Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #21
Sasa kwanini hakukaa na viongozi wenzake wakajadiliana kuhusu mambo hayo, badala ya kuanza kuzunguka nchi nzima kuyananga maridhiano hayo...Lissu hapingi maridhiano.
..Lissu anatetea maridhiano yenye tija.
..Hoja za Lissu ndizo zitakazompa nguvu Mbowe anapojadiliana na CCM.
Inamaana huwa hawasiliani na Mbowe na kuongea juu ya maswala hayo hadi aje ayaongelea yeye mwenyewe tu kwenye public?