proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
We hujui tu au umezaliwa sehemu nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana. Wewe ni Shujaa wa fikra. Katika jambo linarudisha nyuma maendeleo na ustawi wa jamii ni hizi fikra za kubebeshana hii Imani na kuishi kuwa na hofu miaka yote na kusababisha majanga kwenye jamii.Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi aisee hakuna kitu kama hicho binadamu mnyama tu ana limit zake kuamini uchawi ni ujinga ni uoga mimi nimeshapita mazingira mengi sana sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti mbinu za kishetani huo ni uongo. Maisha yapo tu the waya yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tu nakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani. Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice ila hautendi(hakuna outcome yoyote). Yaani mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini kama hakuna uchawi mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.
Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi aisee hakuna kitu kama hicho binadamu mnyama tu ana limit zake kuamini uchawi ni ujinga ni uoga mimi nimeshapita mazingira mengi sana sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti mbinu za kishetani huo ni uongo. Maisha yapo tu the waya yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tu nakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani. Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice ila hautendi(hakuna outcome yoyote). Yaani mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini kama hakuna uchawi mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.
So bwana wewe unaona uchawi ni kupata na ungo tuhaupo hakuna mtu anaweza kupaa na ungo ni ujinga sana kuamini hivyo halafu na darasani umesoma physics na English na geograph sasa si ulisomeshwa ujue ukweli dhana potofu ziondoke
NdegeMUNGU YUPO
Au sio Kwa taarifa yako hao waliokufundisha kwenye physics hiyo ndege ni maboresho kutokea kwenye ungo.haupo hakuna mtu anaweza kupaa na ungo ni ujinga sana kuamini hivyo halafu na darasani umesoma physics na English na geograph sasa si ulisomeshwa ujue ukweli dhana potofu ziondoke
Mheshimiwa Dkt. GwajimaMimi mwenyewe siyo muumini wa hizi fikra
Unaelewa kweli unachokisema? Kafatilie mazingaombwe ni nini, yanafanyikaje, na yanahitaji vifaa gani kutekeleza.Hakuna uchawi ila Kuna ujanjaujanja au mazingaumbwe yanayofanywa na watu wenye uwezo wa kufanya au kuonesha mimi au wewe tutakachoshindwa kutambua katika Hali ya kawaida.
Uchawi ni jina tu ila haupo Dunia hii. au upo Kwa wajinga na wapumbavu tu kama waafrika
Genomaboresho kutokea kwenye ungo.
Wale waliobadilisha fimbo kuwa nyoka wakati wa Musa na unaamini walifanya hivyo hujasoma physics na English? Unaweza kutusaidia walitumia njia zipi kuwafyatua hao nyoka?haupo hakuna mtu anaweza kupaa na ungo ni ujinga sana kuamini hivyo halafu na darasani umesoma physics na English na geograph sasa si ulisomeshwa ujue ukweli dhana potofu ziondoke
Ushawahi kuuona upepo? Oxygen je? Bila shaka unasikia tunavuta oxygen lakn hujawah kuishika kwamba ndio hii ila si unafaham kama wapo wanaoweza kuichukua na kuiweka had kwenye mtungi?Geno
Inabidi usithibitishe kwamba kuna watu wanatumia uongo kama usafiri. Kinyume na hapo hayo yatakuwa mawazo yako binafsi.
We kama mchawi unashindwaje kuutambua?Kwenye bandiko lako ungeandika na umri wako mkuu...
Umenikumbusha mbali mkuu.Sijawahi amini kabisa huo upumbavu, kijijini niliwaambia waniroge nikaishia kuitwa mimi ndo mchawi mwenyewe!
Imani za uchawi zipo direct proportional na ujinga!
Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi aisee hakuna kitu kama hicho binadamu mnyama tu ana limit zake kuamini uchawi ni ujinga ni uoga mimi nimeshapita mazingira mengi sana sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti mbinu za kishetani huo ni uongo. Maisha yapo tu the waya yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tu nakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani. Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice ila hautendi(hakuna outcome yoyote). Yaani mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini kama hakuna uchawi mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.