwa Commercial Agreements, ndizo zinazowezesha DP World na Tanzania kuingia ubia wa kufanya biashara pale TPA.
Mikataba inafanyika miaka yote bila ya upuuzi huo wa IGA mliyotaka kuwaingiza waTanzania. Kwa akili yako ndogo bado hili nalo hulielewi!
Tuliweza kuivujisha IGA na kila mtu akageuka mwanasheria wa kujadili vifungu, hizi agreements za kibiashara zilizoandaliwa na kusainiwa pale Ikulu Dodoma hakuna atakayeweza kuzivujisha kwenye public, zikivuja maana yake serikali yetu ijiandae kushtakiwa
Unaona upumbavu huu lakini?... "Tuliweza kuivujisha IGA..."

Mmekwisha jimaliza wenyewe; halafu unaendelea kushangilia! Huu sio ujinga wa kawaida, huu ni upumbavu.
 
IGA ilkufa; kama bado huelewi nenda kamuulize Samia atakueleza vizuri uelewe.
Yupo mwanasheria mbobezi anayemshauri Mheshimiwa Samia kwenye mradi mzima wa DPW na Tanzania nilikuwa nae masomoni Ukraine miaka ya 90, ndiye aliyeshughulika kwa kina katika suala la IGA. Haiwezi kufa IGA kwani ndio iliyozaa hizi commercial agreements zilizosainiwa pale ikulu Dodoma.

Huwezi kupata commercial agreements bila ya kwanza IGA kupitishwa na bunge, IGA ni kanuni tu zenye kuongoza biashara nzima, mikataba nyeti ni ile iliyosainiwa bungeni Dodoma.
 
Mikataba inafanyika miaka yote bila ya upuuzi huo wa IGA mliyotaka kuwaingiza waTanzania. Kwa akili yako ndogo bado hili nalo hulielewi!
Unaona upumbavu huu lakini?... "Tuliweza kuivujisha IGA..."

Mmekwisha jimaliza wenyewe; halafu unaendelea kushangilia! Huu sio ujinga wa kawaida, huu ni upumbavu.
Kalamu unachekesha sana, unaongea kwa hisia lakini hujui unachokiongea maskini ya Mungu.
 
Hakuna mwenye chuki kumzidi mtu anayelifanyia taifa lake hujuma. Genge lenu na Samia ndio wenye chuki kubwa dhidi ya waTanzania wote.
Wafanyabiashara wanakwenda kupunguziwa mzigo wa kuingiza na kutoa bidhaa pale bandarini, hizi kelele zako ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
 
Huwezi kupata commercial agreements bila ya kwanza IGA kupitishwa na bunge, IGA ni kanuni tu zenye kuongoza biashara nzima, mikataba nyeti ni ile iliyosainiwa bungeni Dodoma
Tuonyeshe ilipo IGA y aTICTS; unaandika kama huna akili kichwani?

"IGA ni kanuni tu" wakati ikihimiza na kulazimisha sheria zinazolinda mali ya nchi zibadilishwe kukidhi matakwa ya huo upuuzi waIGA yenyewe.
Siwezi kamwe kudharau elimu ya Ukraine, hasa ukilinganisha na upuuzi wetu hapa siku hizi, lakini nadharau matokeo yake kama haya uliyoyapata wewe kama kweli umesomea huko kama unavyodai hapa.
Kuna watu wanasoma shule nzuri kabisa duniani, lakini wao kama wao wanakuwa ni aibu kwa shule hizo. Nikupe mfano wa Chenge, unamfahamu?
Yupo mwanasheria mbobezi anayemshauri Mheshimiwa Samia kwenye mradi mzima wa DPW na Tanzania nilikuwa nae masomoni Ukraine miaka ya 90
Nani, Hamza? Elimu za namna hiyo zinawakosha watu wa aina yako, hasa inapochanganyika na msukumo wa utapeli na ufisadi.
 
Wafanyabiashara wanakwenda kupunguziwa mzigo wa kuingiza na kutoa bidhaa pale bandarini, hizi kelele zako ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Usitumie kisingizio cha wafanya biashara, huku wewe na genge zima linalomfuga Samia ndio mnaowasababishia wafanya biashara hao maumivu makubwa.
Sasa mnataka kuuza nchi kabisa badala ya hao wachache wafanya biashara. Huu ni uhaini.
 
Tuonyeshe ilipo IGA y aTICTS; unaandika kama huna akili kichwani?

"IGA ni kanuni tu" wakati ikihimiza na kulazimisha sheria zinazolinda mali ya nchi zibadilishwe kukidhi matakwa ya huo upuuzi waIGA yenyewe.
Siwezi kamwe kudharau elimu ya Ukraine, hasa ukilinganisha na upuuzi wetu hapa siku hizi, lakini nadharau matokeo yake kama haya uliyoyapata wewe kama kweli umesomea huko kama unavyodai hapa.
Kuna watu wanasoma shule nzuri kabisa duniani, lakini wao kama wao wanakuwa ni aibu kwa shule hizo. Nikupe mfano wa Chenge, unamfahamu?
Nani, Hamza? Elimu za namna hiyo zinawakosha watu wa aina yako, hasa inapochanganyika na msukumo wa utapeli na ufisadi.
Ungekuwa na akili nyingi kama unavyotaka ufahamike ungeelewa kwamba hivyo vipengele havina nguvu yoyote ya kisheria ya kubadilisha hata nukta moja ya sheria zetu.

Kuna barua mbili za kutangaza tender za uendeshaji bandari zimeandikwa na kusambazwa baada ya hiyo IGA kuwa imejadiliwa bungeni, kama IGA ingekuwa na nguvu hizo mnazotudanganya inazo huo uwezo wa kusambaza hizo barua za TPA umetoka wapi?.

Wewe ndio huna akili kichwani unayeshindwa kuelewa kuwa IGA ina mipaka yake, unayetafsiri vifungu kwa mujibu wa uelewa wako.

Hamza ni mbobezi wa sheria za kimataifa, alipambana mpaka nchi hii ikashinda kwenye mgogoro wa Ziwa Nyasa, amepambana mpaka mamlaka ya anga imekuwa ni taasisi yenye kuheshimika kimataifa.

Wewe umechagua kuishi kwa maumivu, wale wale kina dada jeuri wanaodhani wanajua kila kitu.
 
Usitumie kisingizio cha wafanya biashara, huku wewe na genge zima linalomfuga Samia ndio mnaowasababishia wafanya biashara hao maumivu makubwa.
Sasa mnataka kuuza nchi kabisa badala ya hao wachache wafanya biashara. Huu ni uhaini.
Jielimishe kila unapopata muda kuhusu masuala ya bandari na uendeshaji wake vinginevyo utaishia kudhani unaibiwa kila kukicha.

Bandari ipo pale pale kilichoongezeka ni aina ya uendeshaji kuwa wa kisasa zaidi. Tulikuwa tunaendesha kwa mfumo wa toolport ambao ni wa kizamani kwamba mamlaka ya bandari inaendesha kila kitu.

Sasa hivi Samia kabadilisha uendeshaji na bandari inaendeshwa na waendeshaji watatu kwa maana ya uwepo wa TPA na pia uwepo wa waendeshaji wawili wanaomlipa kodi TPA.

Tunatoka kwenye mfumo wa toolport tunakwenda kwenye mfumo wa Service Port. Bandari moja inakuwa na waendeshaji watatu, Mamlaka pamoja na wawili wengine.

Mwendeshaji mmoja ni huyu DP World na kwa sasa anatafutwa mwendeshaji mwingine na tender imeshatangazwa.

Tija inakwenda kuongezeka kwa maana ya kodi watakayomlipa TPA na pia ufanisi unakwenda kuongezeka kwa maana ya wao kuja na teknolojia za kisasa ambazo zitaongeza mzunguko wa bidhaa watakazoshughulika nazo.

Kwa kifupi Samia ana nia njema sana kwa TRA, pia kwa hazina nzima ya Taifa.
 
Ungekuwa na akili nyingi kama unavyotaka ufahamike ungeelewa kwamba hivyo vipengele havina nguvu yoyote ya kisheria ya kubadilisha hata nukta moja ya sheria zetu.
Duh!

Inawezekana unavuta bangi kali sana, kwamba unapomaliza tu msokoto na kuingia humu unajikuta unaandika mambo yasiyo na mantiki yoyote.

Hebu soma vizuri tena hayo uliyoandika hapo juu.
Ina maana sasa unakana kabisa kwamba mswada wa sheria uliandaliwa na kupelekwa bungeni kuondoa sheria zetu zilizopo ili kuiwezesha IGA?

Wewe nakuita 'mbuzi', lakini hata mbuzi wakati mwingine anayo nafuu.
Kuna barua mbili za kutangaza tender za uendeshaji bandari zimeandikwa na kusambazwa baada ya hiyo IGA kuwa imejadiliwa bungeni, kama IGA ingekuwa na nguvu hizo mnazotudanganya inazo huo uwezo wa kusambaza hizo barua za TPA umetoka wapi?.
Tenda zilizotangazwa hazina uhusiano wowote na hiyo IGA iliyokufa. IGA haipo tena.

Tenda zinatangazwa wakati wote, si lazima ziwe na uhusiano na IGA mliyotaka kutuuzia kijinga jinga.
Wewe ndio huna akili kichwani unayeshindwa kuelewa kuwa IGA ina mipaka yake, unayetafsiri vifungu kwa mujibu wa uelewa wako
IGA isingekuwa na maana msingefanya mazingaombwe yote yale yaliyowaacha uchi na kuwavunjia heshima.

Hamza hana hadhi ya kuendelea kumtaja humu ili nimjadili. Ni watu msiokuwa na ufahamu wa kutosha mnaokogwa na matapeli wa aina yake. Kama ilivyo kwa Samia, na huyo Hamza kishajipambanua kuwa ni wasaliti wakubwa wa nchi hii.
 
Bandari ipo pale pale kilichoongezeka ni aina ya uendeshaji kuwa wa kisasa zaidi. Tulikuwa tunaendesha kwa mfumo wa toolport ambao ni wa kizamani kwamba mamlaka ya bandari inaendesha kila kitu.
Hujui?

Kilichoongezeka ni genge lenu kutaka kujinufaisha na bandari hiyo mkishirikiana na waarabu.
Kila mara hili ndilo usilotaka litajwe, badala yake unakimbilia mambo yasiyohusika kabisa. Mlipotengeneza ile IGA mlijua mnalenga kitu gani. Sasa mnafanya kila jitihada ionekane siyo IGA yenye matatizo, bali wanaokataa uhujumu huo hawataki bandari ifanye kazi vizuri.
Huu ni uzuzu.
 
Kwa kifupi Samia ana nia njema sana kwa TRA, pia kwa hazina nzima ya Taifa.
Ndiyo maana hasumbuliwi kabisa na ufisadi wowote, kwa sababu yeye ni mmoja wao.
Rais ambaye hana hata chembe ndogo tu ya kujali maslahi ya nchi anayoiongoza. Ni jambo la kusikitisha sana.
 
Ndiyo maana hasumbuliwi kabisa na ufisadi wowote, kwa sababu yeye ni mmoja wao.
Rais ambaye hana hata chembe ndogo tu ya kujali maslahi ya nchi anayoiongoza. Ni jambo la kusikitisha sana.
Kusema kwamba haguswi na shida zetu ni kutomtendea haki. Kuhangaika mpaka hao DP World wameweza kuja na kuingia mkataba wa miaka 30 ni ishara ya kuguswa na shida za jamii anayoingoza.

Anahangaika sana mpaka anapata pesa nyingi kwa ajili ya halmashauri, na huko kwa sababu kuna wapumbavu wengi pesa zote zinaliwa juu kwa juu kabla hazifanya yale malengo yaliyokusudiwa.
 
Back
Top Bottom