Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
By the way mleta uzi ukiamini Mungu yupo basi directly unaamini Mchawi yupo unless turudi pia kwenye definition ya Mungu....
Ndio maana kila siku nasema waasisi wetu walikuwa na busara sana kusema Serikali / Nchi haina Dini bali wanaanchi wake ndio kila mtu kivyake na imani yake....
Sitakushangaa sana ukimuona mtu anaamini kwamba Ngw'anamalundi alikuwa anaweza kutembea kwenye maji na kumuona mjinga lakini nikigundua kwamba unaamini kwamba kuna aliyetembea kwenye maji na kubadilisha kinywaji kimoja na mkate mmoja kuwalisha maelfu na maelfu nitakushangaa sana na kuona huenda umekuwa indoctrinated...., Kama sio Hapa kwanini Kule ?
To each his / her Own....
Ndio maana kila siku nasema waasisi wetu walikuwa na busara sana kusema Serikali / Nchi haina Dini bali wanaanchi wake ndio kila mtu kivyake na imani yake....
Sitakushangaa sana ukimuona mtu anaamini kwamba Ngw'anamalundi alikuwa anaweza kutembea kwenye maji na kumuona mjinga lakini nikigundua kwamba unaamini kwamba kuna aliyetembea kwenye maji na kubadilisha kinywaji kimoja na mkate mmoja kuwalisha maelfu na maelfu nitakushangaa sana na kuona huenda umekuwa indoctrinated...., Kama sio Hapa kwanini Kule ?
To each his / her Own....