Katika Dunia yenye takribani watu Bilioni 8 leo, zaidi ya watu Bilioni 110 wamewahi kuishi na kufa

Katika Dunia yenye takribani watu Bilioni 8 leo, zaidi ya watu Bilioni 110 wamewahi kuishi na kufa

Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu.

Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa wakati wake alikuwa na umuhimu wake.

Hivyo nafasi ya wewe kuishi leo isikufanye ufikiri kuwa ni ya kipekee sana, utaondoka siku moja na watakuja wengine. Maisha yataendelea vizuri tu bila uwepo wako.

Hii nimekumbushwa na huyu kijana wangu mkubwa, nami nikaona niwakumbushe.

Ncha Kali.
Bagoshaa 😊

Nilipo pata ajari nimekua na mitazamo tofauti..

Hapa ndio najifunza kutembea Tena na kusimama Tena kwa miguu miwili....

Gosh! Nimebadilika Sana mitazamo aisee sikuwai jua one day ntalala kwenye hospital bed 🛏️ nikisukumwa sijiwezi chochote

Now nimerecovery na naendelea kurecovery day after day still natembelea crutches

All in all,
Mwenyezi Mungu atupe mwisho MWEMA
 
Bagoshaa 😊

Nilipo pata ajari nimekua na mitazamo tofauti..

Hapa ndio najifunza kutembea Tena na kusimama Tena kwa miguu miwili....

Gosh! Nimebadilika Sana mitazamo aisee sikuwai jua one day ntalala kwenye hospital bed 🛏️ nikisukumwa sijiwezi chochote

All in all,
Mwenyezi Mungu atupe mwisho MWEMA
Pole sana mkuu.
 
Kwani usipojipa umuhimu ndio haufi? Mimi ntajipa umuhimu kama kawaida ikitokea nimekufa ndio ishatokea siwezi nikajiweka nyuma
 
Back
Top Bottom