Katika bara la Antarctica kuna vitu vinafikirisha

Ni Mwalimu Gani huyo alikufundisha kuwa Bars la Antarctica halíkaliwi na Watu?? Mtafute umuulize Vizuri...na umshauri aache Kazi ya Ualimu!
Watu gani wanakaa huko mkuu?? ili niende na maelezo ya kutosha, ajione poyoyo aache kazi mwenyewe
 
Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctica
Na mimi nilikua najiuliza sana.

So bara la antartica liko round??,maana sio ndo mwisho

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Antarctica ndiyo mwisho wa dunia, ukienda huko utakuta kuna kingo kabisa....Wazungu wanalificha hili maana hawataki kuumbuka kuwa dunia sio duara bali dunia ni Flat.
Hapo kwenye weupe ndiyo antarctic
Aisee, kwahiyo mkuu kwa hiyo nadharia yako, inasaje kuhusu dunia kujizungusha na kulizunguka jua??

Na kwanini hili bara liwe na baridi kali namna hiyo kama lipo hapo katikati tu ambapo nadhani jua linalifikia vizuri tu.!?
 
Tofauti ya saa kutoka nchi moja hadi nyingine inaashiria kuwa dunia ni flat? Ships visibility je?
 
Aisee, kwahiyo mkuu kwa hiyo nadharia yako, inasaje kuhusu dunia kujizungusha na kulizunguka jua??

Na kwanini hili bara liwe na baridi kali namna hiyo kama lipo hapo katikati tu ambapo nadhani jua linalifikia vizuri tu.!?
Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
 
Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
Huenda ni bahari, na ile picha si ni edited tu mkuu sidhani kama ni exactly ndivyo dunia huonekana vile huenda kuna vitu wamepunguza/kuongeza kulingana na mahali picha inapoenda kutumika, kwamba hivyo vyombo vyao ndo vimeipiga picha ikaonekana vile??
 
S
Sisi wa flat earth society tunaamini kuwa hilo bara ni katika ukingo wa dunia, hivyo si rahisi Kwa wapenda Dunia kwenda huko pembezoni.
 
Unapataje usiku na mchana ikiwa dunia ni flat kama sahani ebu fafanua tafadhali
 
Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
Huenda ni bahari, na ile picha si ni edited tu mkuu sidhani kama ni exactly ndivyo dunia huonekana vile huenda kuna vitu wamepunguza/kuongeza kulingana na mahali picha inapoenda kutumika, kwamba hivyo vyombo vyao ndo vimeipiga picha ikaonekana vile??
Ingia Google andika radio garden kisha angalia picha ya dunia duara ilivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…