Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Tulikesha bar kusherekea maisha yake ya hapa duniani.Na Bado mpaka mnene kwa lugha
Si mlikesha bar mkisheherekea kifo chake nyie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikesha bar kusherekea maisha yake ya hapa duniani.Na Bado mpaka mnene kwa lugha
Si mlikesha bar mkisheherekea kifo chake nyie?
😂🤣 Hapa wametengeneza excuse kabisa."Umeme utakaonunuliwa utakuwa na hasara, Lakini hiyo hasara haituhusu"🤔
Tunapenda ukawaida Sana Sana, kila kitu kwetu ni kawaida! Hatuna kitu kipya na hatuwezi kujiongeza ...ni business as usualmauziano ya umeme ya nchi na nchi ni la kawaida
Hivi vitu vinauma sanaKulikuwa na ulazima gani wa kujenga Bwawa la Nyerere, kununua umeme wa gharama wa mitambo ya mafuta na gesi na nchi kuingia kwenye mgao mkubwa ikiwa umeme wa kutosha wa bei nafuu na uhakika ulikuwa unapatikana nchi jirani?
jp alimuona hamnazoJPM alimfukuzaga kazi, huyu jamaa, Siku ya mwaka mpya,nikahisi alionewa,kumbe ilikuwa saizi yake
Walioshindwa hisabati utawajua,Kwa hiyo transmission costs za kuutoa Ethiopia hadi Namanga watazibeba wakenya halafu watawauzia nyie bei chee kutoka kwao.
Kwamba waethiopia wanazalisha umeme wao kwa gharama ndogo kuliko sisi huku wote vyanzo ni HEP tena sisi ujenzi ni latest!
Au teknolojia tuliyotumia akina Manyuzi wametupiga ni ya 1940s?
We ndio mgumu kuelewaUpi unaotuhusu sasa kama hiyo hasara haituhusu?
Majibu ya viongozi ndio haya haya huwa tunayasikia vijiweni hawana tofauti kabisa pamoja na elimu zao
🤣 !"Umeme utakaonunuliwa utakuwa na hasara, Lakini hiyo hasara haituhusu"🤔
Hivi Arusha na Mara au Mwanza kwa kusafirisha umeme wa Gridi wapi mbali au suluhisho la kununua umeme haliwexi kufanya kazi mara kupitia SirariWakuu,
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema uamuzi wa Tanzania kuchukua umeme Ethiopia ni kitu chenye faida na si hasara kama watu wanavyodhani.
Mramba amesema ni faida kwa kuwa baadhi ya vyanzo vya umeme hapa nchini vinazalisha uniti moja kwa bei kubwa kuliko bei ambayo umeme huo utanunuliwa kutoka Ethiopia.
"Huo umeme wa Ethiopia tunanunua kwa senti za Marekani 0.077 lakini tuna vyanzo vingi ambavyo vinazalisha kwa gharama ya juu zaidi, hivyo hii ni nafuu kwetu," amesema na kuongeza umeme utaonunuliwa Ethiopia ni Megawati 100 tu.
Amesema umeme unaopelekwa mikoa ya Kaskazini unapotea kwa kiwango cha megawati 17 ambazo zinatosha kuhudumia Mkoa wa Songwe (unaotumia Mega 14) na zaidi.
"Hata huo wetu unaokuja kutoka Ethiopia utakuwa na hasara lakini hiyo hasara haituhusu, sisi tunanunulia mpakani Namanga, lakini tukipeleka sisi (umeme) tunatumia gharama kubwa," amesema Mramba.
Ameongeza kuwa "wachumi na wataalamu wote waliofanya tathmini juu ya jambo hilo waliona ni faida kubwa kuliko hasara"
Aidha, Mramba alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia ununuzi wa umeme huo na kuongeza kuwa ufafanuzi uliotolewa na Msemaji wa Serikali baada kuibuka kwa mjadala huo uko sahihi.
"Maelezo ya msemaji wa Serikali yako sawa, hayana dosari," amesema Mramba na kuongeza kuwa suala la mauziano ya umeme ya nchi na nchi ni la kawaida na mpaka sasa Tanzania inauza na kununua umeme kutoka mataifa tofauti zaidi ya matatu.
Source: Mwananchi
Wakati linajengwa bwawa la Nyerere hizi hadithi hazikuwepo leo ni utapeli tupuMaswali ya msingi:
1. Je, wananchi wa kaskazini watauziwa umeme huo kwa bei nafuu zaidi tofauti ule wa TANESCO?
2. Kama ni "ndio", kwa nini umeme huo usisambazwe nchi nzima ili kumpa mwananchi na serikali unafuu.
3. kama ni "hapana", unafuu wa umeme wa Ethiopia uko wapi kama bei haipungui kwa mtumiaji wa mwisho, na hela itokanayo na unafuu uliotajwa inamnufaisha nani hapa nchini?
Kwa Sarakasi za Tanesco kila kukicha Wananchi wamebaki na maneno ya Megawatts,Kilowatts sasa hivi wameleta kipengele kutumia umeme wa kwao ni hasara kubwa tena wa maji kuliko kununua Nje ya Nchi ambao USD ndio itatumika kwenye malipo yao wawatafute wa kuwadanganya kuhusu hizo mambo zao..
Labda niongeze swali jingine hapoMaswali ya msingi:
1. Je, wananchi wa kaskazini watauziwa umeme huo kwa bei nafuu zaidi tofauti ule wa TANESCO?
2. Kama ni "ndio", kwa nini umeme huo usisambazwe nchi nzima ili kumpa mwananchi na serikali unafuu.
3. kama ni "hapana", unafuu wa umeme wa Ethiopia uko wapi kama bei haipungui kwa mtumiaji wa mwisho, na hela itokanayo na unafuu uliotajwa inamnufaisha nani hapa nchini?
DIstribution line zilizopo ni za zamani haziwezi kuhimili nguvu kubwa ya umeme, natukilazimisha kutakuwa na upotevu mkubwa a umeme na kuharibu miundombinu iliyopo, ni vyema tukatumia njia mbadala wakati tukitafuta suluhisho la kudumuKwahiyo utakodi bolt pamoja na baraba au utatumia Barabara iliyopo
NimeelewaWe ndio mgumu kuelewa