Katika hotuba yake, Lissu anajadili bajeti ya mkutano wa Baraza Kuu wakati alipewa kazi ya kuchangisha milioni 30, hajatoa hata mia. Mnampaje chama?

Katika hotuba yake, Lissu anajadili bajeti ya mkutano wa Baraza Kuu wakati alipewa kazi ya kuchangisha milioni 30, hajatoa hata mia. Mnampaje chama?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Lissu ameanza kutoa milio.

Anasema bajeti ya wajumbe kulala, hizo hela wajumbe wasipewe, walipiwe hotel, Lissu anataka hata hela ya safari wajumbe wasipewe, wakodiwe magari, hela ya kula wasipewe, walipiwe kwa mama ntilie.

Yaani mjumbe hata kama ana ndugu yake asifikie huko ili kuokoa gharama walau arudi nyumbani na nguo za watoto na kanga ya mama yoyooo!? Hii ni roho mbaya kiasi gani kwa wajumbe hawa?

Anayasema hayo akiwa hajafikia lengo alilopewa na chama kukusanya milioni 30 kusaidia gharama za mkutano.

Hii ni dalili ya mwanzo tu kwamba chama kitapigwa ukata mkubwa endapo atakiongoza hata kwa wiki moja.

Kuna genge kubwa liko JF na Twitter linatuna kwamba liko naye, kwa nini hawachangi?

Anadhani chama kitaendeshwa kwa maneno tu na tuvifungu twake twa sheria?.

Ukiona vyaelea......
 
Kashanusa kua hela za Abdul zitatakatishwa,wajumbe wazile.
Kati ya chaguzi zenye pesa,ni pamoja na huo.Pesa njenje.Lussu Vs Mbowe+chama tawala.
 
Lissu ameanza kutoa milio.

Anasema bajeti ya wajumbe kulala, hizo hela wajumbe wasipewe, walipiwe hotel, Lissu anataka hata hela ya safari wajumbe wasipewe, wakodiwe magari, hela ya kula wasipewe, walipiwe kwa mama ntilie.

Yaani mjumbe hata kama ana ndugu yake asifikie huko ili kuokoa gharama walau arudi nyumbani na nguo za watoto na kanga ya mama yoyooo!? Hii ni roho mbaya kiasi gani kwa wajumbe hawa?

Anayasema hayo akiwa hajadikia lengo alilopewa na chama kukusanya milioni 30 kusaidia gharama za mkutano.

Hii ni dalili ya mwanzo tu kwamba chama kitapigwa ukata mkubwa endapo atakiongoza hata kwa wiki moja.

Kuna genge kubwa liko JF na Twitter linatuna kwamba liko naye, kwa nini hawachangi?

Anadhani chama kitaendeshwa kwa maneno tu na tuvifungu twake twa sheria?.

Ukiona vyaelea......
Hivi wapigania uhuru wangepigania miposho sijui ingekuje
 
Lissu ameanza kutoa milio.

Anasema bajeti ya wajumbe kulala, hizo hela wajumbe wasipewe, walipiwe hotel, Lissu anataka hata hela ya safari wajumbe wasipewe, wakodiwe magari, hela ya kula wasipewe, walipiwe kwa mama ntilie.

Yaani mjumbe hata kama ana ndugu yake asifikie huko ili kuokoa gharama walau arudi nyumbani na nguo za watoto na kanga ya mama yoyooo!? Hii ni roho mbaya kiasi gani kwa wajumbe hawa?

Anayasema hayo akiwa hajadikia lengo alilopewa na chama kukusanya milioni 30 kusaidia gharama za mkutano.

Hii ni dalili ya mwanzo tu kwamba chama kitapigwa ukata mkubwa endapo atakiongoza hata kwa wiki moja.

Kuna genge kubwa liko JF na Twitter linatuna kwamba liko naye, kwa nini hawachangi?

Anadhani chama kitaendeshwa kwa maneno tu na tuvifungu twake twa sheria?.

Ukiona vyaelea......
Kwaiyo wajumbe wa mkutano mkuu wanachangia Hela ya kujilipa wenyewe?
 
Lissu ameanza kutoa milio.

Anasema bajeti ya wajumbe kulala, hizo hela wajumbe wasipewe, walipiwe hotel, Lissu anataka hata hela ya safari wajumbe wasipewe, wakodiwe magari, hela ya kula wasipewe, walipiwe kwa mama ntilie.

Yaani mjumbe hata kama ana ndugu yake asifikie huko ili kuokoa gharama walau arudi nyumbani na nguo za watoto na kanga ya mama yoyooo!? Hii ni roho mbaya kiasi gani kwa wajumbe hawa?

Anayasema hayo akiwa hajadikia lengo alilopewa na chama kukusanya milioni 30 kusaidia gharama za mkutano.

Hii ni dalili ya mwanzo tu kwamba chama kitapigwa ukata mkubwa endapo atakiongoza hata kwa wiki moja.

Kuna genge kubwa liko JF na Twitter linatuna kwamba liko naye, kwa nini hawachangi?

Anadhani chama kitaendeshwa kwa maneno tu na tuvifungu twake twa sheria?.

Ukiona vyaelea......
Kila siku nawaambia huyo mtu ni mdomo tuu ndio anao ila maarifa na results ni zero
 
Kashanusa kua hela za Abdul zitatakatishwa,wajumbe wazile.
Kati ya chaguzi zenye pesa,ni pamoja na huo.Pesa njenje.Lussu Vs Mbowe+chama tawala.
Wakipiga kura wanawekewa bunduki?
 
Anasema bajeti ya wajumbe kulala, hizo hela wajumbe wasipewe, walipiwe hotel, Lissu anataka hata hela ya safari wajumbe wasipewe, wakodiwe magari, hela ya kula wasipewe, walipiwe kwa mama ntilie.
Sasa hayo mapendekezo ya bajeti anapanga na waandishi wa habari au alitakiwa apange na Kamati Kuu ya chama?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sasa hayo mapendekezo ya bajeti anapanga na waandishi wa habari au alitakiwa apange na Kamati Kuu ya chama?
Swali la msingi sana Hutapata majibu Nyumbu wapo na herd thinking hairuhusiwi kuuliza.Kiongozi mzima anapanga na waandishi badala ya wahusika Kamati Kuu.Vinginevyo atuambie Kamati Kuu ilikataa mapendekezo yake. Huyu jamaa ni kombora lisilo na macho.
 
Swali la msingi sana Hutapata majibu Nyumbu wapo na herd thinking hairuhusiwi kuuliza.Kiongozi mzima anapanga na waandishi badala ya wahusika Kamati Kuu.Vinginevyo atuambie Kamati Kuu ilikataa mapendekezo yake. Huyu jamaa ni kombora lisilo na macho.
Na hata kama tuchukulie yalikuwa mapendekezo yake, wawili au watatu mnapotofautiana hoja, mwisho wake ni lazima ichukuliwe mojawapo, na itakayochukuliwa ndio maamuzi ya kikao au mkutano, na wote mnatakiwa muenfe nayo hayo maamuzi nje.

Ni tabia ya ajabu na ya ubinafsi kuonyesha watu kuwa wewe hukuchagua kitu fulani. Ni ukosefu wa collective responsibility. Kwa tafsiri nyingine, mtu wa hivyo mkikaa kikao inabidi mkubaliane na hoja zake peke yake, maana msipozikubali ataenda nje kuwasema 😄
 
Back
Top Bottom