Katibu Wizara ya Nishati Felchesmi Mramba: Umeme unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu

Katibu Wizara ya Nishati Felchesmi Mramba: Umeme unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu

Watanzania huwa sio watu wa kuhoji hoji na wanaridhika haraka sana baada ya kupigwa sound.

Jana nilikuwa naangalia you tube ya akinadada wa Kikenya wakiwa Mwanza walikuwa wamepanda Basi la Nyehunge lile Basi likawa na hitilafu nje kidogo ya mji wa Mwanza.

Badala ya wahusika wa Basi kusema ukweli kwamba gari limeharibika wakawa wanajizungusha kwenye migahawa na sintofahamu ikaendelea mpaka wale wadada wa Kenya kwenda kulalamika na kutishia kuita Polisi ndipo Basi lingine kuletwa.

Halafu wale Wadada wakawa wanawashangaa Watanzania kwa kuvumilia USANII wakawa wanasema kama imgelikuwa ni Kenya wakenya wasingevumilia hata nusu saa.
Polisi hawa wa Tanzania hata ukiwaita wanakuwa upande wa mwenye pesa so hakuna msaada
 
Mhandisi Amekutwa na nini mpaka anajitafuta Hivo kujustify kauli ya Rais?

Izo ground za maelezo yake sio Concrete kabisa wao Wakubali tu kuwa wamezingua Kumpa mkuu wa Nchi hio taarifa na Kumuacha aiseme Public izo Justification hazina Mashiko

Mkoa Potentia kama Arusha unaacha Kuunga Na grid ya Taifa utegemee umeme wa Jirani

Regional grid Interconnection na Power Diversification ni Jambo zuri sana Kitaalam ila Litumike kama Back up na sio kuwategemea kabisa neighbors sio salama na Ina Compromise na National Security
 
Maswali ya msingi:
1. Je, wananchi wa kaskazini watauziwa umeme huo kwa bei nafuu zaidi tofauti ule wa TANESCO?
2. Kama ni "ndio", kwa nini umeme huo usisambazwe nchi nzima ili kumpa mwananchi na serikali unafuu.
3. kama ni "hapana", unafuu wa umeme wa Ethiopia uko wapi kama bei haipungui kwa mtumiaji wa mwisho, na hela itokanayo na unafuu uliotajwa inamnufaisha nani hapa nchini?
Maswali mazuri sana Mkuu
 
JPM alimfukuzaga kazi, huyu jamaa, Siku ya mwaka mpya,nikahisi alionewa,kumbe ilikuwa saizi yake
Ilikuwa siku ya Christmas. Halafu JPM alimfukuza siyo kwasababu ya utendaji bali kwasababu ni mchaga.

N de A
 
watanzania tunataka umeme wa uhakika na bei ya unit ishuke angalau sh.100 kwa unit
ova
 
Ufisadi Kwenye Ubora Wake,, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake ,,
 
Polisi hawa wa Tanzania hata ukiwaita wanakuwa upande wa mwenye pesa so hakuna msaada
Polisi wa Kenya pia sio kwamba sio wala RUSHWA lakini kama Wananchi wanasimama kidete Polisi wenyewe huwa wanaona wangalao wafanye Haki.
 
JPM alimfukuzaga kazi, huyu jamaa, Siku ya mwaka mpya,nikahisi alionewa,kumbe ilikuwa saizi yake
Watu wote waliofuKuzwa na Magufuli kisha Samia kuwarudisha kwa ushauri wa genge la msoga wote wame prove upumbavu wao.

Rejea Makamba, Nape na sasa huyu pimbi nae
 
Mkuu nchi yetu imekuwa ya hovyo sana. Wanasiasa wamejipa nafasi kubwa kuliko Wataalam. Badala ya Wataalam kuwashauri Wanasiasa, imekuwa ni kinyume chake.

Mtaalam atakaesimamia Taaluma yake, basi ni adui kwa Wanasiasa. Huondolewa mara moja kwenye taasisi. Jambo hili limewpelekea wengi wao kuwa CHAWA.

Nilikuwa simkubali Magufuli kwenye maamuzi yake mengi (fuatilieni comments zangu) lkn kwenye hili nimemkumbuka Mwamba. Huu ni upuuzi na dharau ya hali ya juu kwetu raia.
Na Bado mpaka mnene kwa lugha

Si mlikesha bar mkisheherekea kifo chake nyie?
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Huyu bibi ,kumpa nchi ni SAWA na kuwaona wasomi hawapo Tanganyika
 
Rudia kusoma nilichoandika

Mtu kuuza kwa loss bidhaa zake kitu cha kawaida ili mtu aambulie chochote

Ethiopia kusafirisha umeme kilomita zote hizo wanapata loss kubwa lakini wako tayari kutuuzia kwa bei nafuu na hiyo loss yao walau wapunguze loss

Ndio maana ufafanuzi wa katibu mkuu Mramba kasema hiyo loss yao haituhusu sisi tunaangalia bei nafuu wanatuuzia

Wewe ndio una kichwa kigumu kuelewa nilichoandika

Rudia kusoma nilichoandika
Wewe ni mpumbavu na unatetea upumbavu!
.
Ethiopia ni waume zenu kwamba wakusafirishie nyie umeme wa bil. 10 kisha wauze kwa bil. 8 wale hasara ya bil. 2? Kwa vile mnawapa nini.?

Wapumbavu wakubwa nyie.
 
Sasa Mramba, kama ni hivyo kwa nini tumezika Billions of money kujenga JNHP wakati umeme wa Ethiopia ni wa bei chee hivyo? 🤔 😳
 
Back
Top Bottom