Naam nimekuuliza wewe definition yako ya uchawi ni ipi ? Nikatoa yangu kwamba neno uchawi ni chochote kile kinachoangamiza /umiza wengine na mwisho nikaonyesha tukiingiza mambo ya Imani / Spirituality ambayo ni ya kufikirika tukayatungia sheria tutaumiza wengi wasio na hatia kinachoweza kufanyika ni kuhukumu matokeo au deeds ambazo mtu amefan...Mkuu,
Umeuliza uchawi ni nini, umetoa perception yako kuhusu uchawi na last paragraph I cannot relate. It seems, it's you against youself
Hahaha sababu wewe uliwaona live wakikuchezea singeli na kiduku...
Kuna watu ni mazuzu ukiwaambia wakuthibitishie wanakuambia wewe ndio mchawi hawana jipya.Sijawahi amini kabisa huo upumbavu, kijijini niliwaambia waniroge nikaishia kuitwa mimi ndo mchawi mwenyewe!
Imani za uchawi zipo direct proportional na ujinga!
HataliiiNenda Kijiji Mahaha, Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza ukawaambie hivyo hadharani uone kitakachokupata.
Sitosahau miaka fulani ya nyuma aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Magu, tulipoamka asubuhi na kumkuta amelazwa kwenye uwanja wa Sabasaba, jirani na uwanja wa mpira wa Mwanankanda.
Mkuu kwani kufanya hayo lazima uamini kwamba Mungu yupo au uamini katika Mungu / Dini ? Nadhani kama unafanya mazuri kwa hofu ya Mungu au usichomwe moto huo ni kama unafiki fulani..., mtu mwema katika jamii ni yule anayeamini katika wema na kutenda wema no matter maandiko yake au muumba wake anamwambia nini..., Muumba hachelewi kukutokea kama yule Abraham / Ibrahim na kukutest ukamtoe fulani kafara........Swali zuri. Imani bila matendo ni bure. Sasa unaamini vipi mambo hujayaona? 😀
Mimi Dini naamini kama Silaha ya kunifanya niwe mtu mwema ambaye, nisiyopenda kutendewa mimi basi nisimfanyie mwingine. Naamini nilisikia njaa lazima niingie jikoni nipike nikitenge mezani jioe na siyo nikae namuomba Mungu akilete.... Kwa Imani yangu lakini. Na tangu nizaliwe mimi sijaona ile neema iliyoandikwa jangwani kuwa mikate ilishuka. Imeandikwa na maandiko naheshimu kuwa, ilikuwa neema ya Kizazi kile wakati ule kwa Sababu za wakati ule. Ila sasa hivi, bila kazi ya mikono yako na kuvipika viive.....😀 inakuwaje
Wanazuoni wa viongozi wa dini yako kwani wao wanasemajeeWe kama mchawi unashindwaje kuutambua?
Mpaka hapo hesabu umeshatoboa Ndege.😁Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi na kinafanya kazi. aisee hakuna kitu kama hicho binadamu ni mnyama tu ana limit zake yako miujiza hawezi tu kufanya mfano kupotea na kwenda kutokea sehemu nyingine au eti kujibadilisha umbo..
kuamini uchawi ni ujinga naini uoga uliopitiliza mimi nimeshapita mazingira mengi sana tu kuanzia makaburini, mabaharini, misituni usiku Kwa usiku na sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti ni mbinu za kishetani. Maisha yapo tu the way yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tunakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani..
Zamani kweli mambo mengi yalikuwa hayajagunduliwa maswali yasiyo na majibu yalikuwa mengi.. Pressure, kisukari, kifafa na magonjwa ya akili haya kujulikana hivyo watu akili zao ilibidi ziishie kwenye kuamini uchawi kwamba Ukifa na ugonjwa wasioujua basi umelogwa..
Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice Kwa mazoea yao ila hautendi lolote yaani huwezi ukawa tabora eti umuue mtu yupo dar (hakuna outcome yoyote).
Ndo maana mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini hakuna uchawi nitamkubali sana nitaona kichwa chake kinaweza ku solve mysterious mbalimbali.. mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.mwingine unakuta eti kisa tu ana kidonda kilichokataa kupona basi wanaelekeza fikra kwamba ni cha kulogwa cha kichawi mbona ishu kama hiyo ni nyepesi kwamba akili yako haitaki kuamini kama kidonda hakiwezi tu kupona Kwa sababu nyingine za afya au mazingira Mpaka utuhumu uchawi?
Sawa, haya mambo yote yanahusiana nini na post niliyoituma?Naam nimekuuliza wewe definition yako ya uchawi ni ipi ? Nikatoa yangu kwamba neno uchawi ni chochote kile kinachoangamiza /umiza wengine na mwisho nikaonyesha tukiingiza mambo ya Imani / Spirituality ambayo ni ya kufikirika tukayatungia sheria tutaumiza wengi wasio na hatia kinachoweza kufanyika ni kuhukumu matokeo au deeds ambazo mtu amefan...
Kama mtu kachanganya jasho la simba ili mtu ampe bibi yake asifanikiwe tunaweza kuhukumu kuchonganisha na sio imani ya huyu Bwana kwamba jasho la simba linafanya mtu asifanikiwe
Sawa, haya mambo yote yanahusiana nini na post niliyoituma?
Tuyashinde vipi ? Sababu kama hayapo tunayatungia vipi sheria ? Ndio maana nikasema outcomes zake kama ni mbaya kwa jamii basi sheria tayari zipo tutahukumu accordingly na lile baya lililofanyika..., ila tukisema tuanze kukemea kila tunayedhani ni mchawi kwa definition au mitizamo yetu tutafanya more harm than good..., Ndio maana nilianza kwa kukuuliza kwa wewe uchawi ni nini? Yaani ni kipi unachotaka tukishinde kama jamii ?Iwe club au elimu ila ni ya wachawi. LENGO langu sio kushabikia uchawi. Hayo mengine uko sahihi. Mambo hasi kwenye jamii ni mengi ni lazima tuyashinde ikiwemo na uchawi ili kuwe na jamii yenye maendeleo chanya.
Hoja nzuri ila nchi yetu tayari miaka mingi ijayo sheria eneo hili. Tena nimeona humu JF Uzi mmoja walikuwa wamejadili.Mkuu kwani kufanya hayo lazima uamini kwamba Mungu yupo au uamini katika Mungu / Dini ? Nadhani kama unafanya mazuri kwa hofu ya Mungu au usichomwe moto huo ni kama unafiki fulani..., mtu mwema katika jamii ni yule anayeamini katika wema na kutenda wema no matter maandiko yake au muumba wake anamwambia nini..., Muumba hachelewi kukutokea kama yule Abraham / Ibrahim na kukutest ukamtoe fulani kafara........
Point yangu kuu ni kwamba this is a can of worms ukishaanza kuleta mambo ya imani katika uongozi na sheria ambazo watu wana imani tofauti tutakuwa hatufiki cha maana yoyote atakaye-cause harm kwa mwenzake sheria ichukue mkondo wake hao ya imani yaishie kwenye mahekalu, makanisa, misikiti na sehemu za mazindiko.....
😂Kuna watu ni mazuzu ukiwaambia wakuthibitishie wanakuambia wewe ndio mchawi hawana jipya.
Sawa, katika mapambano dhidi ya ukatili kwenye jamii tunahitaji majadiliano ya visababishi vingi ikiwemo Imani hizi zimeumizaje wasio na hatia. Kukabiliana na ajenda ngumu kwa maendeleo na ustawi wa jamii liwe jukumu letu wote wanajamii kwa Nia njema tu ya kujenga.Andaa mh. Kongamano hilo tuje kubadilishana utambuzi na maarifa
Aliwapiga viboga😂🤣🤣🤣😂🤭🤣🤣🤣🤣🤣 Jamaa inabidi awaulize wanafunzi wa Iyunga tech mwaka 2008 ----, Kuna jamaa alikuwa anawakula wenzake kiwanga.
Hongera sana. Wewe ni Shujaa wa fikra. Katika jambo linarudisha nyuma maendeleo na ustawi wa jamii ni hizi fikra za kubebeshana hii Imani na kuishi kuwa na hofu miaka yote na kusababisha majanga kwenye jamii.
Nakuunga mkono, tafadhali nipeni ushirikiano natafuta watu jasiri ambao hawakujengwa kwenye hii fikra tuandae mijadala ya wazo tukomboe fikra za wengi.
Mimi mwenyewe siyo muumini wa hizi fikra haya sms tafadhali kwenye 0765345777 turatibu wengine twendeni kwenye ukombozi jamani. Nilianza huu mjadala juzi Instagram pia, yaani kumbe watu wanaweza kukombolewa. Ahsante Sana.
Nasubiri sms yako na ya yeyote anayependa tushirikiane tafadhali anitumie ujumbe nawaomba Sana sana mashujaa🙏🏽
DR. Kongamano hilo liwahishe haraka sana tubadilishe fikra za watu wetu, wasomi wakubwa hawajengi vijijini kwao eti watarogwa ujinga uliopitiliza sanaAhsanteni sana jamani kwa kubadilishana mawazo. Haya ngoja wengine tuendelee na ratiba zingine, siku moja nitawaalika kwenye kongamano la mgongano wa fikra dhidi ya vikwazo vya maendeleo na ustawi wa jamii kwa jicho la ukatili utokanao na Imani potofu za kishirikina