Sina historia ya kushindwa katika ubishi , nikichokiandika ni sawa kwani niliyemkosoa aliandika kwa Kiswahili na mimi nikamrekebisha kuonesha namna sahihi ya kuandika neno lake kwa Kiswahili.Piramidi x= Pyramid ✓
So it's simple like that? Elezea kama mtu unaejua unachokiongea..!Tunapata usiku na mchana baada ya jua kuchwea mashariki na kuwia magharibi.
Swali lingine?
Basi kama mnajijua vichwani ni watupu mada zingine mnapita kimya kimya tuUsinipotezee muda wewe.
Hakuna dunia yenye umbo la yai katika ulimwengu huu.
HAPO NDO NIMEMALIZA YANI.
Fikiri kwa kina!Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
Ship visibility sio evidence ya uspherical wa dunia kwasababu...anayekuchallenge atajuambia meli inaonekana kutokea chini kwasababu ya UMBALI na ndio maana ukiikaribia utaiona yote vizuri tu.Tofauti ya saa kutoka nchi moja hadi nyingine inaashiria kuwa dunia ni flat? Ships visibility je?
Wanafanya sana tafitiHata mimi nilifikiria sana utundu wote wa wanasayansi hapa duniani wanashindwa kugundua vitu Antarctica ?
Jua linamove? Au dunia ndio ina rotate? [emoji23][emoji23]Tunapata usiku na mchana baada ya jua kuchwea mashariki na kuwia magharibi.
Swali lingine?
Dunia si duara kamili kama inavyooneshwa ktk picha zao, bali ni nusu duara ambalo linaning'inia juu ya kuta za barafu(atrantic), pia kuhusu mzunguko wa dunia hilo sahau maana dunia haizunguki, bali jua ndilo huizunguka dunia na kusababisha usiku na mchana,Tuelezee kidogo kama kuproof picha tu haitoshi.
Dunia duara kuna majira,usiku mchana iyo flati inakuaje.
Dunia ni nusu duara na sio duara kamili..Tofauti ya saa kutoka nchi moja hadi nyingine inaashiria kuwa dunia ni flat? Ships visibility je?
Easy, usiku na mchana sababu jua linaizunguka dunia na si dunia kuzunguka, hiv mnamacho lkn hamuoni?Unapataje usiku na mchana ikiwa dunia ni flat kama sahani ebu fafanua tafadhali
Hata kwa macho tu tunaona jua ndilo huizunguka dunia,lkn wanasayansi wanaforce tuamin jua halizunguki bali dunia ndio huzunguka[emoji23][emoji23][emoji23].Huu ndio ukweli.
Matapeli wanatuambia dunia ni mviringo! Kye! kye! kye! kye! kye!
Yaani hata kwa macho ya kawaida unaona kabisa dunia ni tambarare lakini jamaa wamekomaa wanasema dunia ni YAI. [emoji1787][emoji1787]
Simple.Fikiri kwa kina!
Kwanini Marekani na Urusi wawe majirani karibia kuungana hadi kupelekea kuuziana jimbo la Alaska, wakati nchi moja iko mashariki mwa dunia na nyingine ipo magharibi mwa dunia?
Sijui kama kwako nimeeleweka vizuri.
Hapo hoja haujaielewa ingawa umeeleza vizuri kwenye reply yako.Simple.
Pande kuu za dunia zinatakiwa kupimwa kuanzika katikati mwa afrika na si sehem nyingine.
East ni nchi zetu za east afrika na Asia.
Magharibi ni huko west afrika ktk nchi za nigeria, ghna na vijipande vya continent la america kaskazini+kusini,
Pia north ni nchi za afrika ukijumlisha na vijipande vya continent la ulaya.
Kiufupi, bara ni moja tu ambalo ni afrika, hivyo vijipande vingine ni ardhi zilizomeguka kutoka afrika iliyokuwa bara moja before, kwahiyo hata ramani halisi ya dunia huwezi ipata kamwe maana washenzi wa dunia hii walishaiharibu
Hujaangalia vizuri,kuanzia longtude ya Greenwich yaani GMT ambayo ni nyuzi 0,kuelekea mashariki Kuna nyuzi 180 na kuanzia Tena GMT kuelekea magharibi Kuna nyuzi 180.Ukizijumlisha zote unapata nyuzi 360 ambalo ndo duara Zima.Pili ukiangalia mwisho wa Alaska ,USA inakaribia kugusana na Urusi hivyo unachokiona hapo kwa ramani siyo upande mmoja bali ni duara Zima.Hawaii na Japan pia ni pua na mdomo.Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
Kumbe kuna Dunia na Ulimwengu watu mna siri na hata hamasemi[emoji3525][emoji3525]Usinipotezee muda wewe.
Hakuna dunia yenye umbo la yai katika ulimwengu huu.
HAPO NDO NIMEMALIZA YANI.
Mtu mwingine atuletee picha ya dunia duara upande mwingine. I mean kuna upande huwa tunaoneshwa ambapo ndipo kuna mabara karibu yote. Nyuma yake kuna nini?
Wewe unaonaje?Jua linamove? Au dunia ndio ina rotate? [emoji23][emoji23]
Hatupiti kimya kimya tutaendelea kuwaumbua na ulaghai wenu.Basi kama mnajijua vichwani ni watupu mada zingine mnapita kimya kimya tu