Katibu Wizara ya Nishati Felchesmi Mramba: Umeme unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu

Katibu Wizara ya Nishati Felchesmi Mramba: Umeme unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu

Wakuu,

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema uamuzi wa Tanzania kuchukua umeme Ethiopia ni kitu chenye faida na si hasara kama watu wanavyodhani.

Mramba amesema ni faida kwa kuwa baadhi ya vyanzo vya umeme hapa nchini vinazalisha uniti moja kwa bei kubwa kuliko bei ambayo umeme huo utanunuliwa kutoka Ethiopia.

"Huo umeme wa Ethiopia tunanunua kwa senti za Marekani 0.077 lakini tuna vyanzo vingi ambavyo vinazalisha kwa gharama ya juu zaidi, hivyo hii ni nafuu kwetu," amesema na kuongeza umeme utaonunuliwa Ethiopia ni Megawati 100 tu.

Amesema umeme unaopelekwa mikoa ya Kaskazini unapotea kwa kiwango cha megawati 17 ambazo zinatosha kuhudumia Mkoa wa Songwe (unaotumia Mega 14) na zaidi.


"Hata huo wetu unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu, sisi tunanunulia mpakani Namanga, lakini tukipeleka sisi (umeme) tunatumia gharama kubwa," amesema Mramba.
Ameongeza kuwa "wachumi na wataalamu wote waliofanya tathmini juu ya jambo hilo waliona ni faida kubwa kuliko hasara"


Aidha, Mramba alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia ununuzi wa umeme huo na kuongeza kuwa ufafanuzi uliotolewa na Msemaji wa Serikali baada kuibuka kwa mjadala huo uko sahihi.

"Maelezo ya msemaji wa Serikali yako sawa, hayana dosari," amesema Mramba na kuongeza kuwa suala la mauziano ya umeme ya nchi na nchi ni la kawaida na mpaka sasa Tanzania inauza na kununua umeme kutoka mataifa tofauti zaidi ya matatu.

Source: Mwananchi
Tunataka umeme kutoka bwawa la Nyerere mliotuaminisha utakuwa ni mwingi wa kutosheleza hadi kuuza nje ya nchi. Acheni mambo ya kutudanganya kama watoto wadogo. Hivi hamuoni hata aibu,nchi imekopa matrillion ya fedha Kwa ajili ya mradi huo,halafu leo mnatueleza ujinga gani!!
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema uamuzi wa Tanzania kuchukua umeme Ethiopia ni kitu chenye faida na si hasara kama watu wanavyodhani.

Mramba amesema ni faida kwa kuwa baadhi ya vyanzo vya umeme hapa nchini vinazalisha uniti moja kwa bei kubwa kuliko bei ambayo umeme huo utanunuliwa kutoka Ethiopia.

"Huo umeme wa Ethiopia tunanunua kwa senti za Marekani 0.077 lakini tuna vyanzo vingi ambavyo vinazalisha kwa gharama ya juu zaidi, hivyo hii ni nafuu kwetu," amesema na kuongeza umeme utaonunuliwa Ethiopia ni Megawati 100 tu.

Amesema umeme unaopelekwa mikoa ya Kaskazini unapotea kwa kiwango cha megawati 17 ambazo zinatosha kuhudumia Mkoa wa Songwe (unaotumia Mega 14) na zaidi.


"Hata huo wetu unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu, sisi tunanunulia mpakani Namanga, lakini tukipeleka sisi (umeme) tunatumia gharama kubwa," amesema Mramba.
Ameongeza kuwa "wachumi na wataalamu wote waliofanya tathmini juu ya jambo hilo waliona ni faida kubwa kuliko hasara"


Aidha, Mramba alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia ununuzi wa umeme huo na kuongeza kuwa ufafanuzi uliotolewa na Msemaji wa Serikali baada kuibuka kwa mjadala huo uko sahihi.

"Maelezo ya msemaji wa Serikali yako sawa, hayana dosari," amesema Mramba na kuongeza kuwa suala la mauziano ya umeme ya nchi na nchi ni la kawaida na mpaka sasa Tanzania inauza na kununua umeme kutoka mataifa tofauti zaidi ya matatu.

Source: Mwananchi
Matapeliiii
 
Kwahiyo Ethiopia wanatuuzia umeme kwa hasara?

Hivi kweli kuna nchi ambayo ipo tayari kufanya biashara kichaa?
 
Kama anakiri sisi tunazalisha umeme kwa gharama ya juu kuliko majirani zetu, ina maana majirani tunaowauzia wapo tayari kununua umeme wetu kwa gharama ya juu kuliko gharama ya umeme wao?

Au sisi tutalazimika kuwauzia umeme majirani kwa bei chee inayoendana na bei yao bila kujali tutapata hasara?
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema uamuzi wa Tanzania kuchukua umeme Ethiopia ni kitu chenye faida na si hasara kama watu wanavyodhani.

Mramba amesema ni faida kwa kuwa baadhi ya vyanzo vya umeme hapa nchini vinazalisha uniti moja kwa bei kubwa kuliko bei ambayo umeme huo utanunuliwa kutoka Ethiopia.

"Huo umeme wa Ethiopia tunanunua kwa senti za Marekani 0.077 lakini tuna vyanzo vingi ambavyo vinazalisha kwa gharama ya juu zaidi, hivyo hii ni nafuu kwetu," amesema na kuongeza umeme utaonunuliwa Ethiopia ni Megawati 100 tu.

Amesema umeme unaopelekwa mikoa ya Kaskazini unapotea kwa kiwango cha megawati 17 ambazo zinatosha kuhudumia Mkoa wa Songwe (unaotumia Mega 14) na zaidi.


"Hata huo wetu unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu, sisi tunanunulia mpakani Namanga, lakini tukipeleka sisi (umeme) tunatumia gharama kubwa," amesema Mramba.
Ameongeza kuwa "wachumi na wataalamu wote waliofanya tathmini juu ya jambo hilo waliona ni faida kubwa kuliko hasara"


Aidha, Mramba alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia ununuzi wa umeme huo na kuongeza kuwa ufafanuzi uliotolewa na Msemaji wa Serikali baada kuibuka kwa mjadala huo uko sahihi.

"Maelezo ya msemaji wa Serikali yako sawa, hayana dosari," amesema Mramba na kuongeza kuwa suala la mauziano ya umeme ya nchi na nchi ni la kawaida na mpaka sasa Tanzania inauza na kununua umeme kutoka mataifa tofauti zaidi ya matatu.

Source: Mwananchi
Ccm ni 👉💩💩💩💩
 
Watanzania huwa sio watu wa kuhoji hoji na wanaridhika haraka sana baada ya kupigwa sound.

Jana nilikuwa naangalia you tube ya akinadada wa Kikenya wakiwa Mwanza walikuwa wamepanda Basi la Nyehunge lile Basi likawa na hitilafu nje kidogo ya mji wa Mwanza.

Badala ya wahusika wa Basi kusema ukweli kwamba gari limeharibika wakawa wanajizungusha kwenye migahawa na sintofahamu ikaendelea mpaka wale wadada wa Kenya kwenda kulalamika na kutishia kuita Polisi ndipo Basi lingine kuletwa.

Halafu wale Wadada wakawa wanawashangaa Watanzania kwa kuvumilia USANII wakawa wanasema kama imgelikuwa ni Kenya wakenya wasingevumilia hata nusu saa.
 
Wakuu,

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema uamuzi wa Tanzania kuchukua umeme Ethiopia ni kitu chenye faida na si hasara kama watu wanavyodhani.

Mramba amesema ni faida kwa kuwa baadhi ya vyanzo vya umeme hapa nchini vinazalisha uniti moja kwa bei kubwa kuliko bei ambayo umeme huo utanunuliwa kutoka Ethiopia.

"Huo umeme wa Ethiopia tunanunua kwa senti za Marekani 0.077 lakini tuna vyanzo vingi ambavyo vinazalisha kwa gharama ya juu zaidi, hivyo hii ni nafuu kwetu," amesema na kuongeza umeme utaonunuliwa Ethiopia ni Megawati 100 tu.

Amesema umeme unaopelekwa mikoa ya Kaskazini unapotea kwa kiwango cha megawati 17 ambazo zinatosha kuhudumia Mkoa wa Songwe (unaotumia Mega 14) na zaidi.


"Hata huo wetu unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu, sisi tunanunulia mpakani Namanga, lakini tukipeleka sisi (umeme) tunatumia gharama kubwa," amesema Mramba.
Ameongeza kuwa "wachumi na wataalamu wote waliofanya tathmini juu ya jambo hilo waliona ni faida kubwa kuliko hasara"


Aidha, Mramba alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia ununuzi wa umeme huo na kuongeza kuwa ufafanuzi uliotolewa na Msemaji wa Serikali baada kuibuka kwa mjadala huo uko sahihi.

"Maelezo ya msemaji wa Serikali yako sawa, hayana dosari," amesema Mramba na kuongeza kuwa suala la mauziano ya umeme ya nchi na nchi ni la kawaida na mpaka sasa Tanzania inauza na kununua umeme kutoka mataifa tofauti zaidi ya matatu.

Source: Mwananchi
Nchi hii kazi ipo kwakweli
 
Kwa wale wenye kumbukumbu kama Mimi, Tegeta Escrow na ndugu mitambo na Symbion walianzaga hivi hivi kwamba Umeme hautoshi plus bla bla kadhaa

Kumbe wajanja walikuwa wanatafuta hela za Kampeni

Hii Nchi haina Viongozi wenye uchungu calibre ya Nyerere

Wote ni mafisadi tu, ndiyo maana haipigi hatua

Na bahati mbaya, Wananchi pia tumelala Usingizi wa Pono 🙌
 
Kipindi Cha magufuli huyu alinyooshwa Kwa utendajikazi wake mdogo lakini Kwa kuwa Sasa hivi tuna rais legelege na asiye na maono ndiyo kayarudisha madarakani watendaji wa hovyo kama Hawa.
 
Kwa hiyo transmission costs za kuutoa Ethiopia hadi Namanga watazibeba wakenya halafu watawauzia nyie bei chee kutoka kwao.

Kwamba waethiopia wanazalisha umeme wao kwa gharama ndogo kuliko sisi huku wote vyanzo ni HEP tena sisi ujenzi ni latest!

Au teknolojia tuliyotumia akina Manyuzi wametupiga ni ya 1940s?
Mkuu nchi yetu imekuwa ya hovyo sana. Wanasiasa wamejipa nafasi kubwa kuliko Wataalam. Badala ya Wataalam kuwashauri Wanasiasa, imekuwa ni kinyume chake.

Mtaalam atakaesimamia Taaluma yake, basi ni adui kwa Wanasiasa. Huondolewa mara moja kwenye taasisi. Jambo hili limewpelekea wengi wao kuwa CHAWA.

Nilikuwa simkubali Magufuli kwenye maamuzi yake mengi (fuatilieni comments zangu) lkn kwenye hili nimemkumbuka Mwamba. Huu ni upuuzi na dharau ya hali ya juu kwetu raia.
 
Kama anakiri sisi tunazalisha umeme kwa gharama ya juu kuliko majirani zetu, ina maana majirani tunaowauzia wapo tayari kununua umeme wetu kwa gharama ya juu kuliko gharama ya umeme wao?

Au sisi tutalazimika kuwauzia umeme majirani kwa bei chee inayoendana na bei yao bila kujali tutapata hasara?
Kwahiyo tunaweza kuwa madalali
 
"Hata huo wetu unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu, sisi tunanunulia mpakani Namanga, lakini tukipeleka sisi (umeme) tunatumia gharama kubwa," amesema Mramba.
Ameongeza kuwa "wachumi na wataalamu wote waliofanya tathmini juu ya jambo hilo waliona ni faida kubwa kuliko hasara"
Walau huyu Katibu Mkuu Mramba namwelewa.

Nilitaka kuanzisha mada nzito hasa kuwa Raisi awavurumishe wataalamu wa Tanesco waende Ethiopia wakajifunze kuwa wao kwa nini kilomita zote hizo toka Ethiopia umeme haupotei njiani na kuwapa loss ila wetu kilomita nyingi unapotea na kuipa Tanesco mabilioni ya hasara

Argument ya katibu mkuu ina make sense naikubali Ruksa kanunueni kwa muono wangu huo umeme wa Ethiopia

Katibu mkuu Mramba nimekuelewa
 
Maswali ya msingi:
1. Je, wananchi wa kaskazini watauziwa umeme huo kwa bei nafuu zaidi tofauti ule wa TANESCO?
2. Kama ni "ndio", kwa nini umeme huo usisambazwe nchi nzima ili kumpa mwananchi na serikali unafuu.
3. kama ni "hapana", unafuu wa umeme wa Ethiopia uko wapi kama bei haipungui kwa mtumiaji wa mwisho, na hela itokanayo na unafuu uliotajwa inamnufaisha nani hapa nchini?
Hakuna swali la msingi hapo.
 
Back
Top Bottom