Katika historia hakujawahi kuwa na himaya, falme wala tawala ya Palestina, hata taifa la Palestina la sasa ni kwa huruma ya Israel

Katika historia hakujawahi kuwa na himaya, falme wala tawala ya Palestina, hata taifa la Palestina la sasa ni kwa huruma ya Israel

1. Hapo kabla eneo lote lilikuwa koloni la Uingereza baada ya himaya ya Ottoman kushindwa vita ya dunia, ndipo uingereza akachora mipaka kuwe na Israel na Palestine, upande wa Israel hawakuona shida lakini hao wa kuitwa wapalestina walikataa mpango huu kwa kutaka ardhi yote iwe yao na ndio kinachofanya kuwe na vita mpaka leo hii, wapalestina wana kauli mbiu ya "from the river to the sea" ikimaanisha wanaotaka ardhi yote kutoka mto Yordan mpaka kwenye bahari iwe yao na kuwaua wa israel wote asibaki hata moja.

2. Kabla ya the Uingereza, kulikuwepo Himaya ya Ottoman, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

3. Kabla ya the Himaya ya Ottoman, kulikuwepo Tawala ya kiisalmu ya Mamluk wa Misri, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

4. Kabla ya the Tawala ya kiislam ya Mamluk wa Misri, kulikuwepo himaya ya Ayubid Arab-Kurdish, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

5. Kabla ya himaya ya Ayubid Arab-Kurdish, kulikuwepo falme ya kikristo ya Jerusalem, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

6. Kabla ya the falme ya kikristo ya Jerusalem, kulikuwepo himaya za Umayyad na Fatimid, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

7. Kabla ya the himaya za Umayyad na Fatimid, kulikuwepo himaya ya Byzantine, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

8. Kabla ya himaya ya Byzantine, kulikuwepo himaya ya Sassanid, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

9. Kabla ya the himaya ya Sassanid, kulikuwepo himaya ya Byzantine, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

10. Kabla ya the himaya ya Byzantine, kulikuwepo himaya ya waroma, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

11. Kabla ya the himaya ya waroma, kulikuwepo tawala ya Hasmonean, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

12. Kabla ya the tawala ya Hasmonean, kulikuwepo himaya ya Seleucid, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

13. Kabla himaya ya Seleucid, kulikuwepo himaya ya Alexander wa Mcedonia, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

14. Kabla ya the himaya ya Alexander wa Mcedonia, kulikuwepo himaya ya Persia, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

15. Kabla ya the himaya ya Persia, kulikuwepo himaya ya Babiloni, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

16. Kabla ya the himaya ya Babiloni, kulikuwepo falme za Israel na Judah, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

17. Kabla ya falme za Israel na Judah, kulikuwepo ufalme wa Israel, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

18. Kabla ya the ufalme wa Israel, kulikuwepo Muungano wa makabila 12 ya wayahudi, Hakukuwahi kuwa na Palestina.

NI HURUMA TU YA ISRAEL! Ndilo neno fupi linaloweza kuhitimisha uwepo wa Palestine hii ya sasa, hata pale nchi 5 za Kiarabu pamoja na Wapalestina walipoungana kumpiga Israel ili ardhi yote iwe ya Palestina.

Israel aliwapiga wote ndani ya siku 6 na alikuwa na uwezo wa kuwatimua wapalestina ila ni huruma tu.
Huwalo wa bata
 
Israel wana huruma sana. Hiyo gaza ingepigwa na sumu kuuwa magaidi yote na kizazi chao.

Ila sssa waendelee kuwamaliza kidogo kidogo mpaka wamalizike. Wanazaliana kama panya.

Kieneo kidogo watu 2.4m. wawauwe tu maana huko mbele wataendelea kulisumbua taifa teule.
Kicwa chako badala ya kubeba ubongo, kimebeba mavi
 
Umevimbiwa propaganda za myahudi,wakati hata si wa Vita Israel iliwapa chini ya dk 5 watu watoke kwenye jengo la ghorofa 20,lililokua linatumika na vyombo vya habari na makazi
Israeli yuko fair sana kwenye, vile anatoa ishara za watu kuondoka kabla ya kushambulia, kuonesha njia salama za kupita etc. Hii ni SMO na siyo vita.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ni sawa na kusema hakukua na Tanganyika kabla ya mjerumani,utawala wa ottoman..walitawala nini!?..utakua mkoloni pahala pasipo nchi!?..kwa kiarabu Palestine ni falastin, wapalestine ni wafalastini,kiswahili kikatohoa na kuita wafilisti,Jordan ya Leo huko nyuma ilikua nchi gani!?
Wapalestina sio wafilisti...

 
40,650 wounded
7,500 under rubble
15,207 murdered
  • 6,387 children
  • 75 journalists
  • 280 medical staff
  • 0 Hamas

Punguani kweli wee eti wana huruma waeleze wajinga wenzako huo upuuzi wako.
Acha kupika data, yaani Hamas wenyewe wanakubali wapiganaji wenzao wanakufa ila huku umeonesha ni sifuri.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Acha kupika data, yaani Hamas wenyewe wanakubali wapiganaji wenzao wanakufa ila huku umeonesha ni sifuri.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Usilete porojo JF ukileta hizo data za Hamas wamekubali wapiganaji wao wamekufa najitoa JF weka sasa usipoleta basi wewd utakuwa shoga.
 
Israel wana huruma sana. Hiyo gaza ingepigwa na sumu kuuwa magaidi yote na kizazi chao.

Ila sssa waendelee kuwamaliza kidogo kidogo mpaka wamalizike. Wanazaliana kama panya.

Kieneo kidogo watu 2.4m. wawauwe tu maana huko mbele wataendelea kulisumbua taifa teule.
Unaongea kama wazimu.
 
Mbona umeishia hapo? Kabla ya makabila 12 kulikuwepo himaya za Canaan..... Israel naye mgeni tu hapo.

Ujinga mwingine ni kudhani palestina hawawezi kuitwa wapalestina kisa tu ilitawaliwa na British? Ni sawa useme Hakuna taifa liliitwa Tanganyika kabla ya 1960 maana kabla ya hapo kulikua na machifu tu ila hakukua na taifa? Does it justify nchi tuwape Wazungu?

Yes walitawaliwa na Ottoman et al ila katikati ya utawala huo palestinians waliishi hapo!! Au unataka kusema kipindi Ottoman empire ipo kulikua hakuna mkazi wowote?

Poor reasoning
Mkuu jf siku hizi imejaa mapoyoyo wengi sana mpaka mtu unashindwa uanzie wapi kuwatoa ujinga vichwani mwao!!
 
Wakitaka waende Jordan Saudi Arabia na Misri nk walikotoka! Ingawa wameachwa West Bank na Gaza, Israel ni ya myahudi tangu enzi za Yesu period.
Unawajua wayahudi wewe?
Wale wazungu waliopelekwa Palestina na uingereza na marekani mwaka 1947 ndio unawaita wayahudi?!!
 
Sio kweli, alishawishiwa na maandiko ya Martin Luther muanzilishi wa Lutheran church. Alichukia wayahudi kuliko hata waislam maana walikua wanatumia riba kuwanyonya wajerumani!! Walikua matapeli matapeli kama tunavyoona wahindi hapa kwetu.

Hii sababu yako haina mashko..
Ni kwanamna hipi Rais(Hitler) ashindwe kuwakabili wakopeshaje hata aamue kufanya Genocide dhidi yao?.
Leo Samia anawea fikiria kuua Bankers kwasababu tu wanapandisha Riba ilhali kuna amicably ways za kudili nao?.

Hitler kapata uwezo wa kuikalisha ulaya nzima ila kashindwa kudili na watoa Riba!!!.
Hiki ni kichekesho..
Ameshindwa ku-streem riba toka wakopeshaje ala akapata uwezo wa kuwaweka kwenye chemba za sumu ili wafe?.
Sawa, amini unachoamini ila mimi najua waislam ndiyo chanzo cha mauaji hayo.
 
Mbona umeishia hapo? Kabla ya makabila 12 kulikuwepo himaya za Canaan..... Israel naye mgeni tu hapo.

Ujinga mwingine ni kudhani palestina hawawezi kuitwa wapalestina kisa tu ilitawaliwa na British? Ni sawa useme Hakuna taifa liliitwa Tanganyika kabla ya 1960 maana kabla ya hapo kulikua na machifu tu ila hakukua na taifa? Does it justify nchi tuwape Wazungu?

Yes walitawaliwa na Ottoman et al ila katikati ya utawala huo palestinians waliishi hapo!! Au unataka kusema kipindi Ottoman empire ipo kulikua hakuna mkazi wowote?

Poor reasoning
"Yes walitawaliwa na Ottoman et al ila katikati ya utawala huo palestinians waliishi hapo!! Au unataka kusema kipindi Ottoman empire ipo kulikua hakuna mkazi wowote?".

Wewe unatumia elimu yako vibaya..
Walitawaliwa na ottoman kivipi ilhali andiko lake linasema hakukuwai kuwepo palestina?. Kama kadanganya onyesha uwongo wake na sio ku-exaggerate andiko.

Kabla ya Himaya ya Ottoman, kulikuwepo Tawala ya kiisalmu ya Mamluk wa Misri, na sio Palestina.
Ottoman haiku-Conquer palestine kama Taifa bali Mamluk wa Misri..ottoman nayo ikaja poteza kwa uingereza.


So, inshu hapa palestina haikuwaikuwepo kama Taifa ama ufalme, ila Israel kingdom na baadae judah & Israel kingdom zimewai kuwepo hapo kama falme.
 
Wewe unatumia elimu yako vibaya..
Walitawaliwa na ottoman kivipi ilhali andiko lake linasema hakukuwai kuwepo palestina?. Kama kadanganya onyesha uwongo wake na sio ku-exaggerate andiko.
Yaani nachopinga ni kusema kwa kuwa Tanzania ilitawaliwa na Ujerumani then uingereza basi "WaTanganyika" hawakuwahi exist hapa Tanganyika?? Are you insane?,

Palestines ni descendants wa makabila yaliyoishi hapo canaan hata hao Israel walikuta makabila 13 ya canaan so sio kwamba walikuta nchi iko wazi. Na paternally hao wayahudi wa biblia na palestinians wote ni descendants wa canaan tribes na wana share DNA kuliko hata wayahudi kama Sephards na Ashkenazi.
Over the years hilo eneo la middle east likawa linavamiwa na dola tofauti tofauti ila wakazi bado ni wayahudi, wapalestina na makabila mengine yaliyopo Jordan ya sasa.

So hakukuwepo na "ufalme wa palestina" kama ambavyo hakukuwepo ufalme wa Tanganyika ila haiondoi reality kuwa waTanganyika tulikuwepo Tanganyika kabla ya mjerumani au muingereza kuja.

Hao Ottoman walivamia tu say jeshi la watu elfu 10 je walikuta nchi ipo wazi? Jibu ni No.... hata hao waisrael original wa kibiblia wametokana na wa-Syria so walipokuja hapo palestina waliwakuta tayar canaan tribes mfano Amorites, Gilgashites, Jebusites, pamoja na makabila kutokea ugiriki yaani Ageans kama Caphtor na casluh wakiishi hapo. Na walikua wana falme zao kabisa mmojawapo nimemgusia hapa mfalme Sihon na Mfalme Ogu wa bashan.
Hata ukisoma kitabu cha mwanzo 13 utaona Jerusalem ilikua na mfalme tayari.
Sasa unaposema kingdoms zenye hatimiliki alafu unaishia kutaja Israel bila kueleza kabla ya israel mfalme alikua nani ni upotoshaji.
 
sababu yako haina mashko..
Ni kwanamna hipi Rais(Hitler) ashindwe kuwakabili wakopeshaje hata aamue kufanya Genocide dhidi yao?.
Leo Samia anawea fikiria kuua Bankers kwasababu tu wanapandisha Riba ilhali kuna amicably ways za kudili nao?.
Kipindi cha vita we expect GSM, Rostam wachangie silaha au mafuta yakasaidie wapiganaji. Cha ajabu wayahudi hawakuchangia chochote sio tu wakati wa vita za unification of Germany ila World War 1 iliyopelekea Ujerumani kuanguka vitani cha ajabu licha ya vita wayahudi walikua wanaingiza mabilion afu wanatumia hayo hayo kukopesha wajerumani maskini waliopigika na vita. Unyama wa aina gani huo? Hata Bible inakataza riba kwa mwenye shida!!
Hitler kapata uwezo wa kuikalisha ulaya nzima ila kashindwa kudili na watoa Riba!!!.
Hiki ni kichekesho..
Alishindwa vipi watoza riba si ndio hao wayahudi au unadhani kuna benki iliwahi simama bila mkono wao? Na aliwanyoosha kisawa sawa in fact nusu ya population nzima ya wayahudi duniani ilikua hati hati kupotezwa.... kama angeshinda ile vita basi hawa virusi wangekua wamefutwa kwenye uso wa dunia milele.
Sawa, amini unachoamini ila mimi najua waislam ndiyo chanzo cha mauaji hayo
Waislam na Hitler wapi na wapi? Kama hujui wakristo huko ulaya ndio waliua wayahudi kuliko hata wayahudi wote waliouwawa na waislam? Mfano France, Lithuania, Russia, Germany ni nchi za kikristo ila wayahudi walichinjwa sana miaka ya 1800 kwenye revolutions in 1821 na 1840.
 
Wewe punguani kweli watu miloni 1 unawapa dakika 5 kuhama kisha unapiga mabomu majengo yao na shule pamaja na hospital wameuwa watoto zaidi ya 6000 hapa ndiyo wanahuruma daaah mna mapenzi mabaya sana mnameza propaganda tu.
nyie si huwa mnasoma albadil?vip hamkusoma.?
 
Sio kweli, alishawishiwa na maandiko ya Martin Luther muanzilishi wa Lutheran church. Alichukia wayahudi kuliko hata waislam maana walikua wanatumia riba kuwanyonya wajerumani!! Walikua matapeli matapeli kama tunavyoona wahindi hapa kwetu.

wacha uongo waislam ndo walimshawishi Hitler awaue ili wasirudi kwenye nchi yao ya asili.
 
Kwa hiyo wapalestina waende wapi? Wafe tu?
Baada ya Ottoman kuanguka, British Mandate of Palestine ilijumisha Eneo lote la Israel ya Leo na Jordan ya leo (Trans-Jordan)

Unajua kuwa mwaka 1948 - 1967 Jordan ndio ilikuwa inatawala West bank na hadi wakaunda Nchi,

Syria ina ardhi Kubwa ila ina watu million 17 tu, Wapalestina inabidi warudi Jordan na Syria na Misri
 
Back
Top Bottom