lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
hii ndo sababu ya wafia dini wa mudi,wanafanya yote hii ili mashariki ya kati itawaliwe na magaidi ya kislam,na waisrael hwawezi kubali hilo,hapo gaza mtapigwa mchakae.Unawajua wayahudi wewe?
Wale wazungu waliopelekwa Palestina na uingereza na marekani mwaka 1947 ndio unawaita wayahudi?!!
Yaani watetezi wa Wapelistina mmeshindwa Kujustify historia halisi ya Wapalestina mnasema ni Wakaanani,Yaani nachopinga ni kusema kwa kuwa Tanzania ilitawaliwa na Ujerumani then uingereza basi "WaTanganyika" hawakuwahi exist hapa Tanganyika?? Are you insane?,
Palestines ni descendants wa makabila yaliyoishi hapo canaan hata hao Israel walikuta makabila 13 ya canaan so sio kwamba walikuta nchi iko wazi. Na paternally hao wayahudi wa biblia na palestinians wote ni descendants wa canaan tribes na wana share DNA kuliko hata wayahudi kama Sephards na Ashkenazi.
Over the years hilo eneo la middle east likawa linavamiwa na dola tofauti tofauti ila wakazi bado ni wayahudi, wapalestina na makabila mengine yaliyopo Jordan ya sasa.Blood brothers: Palestinians and Jews share genetic roots
Jews break down into three genetic groups, all of which have Middle Eastern origins β which are shared with the Palestinians and Druze.www.haaretz.com
So hakukuwepo na "ufalme wa palestina" kama ambavyo hakukuwepo ufalme wa Tanganyika ila haiondoi reality kuwa waTanganyika tulikuwepo Tanganyika kabla ya mjerumani au muingereza kuja.
Hao Ottoman walivamia tu say jeshi la watu elfu 10 je walikuta nchi ipo wazi? Jibu ni No.... hata hao waisrael original wa kibiblia wametokana na wa-Syria so walipokuja hapo palestina waliwakuta tayar canaan tribes mfano Amorites, Gilgashites, Jebusites, pamoja na makabila kutokea ugiriki yaani Ageans kama Caphtor na casluh wakiishi hapo. Na walikua wana falme zao kabisa mmojawapo nimemgusia hapa mfalme Sihon na Mfalme Ogu wa bashan.
Hata ukisoma kitabu cha mwanzo 13 utaona Jerusalem ilikua na mfalme tayari.Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi.... Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya sasa )katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi ya 6000 iliopita.... Na inaelezwa ndio mwanadamu...www.jamiiforums.com
Sasa unaposema kingdoms zenye hatimiliki alafu unaishia kutaja Israel bila kueleza kabla ya israel mfalme alikua nani ni upotoshaji.Melchizedek na utata unaomzunguka
Habari za masiku wanajukwaa wote, leo ningependa tujadili watu mysterious kwenye vitabu vyetu vya dini kama ilivyo kawaida yetu. Hivyo twendeni pamoja ili tusolve mystery hii, kubwa ya yote tuongeze tu maarifa na kujibu maswali ambayo yameonekana magumu kwenye vitabu hivi. Niweke rai mapema...www.jamiiforums.com
Wasirudi? Mbona walishaanza kurudi miaka ya 1890? Muwe mnasoma kwanza historia kabla ya kuongea mambo msiokua na elimu nayo.wacha uongo waislam ndo walimshawishi Hitler awaue ili wasirudi kwenye nchi yao ya asili.
Mbona Syria walifeli licha ya support ya USA? Israel inaonea watoto hapo Gaza ila toe to toe na majeshi serious kama Iran au Turkey haiwezi kitu.hii ndo sababu ya wafia dini wa mudi,wanafanya yote hii ili mashariki ya kati itawaliwe na magaidi ya kislam,na waisrael hwawezi kubali hilo,hapo gaza mtapigwa mchakae.
Ina maana kwa miaka kadhaa,wapalestina wa leo hawakuwepo,walivamia(kuhamia) katika arshi isiyo yao? Na HAMAS hapo inapambana kujimilikisha? Je, Israel kipindi hicho ilikuwepo? Maana ukiangalia kwenye ramani inayoonyeshwa, kama Palestine imezingirwa na IsraelBaada ya Ottoman kuanguka, British Mandate of Palestine ilijumisha Eneo lote la Israel ya Leo na Jordan ya leo (Trans-Jordan)
Unajua kuwa mwaka 1948 - 1967 Jordan ndio ilikuwa inatawala West bank na hadi wakaunda Nchi,
Syria ina ardhi Kubwa ila ina watu million 17 tu, Wapalestina inabidi warudi Jordan na Syria na Misri
Mama yako kasema atakuja leo kusoma usiku.nyie si huwa mnasoma albadil?vip hamkusoma.?
"Palestines ni descendants wa makabila yaliyoishi hapo canaan hata hao Israel walikuta makabila 13 ya canaan so sio kwamba walikuta nchi iko wazi. Na paternally hao wayahudi wa biblia na palestinians wote ni descendants wa canaan tribes na wana share DNA kuliko hata wayahudi kama Sephards na Ashkenazi".Yaani nachopinga ni kusema kwa kuwa Tanzania ilitawaliwa na Ujerumani then uingereza basi "WaTanganyika" hawakuwahi exist hapa Tanganyika?? Are you insane?,
Palestines ni descendants wa makabila yaliyoishi hapo canaan hata hao Israel walikuta makabila 13 ya canaan so sio kwamba walikuta nchi iko wazi. Na paternally hao wayahudi wa biblia na palestinians wote ni descendants wa canaan tribes na wana share DNA kuliko hata wayahudi kam
a Sephards na Ashkenazi.
Over the years hilo eneo la middle east likawa linavamiwa na dola tofauti tofauti ila wakazi bado ni wayahudi, wapalestina na makabila mengine yaliyopo Jordan ya sasa.Blood brothers: Palestinians and Jews share genetic roots
Jews break down into three genetic groups, all of which have Middle Eastern origins β which are shared with the Palestinians and Druze.www.haaretz.com
So hakukuwepo na "ufalme wa palestina" kama ambavyo hakukuwepo ufalme wa Tanganyika ila haiondoi reality kuwa waTanganyika tulikuwepo Tanganyika kabla ya mjerumani au muingereza kuja.
Hao Ottoman walivamia tu say jeshi la watu elfu 10 je walikuta nchi ipo wazi? Jibu ni No.... hata hao waisrael original wa kibiblia wametokana na wa-Syria so walipokuja hapo palestina waliwakuta tayar canaan tribes mfano Amorites, Gilgashites, Jebusites, pamoja na makabila kutokea ugiriki yaani Ageans kama Caphtor na casluh wakiishi hapo. Na walikua wana falme zao kabisa mmojawapo nimemgusia hapa mfalme Sihon na Mfalme Ogu wa bashan.
Hata ukisoma kitabu cha mwanzo 13 utaona Jerusalem ilikua na mfalme tayari.Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi.... Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya sasa )katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi ya 6000 iliopita.... Na inaelezwa ndio mwanadamu...www.jamiiforums.com
Sasa unaposema kingdoms zenye hatimiliki alafu unaishia kutaja Israel bila kueleza kabla ya israel mfalme alikua nani ni upotoshaji.
Hii ndiyo sababu iliyokuwa ikiimbwa sana na almost kila mtu Ila kuna hii aliyoiibua Netanyahu ndiyo ina make sense zaidi.Kipindi cha vita we expect GSM, Rostam wachangie silaha au mafuta yakasaidie wapiganaji. Cha ajabu wayahudi hawakuchangia chochote sio tu wakati wa vita za unification of Germany ila World War 1 iliyopelekea Ujerumani kuanguka vitani cha ajabu licha ya vita wayahudi walikua wanaingiza mabilion afu wanatumia hayo hayo kukopesha wajerumani maskini waliopigika na vita. Unyama wa aina gani huo? Hata Bible inakataza riba kwa mwenye shida!!
Alishindwa vipi watoza riba si ndio hao wayahudi au unadhani kuna benki iliwahi simama bila mkono wao? Na aliwanyoosha kisawa sawa in fact nusu ya population nzima ya wayahudi duniani ilikua hati hati kupotezwa.... kama angeshinda ile vita basi hawa virusi wangekua wamefutwa kwenye uso wa dunia milele.
Waislam na Hitler wapi na wapi? Kama hujui wakristo huko ulaya ndio waliua wayahudi kuliko hata wayahudi wote waliouwawa na waislam? Mfano France, Lithuania, Russia, Germany ni nchi za kikristo ila wayahudi walichinjwa sana miaka ya 1800 kwenye revolutions in 1821 na 1840.
Aisee wana muqawama wa Hamas hawajauliwa hata mmoja.Kweli huu ni muujiza wa allah40,650 wounded
7,500 under rubble
15,207 murdered
- 6,387 children
- 75 journalists
- 280 medical staff
- 0 Hamas
Punguani kweli wee eti wana huruma waeleze wajinga wenzako huo upuuzi wako.
Pakubwa saba hata milioni 100 wanatosha vizuri tuHuko tayari wamejaa zaidi ya 3 million
Akija Nationalist atawatimua wote miaka ijayo so sio guaranteed solution.Pakubwa saba hata milioni 100 wanatosha vizuri tu
Wapi nimesema ni wafilisti? Nimekutajia makabila kama Jebusites, Gilgashites, Amorites, Hittites, Hivites n.k hao ni purely semitic tribes hao philistines ndio nmekwambia ni descendants wa makabila ya Caphtorites, casluh ambao ni asili ya ugiriki ambao ni Caucasians. So usichanganye canaanites na Philistines.Kusema hawa Waarabu wenye asili ya Jordan, Misri, Lebanon, Syria ndiyo walifisti ni uwongo mkubwa.
Hata Israel walihamia hapo kutoka Syria na Iraq.... kila mtu alihamia but canaanites walikua wa kwanza kuliko israelites. Hata Abraham unayemtaja alikutana na wafalme wa Jerusalem means kulikua na tawala rasmi. Why wajimilikishe whilst ni wahamiaji pia?Hawa wanaoijiita wapalestina wamehamia hapo kwa wingi toka Jordan, Syria, Lebanon na Misri baada ya tawala za kiislam ku-Conquer eneo ilo.
Kasome vizuri nimekwambia original Jews kama Sephards au Falahasha are more intertwined with palestinians and druze kuliko how the same Jews relate with Ashkenazi Jews? Umeelewa tofauti. Means they are more original kuliko hao wazungu wanaojiita Jews.Waarabu na wayahudi(Israel) wote ni semitic, kushare vinasaba ni jambo lenye uhalali mkubwa.. Ila Ili listumike kama hoja kupoteza uhalali wa wayahudi kwenye hiyo ardhi.
Uongo walikuta wa canaan kina mfalme Rapha, Sihon, Og etcwaisrael walikuta wafilist(palestine) eneo ilo ila wafilist walishapotea.
Mkuu Jordan ni creation ya British colonialist. Hapakuwepo na nchi inaitwa Jordan hapo kabla ya Sykes -Picot agreement mwaka 1916.Akija Nationalist atawatimua wote miaka ijayo so sio guaranteed solution.
Biblically unajua hata Jordan na Syria na Iraq ni part ya "promised Land"? Its a matter of time watawafuata huko pia.Tunarudi; kwa sababu Jordan ni extension ya Palestine hakuna shida Wapalestina wote wakahamia huko. Israel imekuwa nchi ya Wayahudi kwa miaka zaidi ya 5 na hata Quran na Bible na vitabu vya historia vinakiri hivyo
Wao kwa wao wamefungiana mipaka wanajuana vizuri na ndio maana kiongozi wa falme za kiarabu anayaonya sana mataifa ya Ulaya wasipokee maharamia.Waarabu wawasaidie makazi waarabu wenzao maana wanateseka mno
Vipi ata iraq amefunga vioo? π³π³π³Wao kwa wao wamefungiana mipaka wanajuana vizuri na ndio maana kiongozi wa falme za kiarabu anayaonya sana mataifa ya Ulaya wasipokee maharamia.
Syria, Iraq, AfghanistanVipi ata iraq amefunga vioo? π³π³π³