Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Nikiwaza ndani ya kaburi, na mchanga uleKwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwaza ndani ya kaburi, na mchanga uleKwanini?
Hebu tafakari kidogo ni wapi ulipokuwa kabla ya kuzaliwa.Nikiwaza ndani ya kaburi, na mchanga ule
Bagoshaa 😊Hii itukumbushe kuwa hii Dunia tunapita, na itusaidie kupunguza kama sio kuacha kabisa kiburi na kujipa umuhimu.
Waliowahi kuishi na kuondoka ni wengi zaidi ya waliopo leo, na kila mmoja kwa wakati wake alikuwa na umuhimu wake.
Hivyo nafasi ya wewe kuishi leo isikufanye ufikiri kuwa ni ya kipekee sana, utaondoka siku moja na watakuja wengine. Maisha yataendelea vizuri tu bila uwepo wako.
Hii nimekumbushwa na huyu kijana wangu mkubwa, nami nikaona niwakumbushe.
Ncha Kali.
Pole sana mkuu.Bagoshaa 😊
Nilipo pata ajari nimekua na mitazamo tofauti..
Hapa ndio najifunza kutembea Tena na kusimama Tena kwa miguu miwili....
Gosh! Nimebadilika Sana mitazamo aisee sikuwai jua one day ntalala kwenye hospital bed 🛏️ nikisukumwa sijiwezi chochote
All in all,
Mwenyezi Mungu atupe mwisho MWEMA
Sipajui....Hebu tafakari kidogo ni wapi ulipokuwa kabla ya kuzaliwa.
Asante Sanaa 😊Pole sana mkuu.
Ni PM mara nyingine nikija maeneo nikutafuteUsijali.
Nitakupa ukitaka
DahNimeuguza mtu mpaka kanifia mikononi.
Alikuwa anatapatapa huku anasema anaogopa sana, anasema eti kuna watu wako kwa mbali anawaona wanamsubiri.
Poa poaNi PM mara nyingine nikija maeneo nikutafute
Ndo hivo mku
Sasa twaweza hitimisha pamoja kwamba itakuwa hivyo baada ya mauti?.Sipajui....
Sio mchezo,Hvi mpaka 2080
Kuna mtu humu atakua ametoboa kweli.....
Mi nikiwazaga hivo tuu naishiwa nguvu 🤔🤔🤔🤔🙌🙌🙌🙌
Mkuu nawaza tuu..Sio mchezo,
Lazima ziwe za kutoshaMkuu nawaza tuu..
Sa sijui zitakuwa RIP kama zote
Kaburini wala hakuna mateso, unaliwa na wadudu siku mbili tu umeisha.Hapo sasa.
Kufa wa si shida, shida mateso ya kaburini....😕😕😕