Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

Hujui?

Kilichoongezeka ni genge lenu kutaka kujinufaisha na bandari hiyo mkishirikiana na waarabu.
Kila mara hili ndilo usilotaka litajwe, badala yake unakimbilia mambo yasiyohusika kabisa. Mlipotengeneza ile IGA mlijua mnalenga kitu gani. Sasa mnafanya kila jitihada ionekane siyo IGA yenye matatizo, bali wanaokataa uhujumu huo hawataki bandari ifanye kazi vizuri.
Huu ni uzuzu.
DP World wameshaingia mkataba wa miaka 30 ambao unakwenda kuongeza mapato ya TRA kwa kiasi kikubwa sana. Hilo ndilo muhimu haya malalamiko yako mengi hayana msingi wowote.
 
Duh!

Inawezekana unavuta bangi kali sana, kwamba unapomaliza tu msokoto na kuingia humu unajikuta unaandika mambo yasiyo na mantiki yoyote.

Hebu soma vizuri tena hayo uliyoandika hapo juu.
Ina maana sasa unakana kabisa kwamba mswada wa sheria uliandaliwa na kupelekwa bungeni kuondoa sheria zetu zilizopo ili kuiwezesha IGA?

Wewe nakuita 'mbuzi', lakini hata mbuzi wakati mwingine anayo nafuu.
Tenda zilizotangazwa hazina uhusiano wowote na hiyo IGA iliyokufa. IGA haipo tena.

Tenda zinatangazwa wakati wote, si lazima ziwe na uhusiano na IGA mliyotaka kutuuzia kijinga jinga.
IGA isingekuwa na maana msingefanya mazingaombwe yote yale yaliyowaacha uchi na kuwavunjia heshima.

Hamza hana hadhi ya kuendelea kumtaja humu ili nimjadili. Ni watu msiokuwa na ufahamu wa kutosha mnaokogwa na matapeli wa aina yake. Kama ilivyo kwa Samia, na huyo Hamza kishajipambanua kuwa ni wasaliti wakubwa wa nchi hii.
Wewe pimbi tu huelewi chochote ulichoandika. Debe tupu kabisa.
 
Kusema kwamba haguswi na shida zetu ni kutomtendea haki. Kuhangaika mpaka hao DP World wameweza kuja na kuingia mkataba wa miaka 30 ni ishara ya kuguswa na shida za jamii anayoingoza.

Anahangaika sana mpaka anapata pesa nyingi kwa ajili ya halmashauri, na huko kwa sababu kuna wapumbavu wengi pesa zote zinaliwa juu kwa juu kabla hazifanya yale malengo yaliyokusudiwa.
Nikwambie ukweli mtupu, huyo ni kundi la wale WaZanzibar wanaojitambua zaidi wao kuwa karibu na waarabu zaidi kuliko waafrika.
Ni kundi lile lile la akina OMO, makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Kama ni kuijali sana Zanzibar, hapo sina la zaidi ya uliyosema hapo juu; lakini juu ya Tanganyika? Hilo ni eneo la kuvuna tu kwa maslahi yao.
Sasa kama wewe ni mmoja wao, utanielewa hata kama utajifanya hukubaliani na niliyoyaeleza hapa.
 
DP World wameshaingia mkataba wa miaka 30 ambao unakwenda kuongeza mapato ya TRA kwa kiasi kikubwa sana. Hilo ndilo muhimu haya malalamiko yako mengi hayana msingi wowote.
Ngoja nikukumbushe tena.
DP World kuingia mkataba si tatizo kama ni nje ya ile IGA ya kipumbavu kabisa mliyotaka kulitwisha taifa letu.
Huyu Samia atakapovurumishwa, atakyekuja anao uhuru wa kusitisha kabla ya hiyo miaka unayotaja wewe, kama maslahi ya nchi hayaonekani kwa kazi anayopewa huyo DP World sasa hivi.
Ni sawa tu na yule TICTS alivyokuwa hapo bandarini.
 
Nikwambie ukweli mtupu, huyo ni kundi la wale WaZanzibar wanaojitambua zaidi wao kuwa karibu na waarabu zaidi kuliko waafrika.
Ni kundi lile lile la akina OMO, makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Kama ni kuijali sana Zanzibar, hapo sina la zaidi ya uliyosema hapo juu; lakini juu ya Tanganyika? Hilo ni eneo la kuvuna tu kwa maslahi yao.
Sasa kama wewe ni mmoja wao, utanielewa hata kama utajifanya hukubaliani na niliyoyaeleza hapa.
Wale wale wanaoendekeza chuki za kibaguzi. Utekelezaji wa suala la kuwakabidhi DP World bandari limo kwenye ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 sio kwamba ni matakwa binafsi ya Samia.
 
Ngoja nikukumbushe tena.
DP World kuingia mkataba si tatizo kama ni nje ya ile IGA ya kipumbavu kabisa mliyotaka kulitwisha taifa letu.
Huyu Samia atakapovurumishwa, atakyekuja anao uhuru wa kusitisha kabla ya hiyo miaka unayotaja wewe, kama maslahi ya nchi hayaonekani kwa kazi anayopewa huyo DP World sasa hivi.
Ni sawa tu na yule TICTS alivyokuwa hapo bandarini.
Kuita IGA ya kipumbavu ni kutojua unaongea kitu gani. IGA ile ndio imekuja kuzaa hizi commercial agreements zilizosainiwa mbele ya rais pale Dodoma.

Na hakuna rais atakayetokana na CCM atakayekuwa na jeuri ya kuuvunja ule mkataba. Ni rais wa chama kingine atakayekuja na mawazo mafupi ndiye atakayethubutu kuuvunja.
 
Kuita IGA ya kipumbavu ni kutojua unaongea kitu gani. IGA ile ndio imekuja kuzaa hizi commercial agreements zilizosainiwa mbele ya rais pale Dodoma.

Na hakuna rais atakayetokana na CCM atakayekuwa na jeuri ya kuuvunja ule mkataba. Ni rais wa chama kingine atakayekuja na mawazo mafupi ndiye atakayethubutu kuuvunja.
Dah!

Wakati mwingine unakuwa kama 'robot' tu unavyoandika humu.

CCM kuendela kuwa chama cha siasa na kushika madaraka ya nchi tena ni hapo mafisadi yaliyokivamia chama hicho yatakaposafishwa kabisa toka ndani ya chama.

CCM inayo misingi mizuri sana, lakini imeshikwa na matapeli, kiasi kwamba imepoteza kabisa mwelekeo; na isipokuwa na uangalifu inaweza kujikuta inasambaratika yote kama chama.

Usifikiri kwamba sijui ndani ya chama hicho kuna wazalendo kweli kweli, ambao sasa hivi wanaburuzwa tu na hili genge. Kwa hiyo usitegemee baada ya ujinga huu wa Samia, asiyekuwa na chembe hata ndogo ya mapenzi ya nchi anayoiongoza, viongozi watakaofuata wataendeleza maovu yale yale aliyoyaachia nchi.

Ile IGA ulikuwa ni usaliti kwa nchi yetu, ndiyo maana ilistukiwa na kutupiliwa mbali.
 
Wale wale wanaoendekeza chuki za kibaguzi. Utekelezaji wa suala la kuwakabidhi DP World bandari limo kwenye ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 sio kwamba ni matakwa binafsi ya Samia.
Hakuna mwenye "chuki na ubaguzi" kumshinda Samia; au kwa vile yeye anatabasamu kinafiki wakati akiwa na chuki kubwa ndiko kunakokupotezaakili wewe.

Wewe ni bwege hasa!
"Utekelezaji wa suala la KUWAKABIDHI DP WORLD BANDARI LIMO KWENYE ILANI YA UCHAGUZI wa 2020"?

Na mara kadhaa unajisahau na kudai DP World kapewa tenda hiyo baada ya TPA kuitangaza!

Hivi kweli unazo akili timamu unapo andika ujinga wa namna hii?
 
Kuita IGA ya kipumbavu ni kutojua unaongea kitu gani. IGA ile ndio imekuja kuzaa hizi commercial agreements zilizosainiwa mbele ya rais pale Dodoma.
Sasa tushike lipi, wewe mwenyewe umekwisha sema humu mara kadhaa kuwa IGA haina umuhimu, yenye umuhimu ni hiyo mikataba!
Nikisema akili yako haipo sawasawa sikuonei hata kidogo.
 
Sasa tushike lipi, wewe mwenyewe umekwisha sema humu mara kadhaa kuwa IGA haina umuhimu, yenye umuhimu ni hiyo mikataba!
Nikisema akili yako haipo sawasawa sikuonei hata kidogo.
Inaanza IGA kupitishwa bungeni halafu ndio zitangenezwa hizo consession na lease agreement ambazo kwa pamoja zinaitwa commercial agreements. Huwezi kuwa na mikataba ya biashara bila ya kwanza IGA kupita bungeni kwa aina hii ya uwekezaji wa DP World.
 
Hakuna mwenye "chuki na ubaguzi" kumshinda Samia; au kwa vile yeye anatabasamu kinafiki wakati akiwa na chuki kubwa ndiko kunakokupotezaakili wewe.

Wewe ni bwege hasa!
"Utekelezaji wa suala la KUWAKABIDHI DP WORLD BANDARI LIMO KWENYE ILANI YA UCHAGUZI wa 2020"?

Na mara kadhaa unajisahau na kudai DP World kapewa tenda hiyo baada ya TPA kuitangaza!

Hivi kweli unazo akili timamu unapo andika ujinga wa namna hii?
Unaruka ruka tu huna la maana unaloongea, yaani huna huja yoyote ile ya kufaa kusikilizwa.

Tender ya DP World haikutangazwa kwa nature yenyewe ya biashara na aina ya mwendeshaji. Kumtangaza mwendeshaji kunategemea pia na sababu za msingi.

DP World ni mmiliki wa mzigo mkubwa uliopo huko DRC, na ameshamalizana na serikali ya huko na ya Rwanda, pia anao uwezo wa kuuchukua mzigo huko na kuleta bandarini na kuusafirisha nje, kitaalam inaitwa end to end logistics chain hiyo pia ni aina ya kazi ya bandari kwa mujibu wa uelewa wa kisasa zaidi.

Sio kila tender inatangazwa, inategemea serikali iliona ni aina gani ya procurement inayofaa kutumiwa.

Ilani ya uchaguzi inaongelea masuala ya PPP yaani Public Private Partnership na kwa muktadha huo huu uendeshaji wa bandari chini ya DP World unaingia katika kigezo hicho moja kwa moja.
 
Dah!

Wakati mwingine unakuwa kama 'robot' tu unavyoandika humu.

CCM kuendela kuwa chama cha siasa na kushika madaraka ya nchi tena ni hapo mafisadi yaliyokivamia chama hicho yatakaposafishwa kabisa toka ndani ya chama.

CCM inayo misingi mizuri sana, lakini imeshikwa na matapeli, kiasi kwamba imepoteza kabisa mwelekeo; na isipokuwa na uangalifu inaweza kujikuta inasambaratika yote kama chama.

Usifikiri kwamba sijui ndani ya chama hicho kuna wazalendo kweli kweli, ambao sasa hivi wanaburuzwa tu na hili genge. Kwa hiyo usitegemee baada ya ujinga huu wa Samia, asiyekuwa na chembe hata ndogo ya mapenzi ya nchi anayoiongoza, viongozi watakaofuata wataendeleza maovu yale yale aliyoyaachia nchi.

Ile IGA ulikuwa ni usaliti kwa nchi yetu, ndiyo maana ilistukiwa na kutupiliwa mbali.
Kuwa na mapenzi na nchi kwa mujibu wa Kalamu ni kuwa vipi?. Unaweza kujidanganya kwamba wewe ni mzalendo na ukawa fisadi mwenye kuifilisi nchi kuliko wale mafisadi wenyewe.

Narudia tena kumpa tender DP World ni maamuzi ya CCM yenyewe kabla hata SSH hajateuliwa na Rais JPM awe makamu wake.

Pia ni matakwa ya ushindani wa shoroba [corridor] zilizopo. Tumepewa faida za kijiografia kulinganisha na mataifa mengi ya ukanda huu na tutakuwa wajinga tukikaa tu bila ya sisi kuitumia faida hiyo katika kukuza uchumi wetu.
 
Serikali ya kifisadi na kitapeli kwa nini isipingwe.

Ndiyo maana nakwambia akili yako ni ndogo sana.
Neno ufisadi ni pana sana na linatumika kwa malengo maalum ya kisiasa. DP World muda wowote anaanza kazi hapo bandarini, kama unaumia sana basi pokea pole maalum.
 
Inaanza IGA kupitishwa bungeni halafu ndio zitangenezwa hizo consession na lease agreement ambazo kwa pamoja zinaitwa commercial agreements. Huwezi kuwa na mikataba ya biashara bila ya kwanza IGA kupita bungeni kwa aina hii ya uwekezaji wa DP World.
Hakuna lolote jipya unaloeleza hapa, unarudia rudia tu yale yale yanayojulikana na kila mtu.

Lakini kwa ubovu wa akili yako, unashindwa kutambua kwamba "Ilani ya CCM" ililipokuwa inatengenezwa hizo habari za IGA wala DP World unazozidai kuwemo kwenye Ilani hiyo wala walikuwa hawajui uwepo wa takataka hizo.
Ndio maana nakukumbusha kila mara, elimu yako ni ya shida sana, kama kweli hata uliwahi kufika huko Ukraine unakodai ulisoma huko.
 
Hakuna lolote jipya unaloeleza hapa, unarudia rudia tu yale yale yanayojulikana na kila mtu.

Lakini kwa ubovu wa akili yako, unashindwa kutambua kwamba "Ilani ya CCM" ililipokuwa inatengenezwa hizo habari za IGA wala DP World unazozidai kuwemo kwenye Ilani hiyo wala walikuwa hawajui uwepo wa takataka hizo.
Ndio maana nakukumbusha kila mara, elimu yako ni ya shida sana, kama kweli hata uliwahi kufika huko Ukraine unakodai ulisoma huko.
Sio kila kinchofanywa serikalini mimi na wewe tukijue, kumbuka kuwa hata hili suala la IGA lilivuja kwa bahati mbaya tu,

Kwako wewe usiyefanya biashara yoyote yenye kutumia bandari ni takataka kwa wenye kutumia bandari hili ni ssuala walilokuwa wakilihitaji kwa miaka mingi.
 
DP World ni mmiliki wa mzigo mkubwa uliopo huko DRC
Achana na huu upmbavu
Unaruka ruka tu huna la maana unaloongea, yaani huna huja yoyote ile ya kufaa kusikilizwa.

Tender ya DP World haikutangazwa kwa nature yenyewe ya biashara na aina ya mwendeshaji. Kumtangaza mwendeshaji kunategemea pia na sababu za msingi.
Sasa wewe hadi hapa nieleze, katika maneno yote hayo uliyoandika hapo juu, ni lipi la maana ulilo eleza hapo?
DP World ni mmiliki wa mzigo mkubwa uliopo huko DRC, na ameshamalizana na serikali ya huko na ya Rwanda, pia anao uwezo wa kuuchukua mzigo huko na kuleta bandarini na kuusafirisha nje, kitaalam inaitwa end to end logistics chain hiyo pia ni aina ya kazi ya bandari kwa mujibu wa uelewa wa kisasa zaidi.

Sio kila tender inatangazwa, inategemea serikali iliona ni aina gani ya procurement inayofaa kutumiwa.

Ilani ya uchaguzi inaongelea masuala ya PPP yaani Public Private Partnership na kwa muktadha huo huu uendeshaji wa bandari chini ya DP World unaingia katika kigezo hicho moja kwa moja
Katika yote uliyo andika hapo usidhani kuna hata moja la kitaalam lisilofahamika na mtu yeyote mwenye akili za kutosha tu.

Lakini bado unajichanganya tu mwenyewe, kwa kusahau kwamba haya unayoongelea hapa siyo matatizo wanayokataa waTanzania, wanachokataa ni mikataba ya kifisadi; hiyo IGA na matakataka yake.

Hiyo 'Single source' unayohangaika kuielezea hapa hata bila ya ufanisi wowote, ni moja ya mpango wa ufisadi mliotumia kutaka kugawa raslimali za nchi kwa nia ya hujuma zenu tu kwa nchi hii.
 
Back
Top Bottom